Wagumu walikua TA (Tambaza), ASS (Azania Soma Sana) walikuwa mabishoo.
Ugumu wa kuvuta bange na 'cocktails', wengi wao wameishia kuwa wake wa manyampala jela na wengine washatangulia futi 6 ardhini.Wagumu walikua TA (Tambaza), ASS (Azania Soma Sana) walikuwa mabishoo.
enzi hizo! Azania ilikuwa bomba sana na lebo yetu ya ramani ya africa, ukipita mtaani hasa kwa mabinti unajitahidi lebo inaonekana!
Mwl. Miti mingi yupo wapi siku hizi?
Ama kweli watu mnasahau mimi na umaarufu wote simo kwenye list!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????.Unamkumbuka yule mzee wa kichagga, mwangalizi wa mabweni aliyekuwa anakaa peke yake pale karibu na bweni la O' Level?
Hata jina nilishasahau! Punishment kipindi kile ilikuwa kulisha yale maviti moto karibu na jiko la shule.
Ama kweli watu mnasahau mimi na umaarufu wote simo kwenye list!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????.
Ujue ulikuwa deep kwenye kijiko
wenzio walikuwa shallow baharini
Unamkumbuka yule mzee wa kichagga, mwangalizi wa mabweni aliyekuwa anakaa peke yake pale karibu na bweni la O' Level?
Hata jina nilishasahau! Punishment kipindi kile ilikuwa kulisha yale maviti moto karibu na jiko la shule.
hebu nitajie walimu 3 wa azania unaowafahamu?
Wagumu walikua TA (Tambaza), ASS (Azania Soma Sana) walikuwa mabishoo.
mwl kwayu, na yule wa siasa
Kuna kwayu,yengela,mchwampaka,madam mabano,madam shirima,biology lab unamkuta mwalimu omari daaaah we had a great time jameni!
Ulikuwa raha sana
basi mie mtaani nilitoka peke yangu, aisee niliwatesa watoto wa manzese!!!
....sijui ulikuwa mwaka gani azania, miaka niliyokuwa mie jangwani vidume vya azania vilikuwa vinajigonga sana kwa wasichana wa jangwani......hadi kula chipsi walikuwa wanakuja kula jangwani kwa Z ilimradi wapate kampani ya wasichana.
Wakati nyie mlikuwa mnakuja kusomea forest mmesahau?