Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 595
- 1,259
Nilibahatika kumsindikiza dada mmoja kwake na mizigo yake akiwa amerudi safari. Sasa ile namsaidia kuiingiza vitu ndani, sebuleni nilichokiona ni hatari!
Kweli sisi wanaume ni wachafu ila yule jamaa noma, gamboot na tope zake ndani, soksi juu ya meza, chupa za soda chini ya meza, mabuibui, yaani sio mchezo.
Sasa hapo ni sebuleni, chumbani sijui kulikuwaje! Wanawake mna mchango.
Kweli sisi wanaume ni wachafu ila yule jamaa noma, gamboot na tope zake ndani, soksi juu ya meza, chupa za soda chini ya meza, mabuibui, yaani sio mchezo.
Sasa hapo ni sebuleni, chumbani sijui kulikuwaje! Wanawake mna mchango.