Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
ha ha ha tutumiane basi
Na nani?
Kwani umetuma ukashindwa kujibiwa hata kama utapewa pole??
Babu DC!!
ha ha ha tutumiane basi
:majani7::majani7::majani7:
Heeee. Usinchekeshe (sosi Faiza fox)..Kwani wewe ulikuwa hujui?Ngoja nikutajie list ya mababu ninao wajua. Mwita Maranya , Dark City The Boss , Asprin , Kaizer , Invisible Superman Thanda , Mtambuzi Nyani Ngabu list goes on....Na siku nyingine nitawataja mabibiKwani Invisible naye ni babu siku hizi??JF ni zaidi ya burudani.....Babu DC!!
Kuna mganga fulani huku Tanga anatoa dawa ya kurekebisha mambo yako...
Naomba uwasiliane na Smile au Zion Daughter wakusindikize...
By the way.....fanya jitihada leo iwe zamu yako kumbeba mzee akirudi kwa job, ...kama weight amekuzidi sana, omba wenye maguta wakusaidie ili lengo lako litimie...
Best wishes,
Babu DC!!
Hahahahahahahaaaaaaa! Babu Dc , umenifanya nicheke sana, umejuaje, kama amenizidi uzito tena pamoja na urefu , haya mm nitamuwezea wapi wakati mimi ni si mrefu sana. Hapo unanidanganya unataka nivunjike kiuno.
Ila Leo kwa kweli kuna kitu nimemwandalia Kizuriiiiiiiiiiiii ambacho hatoamini macho yake. Naomba Mungu akifurahie.!
Kweli kabisa Kongosho...mwanamke na aibu ni mapacha...
Umenikumbusha kaneno alinambia Bibi juzi, eti....."Mwanamke manyonyo kwani makalio hata wanaume wanayo...lol"!!
Babu DC!!
Sometimea wanawake ni wajanja
Am waiting....Hata mimi najiandaa kumfungukia mtu this time next year....!!
Najua pensheni itakuwa inakaribia kuisha....
Babu DC!!
Heeee. Usinchekeshe (sosi Faiza fox)..Kwani wewe ulikuwa hujui?Ngoja nikutajie list ya mababu ninao wajua. Mwita Maranya , Dark City The Boss , Asprin , Kaizer , Invisible Superman Thanda , Mtambuzi Nyani Ngabu list goes on....Na siku nyingine nitawataja mabibiKwani Invisible naye ni babu siku hizi??JF ni zaidi ya burudani.....Babu DC!!
Usiogope..Hii thread leo ni ya kusema yaliyo moyoni.Na isitoshe siku ya leo sio ya kupeana ban ni ya kusameheana na kupendana..Mie nimekurahisishia wewe malizia...Babu sikubali
Zion Daughter ameanza kucheza rafu
Unaona ananitafutia BAN ya lazima? Eti mie nam-adimaya pilato?
Usiogope..Hii thread leo ni ya kusema yaliyo moyoni.Na isitoshe siku ya leo sio ya kupeana ban ni ya kusameheana na kupendana..Mie nimekurahisishia wewe malizia...
Usiogope..Hii thread leo ni ya kusema yaliyo moyoni.Na isitoshe siku ya leo sio ya kupeana ban ni ya kusameheana na kupendana..Mie nimekurahisishia wewe malizia...
hehehehe.Wewe balaa.si vidumu hivyo sasa???.Lakn leo ndo siku yako usipofunguka leo ndio bhaaaas...Am torn between 2babuz and 1 serengeti King'asti is my witness:shut-mouth:
Bibi mtundu, uje unialike tufundishane mambo ya vijana ya akina madame B, ya sriisam
Sometimea wanawake ni wajanja
Huwa hawasemi wazi wanam-adimaya nani
Kama anamtania tania kumbe anasubiri mwenzie ajiongeze, hujui hilo
Afu huyo wa mwisho si ataniban nikimfungukia jamani?
Am waiting....
Hatimaye.:glasses-nerdy:
Hapo sasa ndo umechafua hali ya hewa...
Nalog off....
Muwe na V day njema....
Babu DC!!
Kwa wale single ladies ambao wamedoda hadi muda huu natoa nafasi ya upendeleo hadi saa 10:00 jioni. Baada ya hapo ntakuwa na mamsap wangu kuikamilisha siku ya mapendeko viwanja fulani hivi. Kwahiyo kuna maa sita tu ya kujiondoshea upweke. lol
mwaJ na Zion Daughter msiisome hii comment, na kama mmeisoma naomba mpite kimya kimya.