Kwa wale wasio na...

Kwa wale wasio na...

Nahisi wote ni wazima, kama wewe ni mgonjwa pole sana, Mungu akuguse jioni hii upate wepesi.
Nachukua nafasi hii kutoa wito kwa wale woote wasio na wapenzi a.k.a SINGLES kutumia ukurasa huu kutuma maombi kwa mwana MMU yeyote ambae ungependa uanze na kumaliza valentine nae iwe kwa PM, hapa hapa kwenye post au vyovyote itavyowezekana. Tufanye hivi ili kupunguza idadi ya watakaokuwa wapweke kwa kipindi hiki muhimu. Mimi naanza kutuma kwa Asprin, najua ni mzee sana, tena mume wa mtu lakini kesho naomba amkimbie bibi kwa siku nzima ili anifariji.......

Wapweke wooote Naomba mtiririke sasa kuomba company kabla hujawahiwa

Pole mdogo wangu....


Kila kitu kina gharama dada....Just bear it...

Otherwise, nakutakia V njema,

Babu DC!!
 
swtlo Kaizer na dada mkubwa AshaDii kesho tuwe pamoja sana.

lkn kipekee kabisa sitoweza kuwasahau wanangu Ronn M, na noahism, wadogo zangu Mentor(pole kwa kuumwa), nyabhingi, platozoom, Blaine, Smile, kaka zangu wote Mr Rocky ( aunts zangu wazima), SnowBall, Bazazi, Dark City Mtambuzi WABHEJASANA, Jiwe Linaloishi, dada na wadogo zangu wa kike FP Kaunga Mwali Kongosho King'asti Madame B Paloma amu

mashostito wa ukweli snowhite na cacico have happy V day kwenu nyooote!!

Ahsante sana dada yangu wa ukweli gfsonwin,

Hii V day hata sijui imekaaje....

Nawatakia wote heri na faraja...muitumie vizuri siku hii!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
swtlo Kaizer na dada mkubwa AshaDii kesho tuwe pamoja sana.

lkn kipekee kabisa sitoweza kuwasahau wanangu Ronn M, na noahism, wadogo zangu Mentor(pole kwa kuumwa), nyabhingi, platozoom, Blaine, Smile, kaka zangu wote Mr Rocky ( aunts zangu wazima), SnowBall, Bazazi, Dark City Mtambuzi WABHEJASANA, Jiwe Linaloishi, dada na wadogo zangu wa kike FP Kaunga Mwali Kongosho King'asti Madame B Paloma amu

mashostito wa ukweli snowhite na cacico have happy V day kwenu nyooote!!

happy valentine mdada,ukiachana na shemeji nitafute kaka nikutoe "out"
 
hata mimi kuna mbabu nataka kumtaja ila naogopa!


Mtaje tu Smile,

BTW, Bibi kanituma niwaite wajukuu wote tutakule nao V day....

Kwa hiyo karibu sana tutakapate makachumbari na viburudisho pale Nyumbani Hotel...

Nikutumie ticket ya kindege cha saa 8 mchana??

Babu DC!!
 
Mimi natuma salamu zimwendee na zimfikie pale alipo Mzeee wa Mgegedo aka Mzabzab, Namtakia Happy V, Pamoja na mdogo wangu Tetra,Fidel80. Nawatakieni maisha mema na mazuri.
 
Babu Dc, Kwa kweli umenikuna sanaaaaaaaaaaaaaa! na umenikumbusha mbali kiasi machozi ya furaha yamenitoka nikikumbuka kitu siwezi kukisema , Duh! Asante sana kwa kunikumbusha kupitia huo mwimbo wa Shania Twain.
 
Mtaje tu Smile,

BTW, Bibi kanituma niwaite wajukuu wote tutakule nao V day....

Kwa hiyo karibu sana tutakapate makachumbari na viburudisho pale Nyumbani Hotel...

Nikutumie ticket ya kindege cha saa 8 mchana??

Babu DC!!
huyo mbabu hata wewe unamjua tena yupo tanga kwa bibi
 
Ahsante sana dada yangu wa ukweli gfsonwin,

Hii V day hata sijui imekaaje....

Nawatakia wote heri na faraja...muitumie vizuri siku hii!!

Babu DC!!

babu naona wewe kwako inaeleweka mie kwangu majanga matupu ila Mungu yupo manake ukiona unapigwa upepo sana ujue una nguvu za kustahimili.

happy valentine mdada,ukiachana na shemeji nitafute kaka nikutoe "out"

dah! dogo sasa nikiachna nae vipi?? mm hapa hata lije greda sing'oki labda mauti tu.
 
mwali v njema nawewe mpenzi!
mimi love yu mingi!af kila siku sasa!
 
:mwaaah::mwaaah::mwaaah:
Huu wimbo huuuuu!
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:

ahahahahhahahhahhahhaahahaah huu wimbo bana!
mh!NGOJA NINYAMAZE!
ila BAK na wewe mambo gani sasa haya!
wenzio tupo kazini sa hz!
ah!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom