Kwa wale wasio na...

Kwa wale wasio na...

Last edited by a moderator:
Leo vibabu vimepanda bei ghafla, mhhh hadi kibabu Asprin kimeamua kijifiche


Halafu wewe Mrembo by Nature, hebu basi tumia maneno yenye staha unapoongelea watu wenye heshima zao kuanzia home hadi huko wanakochukua pensheni zao...

Hapa hakuna vibabu, kuwa waBabu wenye P ya kuwatosha wao wenyewe na vitegemezi vyao vyote...na bado kuna wanyatiaji.....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Halafu wewe Mrembo by Nature, hebu basi tumia maneno yenye staha unapoongelea watu wenye heshima zao kuanzia home hadi huko wanakochukua pensheni zao...

Hapa hakuna vibabu, kuwa waBabu wenye P ya kuwatosha wao wenyewe na vitegemezi vyao vyote...na bado kuna wanyatiaji.....

Babu DC!!
Naona mnadai haki ya kutambuliwa km wawezeshaji, msijali hlo mmelipata....lingine?
 
Babu na Bibi Vijana!!! Kumbe Babu DC bado wamo kwenye idara hii Mkuu...Ningeshangaa sana kama rafiki yangu FP asingekuwekea like maana wimbo huu humgusa hadi kwenye nanihii!!!! :majani7::majani7::majani7:



Huu ni wa Bibi,

Ila nakupa copy tu....may be utakupa kitu kiduchu kwa siku yako ya leo,





Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Naona mnadai haki ya kutambuliwa km wawezeshaji, msijali hlo mmelipata....lingine?


Naona wewe sasa unatafuta makubwa,

Sijui tuanze kukurushia kalaana kadogo ili Val day yako ibube??

Ngoja nimwite mzee mwenzagu Asprin aje anisaidie kuamua adhabu inayokufaa!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Babu na Bibi Vijana!!! Kumbe Babu DC bado wamo kwenye idara hii Mkuu...Ningeshangaa sana kama rafiki yangu FP asingekuwekea like maana wimbo huu humgusa hadi kwenye nanihii!!!! :majani7::majani7::majani7:

Tunajikumbusha enzi zetu na pia wajibu wa sasa wa kulea wajukuu,

Tunakutakia siku ya Val njema na wewe,

Babu DC!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Want to cry.. Nahisi wangu keshawahiwa lolz..

Any way.. Kama unajua umemchukua mylove wangu plz hakikisha unamtake care .. Asi regret kunikosa lolz.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Babu na Bibi Vijana!!! Kumbe Babu DC bado wamo kwenye idara hii Mkuu...Ningeshangaa sana kama rafiki yangu FP asingekuwekea like maana wimbo huu humgusa hadi kwenye nanihii!!!! :majani7::majani7::majani7:


rafiki ulijuaje? ha haaaa
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
da jaman wana jf natafuta mschana hata wa kuchat nae mana npo alone ile mbaya,find me in 0716609750
 
Sasa rafiki FP unataka kunipa kazi ya kufukunyua posts zako zaidi ya 4,000 ili kwenda kutafuta ushahidi!? Vibaya hivyo rafiki!!!




rafiki ulijuaje? ha haaaa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mh! kwahuyo mwanaizaya kwa red, hakika lazima na wewe utakua mtuhumiwa. Mi nawaangalieni tu......:glasses-nerdy:
Ninyi wawili wote wanaizaya..Lakini Ngoja aje mwenyewe ajibu tuhuma..Naona unataka kunipakazia kesi za EPA namimi hapa naona chengachenga. Superman njoo ujibu tuhuma hizi..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom