Kwa wale wasio na...

Kwa wale wasio na...

swtlo Kaizer na dada mkubwa AshaDii kesho tuwe pamoja sana.

lkn kipekee kabisa sitoweza kuwasahau wanangu Ronn M, na noahism, wadogo zangu Mentor(pole kwa kuumwa), nyabhingi, platozoom, Blaine, Smile, kaka zangu wote Mr Rocky ( aunts zangu wazima), SnowBall, Bazazi, Dark City Mtambuzi WABHEJASANA, Jiwe Linaloishi, dada na wadogo zangu wa kike FP Kaunga Mwali Kongosho King'asti Madame B Paloma amu

mashostito wa ukweli snowhite na cacico have happy V day kwenu nyooote!!


Housegirl wako mwenye mvuto bado yupo?
 
jamani naomba hii siku tuifurahie pamoja tupendane tudumishe umo na amani lakini yasijetokea kama haya...
valentine222.jpg
Babu Dark City na Asprin wape vijana somo na maana ya hii siku ya wapendanao ( si kwa vitendo)

CC:-Zion Daughter ,Smile , Kongosho,YNNAH,Lisa,mwaJ,KOKUTONA na wengineo
 
Mi nawatakia happy Val to all JF members, and special thoughts to my JF friend list.

Keep it real. Na mwaka huu tuwakumbuke victims of physical and emotional violence, whether male, female or children. Be blessed all.
 
Nyie wadada, vidole na macho
Tusije shikana ubaya bure
Be warned!
Leo tutatoana roho kwa hivi vibabu, duhhhh vyenyewe vichache basi kaaaz kweli kweli,ningekutana na kimoja leo hata hili wigi kingenipatia hela ya kubadilisha
 
Mh Hii siku hiiii!! Nawatakia kheri iwaendee salama n happy
 
Jamani kwa kina dada na wamama mimi nina dawa ya kufanya dushelele zikwame na kuganda hata kama ana 4wd so mnakaribishwa ku-insure mali zenu!!!
mimi mtalaamu wa kunasua......pia nategua mitego,vigingi na vikwazo vyote......njooni mjihakikishie ulinzi wa uhakika
 
Easy!!! "BOSS nanihii mie sijisikii vizuri na nimekuwa katika hali hii sasa for more than a week naomba ruhusa nikamuone "DAKTARI" aniangalie kama sina tatizo kubwa" BOSS atakupa ruhusa tu maana weye ni mtendaji kazi mzuri. Wakati unasepa kwa minyato
avatar10550_69.gif
lol! unamng'ong'a BOSS huku ukijisemea moyoni "Chezeya migenye kwenye siku ya wapendanao."




ahahahahhahahhahhahhaahahaah huu wimbo bana!
mh!NGOJA NINYAMAZE!
ila BAK na wewe mambo gani sasa haya!
wenzio tupo kazini sa hz!
ah!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom