Kwa wale wasio na...

Kwa wale wasio na...

Sasa rafiki FP unataka kunipa kazi ya kufukunyua posts zako zaidi ya 4,000 ili kwenda kutafuta ushahidi!? Vibaya hivyo rafiki!!!


ha haaa, haya bwana
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Babu Dark City naona ngekxi limemuangukia. Hili jimovie liliishia wapi jameni?

Umbea, nitakusuta kwa matarumbeta, segere na mnanda

Babu kalimaliza kiutu uzima!

No major harm to either side kwa baraka za bibi.

Usiusemee moyo
Kulikuwa na 'harm' sana jana
Bibi alikuwahi saa kumi alasiri?? Mie nilidhani utakuwepo hadi jioni jioni?
 
Umbea, nitakusuta kwa matarumbeta, segere na mnanda



Usiusemee moyo
Kulikuwa na 'harm' sana jana
Bibi alikuwahi saa kumi alasiri?? Mie nilidhani utakuwepo hadi jioni jioni?

Pole sana mdogo wangu Kongosho,

May be try next season....kwa ruhusa ya Bibi..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hapo blue mbona una-insist sana, unataka kuninyima nini?

Uzuri mie valentine ni mwaka mzima, so sio lazima tusubiri next year:confused2:

Pole sana mdogo wangu Kongosho,

May be try next season....kwa ruhusa ya Bibi..lol!!

Babu DC!!
 
Hapo blue mbona una-insist sana, unataka kuninyima nini?

Uzuri mie valentine ni mwaka mzima, so sio lazima tusubiri next year:confused2:

Kwa bangi tu wewe sikuwezi.....

Haya...peleka maombi yako kwa bibi kama target ni babu...

Ila naamini utapata unachokitafuta...:smiling::smiling::mwaaah:

Babu DC!!
 
:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Ngoja niandae waraka wa kumuomba bibi

Hatimaye. . .

Kwa bangi tu wewe sikuwezi.....

Haya...peleka maombi yako kwa bibi kama target ni babu...

Ila naamini utapata unachokitafuta...:smiling::smiling::mwaaah:

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Ngoja niandae waraka wa kumuomba bibi

Hatimaye. . .

Best wishes.........(ila kweli unataka kusema kuwa unazo nguvu na resources za kupoteza kiasi hicho??)

Babu DC!!
 
Hahahahah lol! 😛hoto:

Bibi mtundu, uje unialike tufundishane mambo ya vijana ya akina madame B, ya sriisam


Sometimea wanawake ni wajanja
Huwa hawasemi wazi wanam-adimaya nani
Kama anamtania tania kumbe anasubiri mwenzie ajiongeze, hujui hilo

Afu huyo wa mwisho si ataniban nikimfungukia jamani?


Am waiting....
Hatimaye.:glasses-nerdy:
 
He he he, Babu umeona hapo juu?

Ona alicho-highlight red BAK, utagundua kitu hivi


Siwezi kuona kitu kwa sababu unahangaika kushoot a dead target...

Kwani preys ambazo mabado zinaweza kutimua mbio kama za swala huzioni?

Hapa ninachoona mimi ni uonevu tu...!!

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom