Naomba nikupongeze
Lisa, Ni watu wachache sana hupata hayo machozi ya furaha...wengi wetu huishia kulia yale ya uchungu na yanayoacha vidonda kwenye mioyo yetu... Labda jaribu na hii namba 2 ya Bibi, Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Babu Dc Inaonyesha bibi anafaidi sanaaaaaaaaaaaaaaa! Loh! huo unanikumbusha wakati naenda kwake siku za jumamosi saa nne asubuhi , unakuta keshafanya usafi na kauweka huo wimbo, basi ukifika unavyopokelewa kwa shangwe , Loh! Embu niucopy nikamuwekee leo, maana siku hizi wala sishangiliwi tena nikirudi home wala kupokelewa kwa kiss. leo nao=enda kudai haki yangu ya msingi ya kupikelewa wakati narudi kwa ofisi kama alivyokuwa ananipokea nikienda kwake.