Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,478
we dada unatutia aibu ina maana hata hujui kitu unachotaka kwanza hayo mahusiano ya watu wote hao ya nini nyie ndo wale mnaotuaibisha mpe nafasi yule ambaye yupo moyoni mwako pesa na mali ni matokeo zaweza kwisha au ziwepo lakini usizione usifikiri kupata mume mwenye pesa ndo kufanikiwa kimaisha . unaweza usizione vile vile mali utatafuta mkiwa wote na utaifurahia sio hiyo ya kwenda kula jasho la wenzako
kwa maelezo yako na wasiwasi na wewe sidhani kama utaweza vumilia kama sio yale ya kwenda kumpa presha mmasai baada ya ndoa huku ukiendelea kuchuna mali za vigogo .
kwa maelezo yako na wasiwasi na wewe sidhani kama utaweza vumilia kama sio yale ya kwenda kumpa presha mmasai baada ya ndoa huku ukiendelea kuchuna mali za vigogo .