Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Olewa dada yangu. ..

Saaa nyingine tunachagua kupita kiasi mwishowe twakosa kila kitu. .
tuna tafufuta mwanaume aliye perfect kwenye kila idara. .lakini hakuna alie huvyo. Ukipata mwenye asilimia 80% that is close to perfect dear. .

Haya mie nasubiria mwaliko. .
 
Olewa dada yangu. ..

Saaa nyingine tunachagua kupita kiasi mwishowe twakosa kila kitu. .
tuna tafufuta mwanaume aliye perfect kwenye kila idara. .lakini hakuna alie huvyo. Ukipata mwenye asilimia 80% that is close to perfect dear. .

Haya mie nasubiria mwaliko. .

Huyu mara anataka mchaga mara mmasai shauri zake ataishia:crying::crying::crying::crying:
 
Huyu mara anataka mchaga mara mmasai shauri zake ataishia:crying::crying::crying::crying:

Ooooooohhhhhh dear najua tunapenda penye fedha. .
Lakini mie naona fuata penye upendo. .
Fedha ni mchanga .
Na upendo ndo ardhi. .
 
eeh Marytina wewe Mkali
Naona una shortlist ndefu ya wachumba sasa
Siamini kama wote hao haudo nao.
1.Huyo mnapeana Busu siamini kama kila siku atakubali apewe busu na kuondoka:lying:
2.Huyu wa kumtoa Chunusi ndo basi tena sikuamini kabisa :nono:
3.Wa mabusu kumi nae napata utata:lying:4.Wa kumaliza vyote -mmh
5.wakumpungia:nono:
6. Wakupena mikono:A S 39:
Binti Marytina naona kama umekosa maadili au kwa vile mie nishajizeekea miaka ile mambo haa makubwa sijapitia:A S 39::confused2:
 
Nmemgundua huyo mmasai...! Na sasa naenda kumshtua...! However, i am a man...
 
eeh Marytina wewe Mkali
Naona una shortlist ndefu ya wachumba sasa
Siamini kama wote hao haudo nao.
1.Huyo mnapeana Busu siamini kama kila siku atakubali apewe busu na kuondoka:lying:
2.Huyu wa kumtoa Chunusi ndo basi tena sikuamini kabisa :nono:
3.Wa mabusu kumi nae napata utata:lying:4.Wa kumaliza vyote -mmh
5.wakumpungia:nono:
6. Wakupena mikono:A S 39:
Binti Marytina naona kama umekosa maadili au kwa vile mie nishajizeekea miaka ile mambo haa makubwa sijapitia:A S 39::confused2:

Mkwe muweke sawa huyu mdogo wako banaa asije akaingia shimo la tewa
 
eeh Marytina wewe Mkali
Naona una shortlist ndefu ya wachumba sasa
Siamini kama wote hao haudo nao.
1.Huyo mnapeana Busu siamini kama kila siku atakubali apewe busu na kuondoka:lying:
2.Huyu wa kumtoa Chunusi ndo basi tena sikuamini kabisa :nono:
3.Wa mabusu kumi nae napata utata:lying:4.Wa kumaliza vyote -mmh
5.wakumpungia:nono:
6. Wakupena mikono:A S 39:
Binti Marytina naona kama umekosa maadili au kwa vile mie nishajizeekea miaka ile mambo haa makubwa sijapitia:A S 39::confused2:

Under 18 huyu anatuzingua tu hapa. Huwezi sema maneno haya kama umekuwa
 
Mie mbabu
We siyo wa kuolewa kabisaaaaa
Umechakachuliwa vya kutosha endelea kulimbikizia magume magume yako puuuu
 
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.

Typical golddigger!
 
Mbona Yaonyesha Unataka vyote? Kuolewa Umasaini na Pesa.......................My Advice. Olewa Umasaini and wewe na Masai mpange mikakati ya kuzisaka hizo Karatasi ziitwazo pesa!!!!!

Note: Nimevunja agano. Mimi ni mkaka, I guess my advise may sound so usi judge Gender
 
Mbona Yaonyesha Unataka vyote? Kuolewa Umasaini na Pesa.......................My Advice. Olewa Umasaini and wewe na Masai mpange mikakati ya kuzisaka hizo Karatasi ziitwazo pesa!!!!!

Note: Nimevunja agano. Mimi ni mkaka, I guess my advise may sound so usi judge Gender

Kwa mmasai atakuwa amefurahia ile kitu inayobaki inaning'inia
 
Back
Top Bottom