Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.
Asikudanganye mtu mwaego... fata kwenye pesa, mapenzi hayaliwi, hayakupi prado, hayakununulii cheni na heleni za dhahabu, hayakupeleki shopping dubai, money does.... pesa ni kila kitu, akikuchanganya unakuwa ushajilimbikizia na wewe mali zako kifisadi hubabaiki, unaenda kwa mwingine mwenye pesa kuongezea za kwako... kumbuka "chako, chako.... chake, chenu"....:car:
Asikudanganye mtu mwaego... fata kwenye pesa, mapenzi hayaliwi, hayakupi prado, hayakununulii cheni na heleni za dhahabu, hayakupeleki shopping dubai, money does.... pesa ni kila kitu, akikuchanganya unakuwa ushajilimbikizia na wewe mali zako kifisadi hubabaiki, unaenda kwa mwingine mwenye pesa kuongezea za kwako... kumbuka "chako, chako.... chake, chenu"....:car:
sorry nilipaniki nikakuita mkaka, am real sorry for that, vipi mzimz wewe? jana nlikuwa na masai wangu tulienda wote kanisani, then tukaachana jioni nkaenda kwao mama yake akaendelea kunifundisha lugha ya kimasai kila sekunde nliifurahia, you knowkwa sasa mtu hawezi kuniteta kimasai.hahahahahaaa!!!! unatafuta mwanaume halafu unawaita wengine wambeya? kama huna respect kwa wanaume unatafuta nini kuolewa sasa.
kama sio kwa future ya watoto what is the biological sense of life.In wild, mbuga, mapori only simba wanaozaliwa na baba strong will survive and hence pass to next kizazi so kwa kuwa maisha yanabana ni muhimu kuwa na chalii strong (pesa) ili watoto wasurvive.ulivyong'ang'ania future ya watoto, na usipozaa je itakuwaje kuishi na mtu usiempenda, kumbuka kuzaa nayo ni majaaliwa
jamani dada wa ajabu sana,kupendwa bahati just ujue ni wachache sana wanaopendwa kwa hiyo usiichezee hiyo bahati kwa mmasai.anaishi na mama yake kwani ukiongezeka wewe atashindwa kukulisha?Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.
hata kama ni yenu dadazangu naomba mpokee michango ya wakaka na wababa manake tunamshangaa huyu bintinimepotea njia,kwa heri
kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.