Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

sasa mbona unaanza kandia wamasai?au kaka zako wamarangu unawaonea huruma?kumbuka hao wachaga ni wajomba zangu

Marytina,kuna utani huku JF pia,soma mtiririko wa mazungumzo utagundua tunataniana......

Siwezi kandia kabila la mtu,binadamu wote ni sawa na wana haki ya kupenda na kupendwa

Na kote huko nyuma nimekushauri uusikilize moyo wako,ambao uko kwa mwanaume ambaye ni mmasai.

Samahani kama nimekukwaza.
 
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.

Mkubali atakayekutundika mimba wa kwanza...
 
Dunia inaelekea dkk za majeruhi mwisho wa cku atakuja shoga anaomba ushauri jf.2muogope mungu jamani
 
Mkubali atakayekutundika mimba wa kwanza...
mkaka mbeya umefwata nini in this sredi,NIELEWE SIMAANISHI NATEMBEA NAO WOTE,mmoja yupo standby anasubiri mwenzake alikoroge
 
Marytina,kuna utani huku JF pia,soma mtiririko wa mazungumzo utagundua tunataniana......

Siwezi kandia kabila la mtu,binadamu wote ni sawa na wana haki ya kupenda na kupendwa

Na kote huko nyuma nimekushauri uusikilize moyo wako,ambao uko kwa mwanaume ambaye ni mmasai.

Samahani kama nimekukwaza.
NAWAOGOPA WAKAKA WAMBEYA ningekuomba ushauri wa jambo lingine ila nahisi watairukia hiyo sredi waaribu kabisa mantiki yake
 
NAWAOGOPA WAKAKA WAMBEYA ningekuomba ushauri wa jambo lingine ila nahisi watairukia hiyo sredi waaribu kabisa mantiki yake
hahahahahaaa!!!! unatafuta mwanaume halafu unawaita wengine wambeya? kama huna respect kwa wanaume unatafuta nini kuolewa sasa.
 
ulivyong'ang'ania future ya watoto, na usipozaa je itakuwaje kuishi na mtu usiempenda, kumbuka kuzaa nayo ni majaaliwa
 
NAWAOGOPA WAKAKA WAMBEYA ningekuomba ushauri wa jambo lingine ila nahisi watairukia hiyo sredi waaribu kabisa mantiki yake

Ni PM Marytina nikupe ushauri!!! unajua hawa kaka zetu ndo watakaokuwa mume na mashemeji,unakomaa nao hivyo hivyo ili uwafahamu,ukiepuka kuwajua vizuri itakupa shida,so maoni yao ni muhimu pia.:A S 39:
 
Dah!! kazi kweli kweli....ngoja nivute pumzi nirudie tena kuisoma hii post maana ni kama tamthilia
 
Chagua moyo unaopenda, usijidanganye kwenye suala la fedha haileti furaha kamwe, na siku yoyote hupotea, but true love last longer never die.
 
kawaulize dada au shangazi zako kama kabla ya kuolewa walikuwa na mmoja and the only mmoja.wakaka mnajiona wajanja mnazungukwa ile ni aje, cha muhimu mdada usikubali kumegwa na wawili kipindi kimoja.ukiwa na JAMES usimegwe na kimaro ila muweke standby

Na huyo mwanaume atakayekubali kuwekwa standby, then he must be the dumbest man on the planet. Yaani anastandby wakati unamegwa na mwingine? Halafu unaona ni bonge la ujanja.
 
Halafu ana mkataba na Mungu, kwamba huyo mtu ataishi adi watoto wakue awasomeshe!!

Na pia hata hizo pesa hazitakaa milele. Nenda tuu kaolewe na huyu mchaga maana namwonea huruma huyo mmasai. Inaonyesha hakujui na atakapokujua mkiwa mmeshaona kazi ipo.
 
Mimi ni mkaka ila naomba niingilie kuku-save dada yetu.
Kwanza unatakiwa ujue na utambue NI KITU GANI KINAKUSUKUMA UINGIE KTK NDOA, pesa???? Upendo??? Kabila???? Sura ya mtu???
Pili unatakiwa uachane na fikra tegemezi kwa kutegemea pesa ya kukutunza itoke kwa mwanaume, wewe huwezi kujenga uwezo wa kujipatia pesa yako mwenyewe, au umeshakata tamaa???
Tatu fahamu kwamba ukimfuata mwanaume kwa pesa, atakudhibiti kwa pesa, atakuburuza kwa pesa, atakunyanyasa kwa pesa, na mwishowe atakumaliza kwa pesa.

Hitimisho ni kwamba, wanawake wengi wanashindwa kufanya maamuzi kwa faida ya maisha ya baadae badala yake hufanya maamuzi kwa faida ya leo na kesho. Hakuna mtu aliyezaliwa na pesa, na kwa hiyo pesa inaisha. Ila kuna watu wamezaliwa na upendo, na upendo KAMWE HAUISHI.
Fanya maamuzi sahihi
CPU, The GreatMan

I agree with you. Most women try to form a relationship out of thin air and set up high expectations very early. When you are doing something under the influence of money you will never see the situation for what it truly is. You will see the man as perfect because of his money even if he has many flaws. All his flaws would seem acceptable to you and you won't be bothered by them because of his money.
 
jiulize upendo utalipa bili za matibabu?wanangu wajesoma st.kayumba cz of upendo,upendo hulipa ada za shule, ELEWA MUME SI SWALA LA MCHEZO ni yeye atakayekuwezesha survival ya watoto.TUNAKULA ILI TUISHI, TUNAISHI ILI TO PASS OUR GENETIC MATERIALS TO NEXT KIZAZI sasa ya nini uzae wakati unajua watoto wataperish?au tubadilishe ccm tuweke chadema sera na mwelekeo ueleweke mapema.

Wakati yeye anawezesha survival ya watoto wewe utakuwa unafanya nini?
 
Unajiulizaga kuhusu watu wasio na kazi wala elimu wala ardhi ya kulima na wanaishi na watoto wao wanakua vizuri na kuwa watu wa maana kutoka hizo ST Kayumba,ila wametoka ndoa zenye amani na furaha na upendo??na wanakuwa watu wa maana sana???Ukitaka kufanya decision yoyote angalia pande tofauti,maisha yako hayako mikononi mwako,do your best,the rest leave it to GOD......Hata nchi hii ikienda CHADEMA,hawatakuwa suluhisho la kila kitu,haya umeolewa na huyo mmarangu hela zikaisha,utamhama uende kwa mwingine,why this dependency behaviour???Huwezi kusimama kama Marytina,yani you are not taking any initiative unang'ang'ania watoto na shule wasomeshwe,we ni mlemavu wa ubongo,huwezi fanya kazi???

Nimeipenda hii. Akina dada mwelimisheni mdogo wenu. Inaonekana kama vile bado ana zile fikra za kizamani kuwa baba ndio kila kiti kwenye maisha ya ndoa. Things has moved on hasa kwa wanawake. Hawako tena dependent kwa wanaume. Pia wanaume wa siku hizi hawapendi kuoa wanawake tegemezi wasio kuwa na mbele wala nyuma. Maisha ya siku hizi ni kumwachia Mungu tuu. Kitu chochote kinaweza kutokea. Lakini tayari unazungumzia watoto kwenye vyuo vikuu. Life sio predictable hiyo kama unavyofikiria.

Labda tumuulize a very simple question. Kama akiamua kumwoa huyo mchaga kwa sababu ya hela zake, siku ya harusi akiwa pale altere would she say from her true heart these marriage vows?

I, [Marytina], take you, [Mchaga], to be my (husband). I promise to be true to you in good times and in bad, in sickness and in health. I will love you and honor you all the days of my life. I, [Marytina], take you, [Mchaga], for my lawful (husband), to have and to hold, from this day forward, for better, for worse, for richer, for poorer, in sickness and in health, until death do us part.
 
Back
Top Bottom