Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,631
- 3,543
ila sredi nitaanzisha mimi
We si ndio kichwa?? sina ubishi na hilo,una maana sana kwangu!!!
ila sredi nitaanzisha mimi
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.
We si ndio kichwa?? sina ubishi na hilo,una maana sana kwangu!!!
tena wa mwika ndaniiiii
Nipo na ninaona, sihitaji miwani.yaani nazidi kukupenda every minute...naona watu wamelala humu sie tujivinjari....
yaani nazidi kukupenda every minute...naona watu wamelala humu sie tujivinjari....
Sala zimejibiwa nilikuwa naomba nipate mmarangu wa mwika ndani mwenye pesa kama loan board,na nimepata,mmasai sasa anaweza kuwa historia!!!
Unaonaje utuweke kwenye line angalao wawili......yani hashy kity cha mwika ndani, mimi kitu cha mamba ndani......unacheki wapi pana landrover na wapi pana Toyota stout....the unajichagulia mmarangu wako mmoja.Sala zimejibiwa nilikuwa naomba nipate mmarangu wa mwika ndani mwenye pesa kama loan board,na nimepata,mmasai sasa anaweza kuwa historia!!!
Unaonaje utuweke kwenye line angalao wawili......yani hashy kity cha mwika ndani, mimi kitu cha mamba ndani......unacheki wapi pana landrover na wapi pana Toyota stout....the unajichagulia mmarangu wako mmoja.
Nipo na ninaona, sihitaji miwani.
si mnaweka mipango ya kusomesha university wale watoto wenu sita?
Kesho mapema kabisa umcheck TF......atakuwa amewahi Marie Stopes kucheck malaria.......unafikiri kitu cha Tanzania distileries + TATIANAunapata nini?
mipesa ya kazi gani bana! Simba kwanza. What is ze use of pesa if simba is not grooming l.o.l
mmasai na mapenzi wapi na wapi bana! njoo huku tuponde mali kufa kwaja...au umesahau ule wimbo wa vunja mifupa ingali bado meno iko?
Unaonaje utuweke kwenye line angalao wawili......yani hashy kity cha mwika ndani, mimi kitu cha mamba ndani......unacheki wapi pana landrover na wapi pana Toyota stout....the unajichagulia mmarangu wako mmoja.
Unaonaje utuweke kwenye line angalao wawili......yani hashy kity cha mwika ndani, mimi kitu cha mamba ndani......unacheki wapi pana landrover na wapi pana Toyota stout....the unajichagulia mmarangu wako mmoja.
Si ndo hapo,maisha mafupi haya!!! niko njiani,mimi as long as hela ya kusomesha watoto ambao bado hatuna na hatuna uhakika kama tutakuwa nao,mimi niko tayari..........on ma way!!!😛lane:😛lane:😛lane:
kaka mimi nina mandolini tatu,mifugo wakufikia mbege daily.....halafu ukome kuwa house breaker
usizae basi we baki tu na simba wako,watoto wakifika hatua ya university itakuwaje!!! Watapigwa mabomu,wakiandamana ati????
nahivyo ulivyokuwa unawapanga ukute umeangusha ka watoto watano halafu kizazi kimefeli....university lazima iwe yako
hahahahaa! TATIANA anamix nyagi na St. Anna.........lazima wakimbie leo.Unapata wale wanaotufanya tusichague mapenzi ya kweli bali hela........
😛lane:
Na wale hivi hawajajipanga,na Tatiana aliwahi kule inaonyesha patachimbika,mi ntapita pale mwenge......nikiwakuta straight kwa mchungaji wakatubu kama itakuwa tayari wameshapimwa malaria........lol