hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,841
Nilikuwa sitoi bana,kwani wanaume wana maana???
mpaka uje utambue kuwa hawana maana lazima foleni ya hit and run ilikuwa kubwa ka ile ya kumuona dokta masawe wa tumaini
Nilikuwa sitoi bana,kwani wanaume wana maana???
hahahahaa! Tatiana anamix nyagi na st. Anna.........lazima wakimbie leo.
Aisee hashy...........mi nina bar na bucha la nguruwe.Usimjibu huyo mmasai aliyehamia marangu,mi stout ya nini sasa wakati una mandolini na mifugo????
We Big vipi?? hujioni??
Orait.........wanaume hawana maana ila Hashy na Biggie wana maana.Nilikuwa sitoi bana,kwani wanaume wana maana???
mpaka uje utambue kuwa hawana maana lazima foleni ya hit and run ilikuwa kubwa ka ile ya kumuona dokta masawe wa tumaini
Aisee hashy...........mi nina bar na bucha la nguruwe.
kwanza kwanza watoto wataanza kuuza bar na kuuza bucha wakati wanatoka shule ili wajue hela inatafutwaje............na wasipofungua bar yao au hata duka kabla ya chuo kikuu, watapigwa mabomu mungu naapa.
Orait.........wanaume hawana maana ila Hashy na Biggie wana maana.
hahahaha!! Unajua hata Marytina anafanya hivyo hivyo, ila yeye anaweka Lymo, anabandua Tarimo, anaweka Masawe, nabandua Makundi.hahaaa,hakimbii mtu hapa ni kilaji tu bandika bandua bigie.
mimi mama yangu mchagga alishaniambia,hawana maana...............lol
asee bigirita unataka tuweke mali zetu hazarani eeeh.....
hapana muzee ya Mwika ndani ndani.........tufanye hivi, twende tukanywe bia pale Rombo......kama sio tamu tukanywe za marangu mtoni.....kama huwezi basi michelle naitumia kupata pilau fasta. how about that!!asee bigirita unataka tuweke mali zetu hazarani eeeh.....
mimi mama yangu mchagga alishaniambia,hawana maana...............lol
no mane no hane....l.o.l
hahahahaaa! sasa naona umeingia kwenye siasa za zenj.........soree!! hahahahaaa!Achana nae tafadhali, tusije vamiwa,hajui watu tuna vihamba kama mkoa mzima wa Dar kule kijijini, na hata ile Airport ya Himo tumegawia tu serikali,Biggie anajiona sana na hilo bucha lake,nchi ikigawanywa huna lako wewe!!!!
Mi niache hapo hapo kwenye list.......... si unajua unaweka unabandua, sasa ukimbandua Hashy utaweka nn kama hakuna mtu kwenye list?ndio,Hashy ana maana zaidi,wewe Biggie uko kwenye list tu!!!:A S 39:
hapana muzee ya Mwika ndani ndani.........tufanye hivi, twende tukanywe bia pale Rombo......kama sio tamu tukanywe za marangu mtoni.....kama huwezi basi michelle naitumia kupata pilau fasta. how about that!!
ndio,hashy ana maana zaidi,wewe biggie uko kwenye list tu!!!:a s 39:
biggie nikuletee kamba?