Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

hahah! ulivyo na uhakika........Unaongea na Professional hapa. shauri yako.

hahaha habari ake professional bana and heart maker mimi aminia ww cna maneno ingine, chuda raha
 
money cant buy love,!!

Sorry nilikuwa napita tu, lakini mi ni mbaba siyo mkaka. You don't know what true love real means, hela zikihama huko ziliko na ukimtosa huyo anayekupenda kwa dhati kikimchanganyia watcha gonna du?
 
lo! bahati mbaya ma baba tumepigwa stop tusitie neno,vinginevyo .....!
 
Kwanza kabisa sifagilii watu wanaopanga wenzao mstari!So unfair maana wenyewe unaweza kuta wamefika kumbe wako kwenye majaribio!!Ushauri..pesa zinaisha kwahiyo ukizitumia kama kigezo cha kuolewa baadae mambo yakaenda ndivyo sivyo ndo mwanzo wakutengana kwasababu hutokua na mapenzi ya kweli!Kama unampenda Mmassai yeye ndo anakufaa!Kama ni pesa mtatafuta pamoja!
tafadhali lizzy hujanielewa naposema ninamahusiano na wakaka katika levo tofauti,kuna wakumpungia,wa kupeana mikono,busu mmoja,wakumtoa chunusi kifuani,na mabusu kumi na wakumaliza vyote. sio kwamba wanapa same treatment.
 
tafadhali lizzy hujanielewa naposema ninamahusiano na wakaka katika levo tofauti,kuna wakumpungia,wa kupeana mikono,busu mmoja,wakumtoa chunusi kifuani,na mabusu kumi na wakumaliza vyote. sio kwamba wanapa same treatment.

Aisee we mkareeee, mkareeeee
 
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.

Marytina...............yaani mimi nakuona ndito kumbe kuna wachagga wanaku-nani hiii **** alafu unanidanganya.........., pea si karatasi tuu mbona nakupaga yaani kumbe hutosheki na raha yote nnayo kupa kukupandisha kwenye magri ya tours ...aaah ero ntaua mtu:frusty:
 
Marytina...............yaani mimi nakuona ndito kumbe kuna wachagga wanaku-nani hiii **** alafu unanidanganya.........., pea si karatasi tuu mbona nakupaga yaani kumbe hutosheki na raha yote nnayo kupa kukupandisha kwenye magri ya tours ...aaah ero ntaua mtu:frusty:

Huyu hajui anachotaka
 
Back
Top Bottom