Kwa wadada ambao hawajaolewa

Kwa wadada ambao hawajaolewa

kwa uzoef wangu mdg ni kuwa mwanaume wa kuoa huwez kumjua huwa anakuja tu pasipokutegemea' namshukuru cna Mungu sijiangaishi na wanaume hata angekuwa ana nin yan no shobo'akipenda anioe ts fine akiona vp ale kona tu cha muhm kwangu kazi yang tu

Bravo...!! Umetisha mbayaaaa....unatumia kinywaji gani best?
 
Natumai mu wazima wote.

Kwenu dada zangu na wadogo zangu;Jamani wadada tunapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya kutegea mimba wanaume itatusababishia kuongeza watoto wasiojua baba zao,utoaji wa mimba na kutupa watoto nchini.

Sikatai kuna bahati mbaya ila wengine wanatega makusudi.

Sio kila mwanaume uliepo nae ana mpango wa kukuoa wengine ni wasafisha rungu tuu yaani "wanapita tuu.

Hakikisha unaujua mwili wako"siku zako za hatari" na tumia kinga kila wakati.

Hapo ndipo wengi tunapoangukia ..yaani mtu anavyokuja kwako tayari anataka #kusuuza Paipu kisha asepe zake.
 
kwa uzoef wangu mdg ni kuwa mwanaume wa kuoa huwez kumjua huwa anakuja tu pasipokutegemea' namshukuru cna Mungu sijiangaishi na wanaume hata angekuwa ana nin yan no shobo'akipenda anioe ts fine akiona vp ale kona tu cha muhm kwangu kazi yang tu

Ni vzur kujipa moyo na kujifariji ila nafsin mwako ukweli upo kuwa unahitaji sana iyo ndoa na hasa ukiangalia umri wako
 

Attachments

  • 284316_226434700731817_1878564_n.jpg
    284316_226434700731817_1878564_n.jpg
    19.1 KB · Views: 105
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom