Kwa wadada ambao hawajaolewa

Kwa wadada ambao hawajaolewa

Wanaume wenyewe lege lege wanajua kusimamisha bao moja nakujiona vidume ... kutafuta hela hawawezi
Labda siyo wa kilimanjaro sasa nyie katafuteni vijanaume vyenu pwani afu mropoke ropoke. Nchi ya kilimanjaro haina mwanaume lege lege
 
Labda siyo wa kilimanjaro sasa nyie katafuteni vijanaume vyenu pwani afu mropoke ropoke. Nchi ya kilimanjaro haina mwanaume lege lege

ha h ahaha tena wa huko pia ni shida now days walikuwa zamani sa hivi mmmh
 
Wamekusikia,wamekuelewa lakini hawatazingatia.
Natumai mu wazima wote.

Kwenu dada zangu na wadogo zangu;Jamani wadada tunapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya kutegea mimba wanaume itatusababishia kuongeza watoto wasiojua baba zao,utoaji wa mimba na kutupa watoto nchini.

Sikatai kuna bahati mbaya ila wengine wanatega makusudi.

Sio kila mwanaume uliepo nae ana mpango wa kukuoa wengine ni wasafisha rungu tuu yaani "wanapita tuu.

Hakikisha unaujua mwili wako"siku zako za hatari" na tumia kinga kila wakati.
 
ha ha ha ha na kweli alalfu wanamwaga ndani matokeo yakitokea wanakimbia mfyuuuu

tena ukiwambia kuvaa ndom mnaeza gombana.....sasa wambie naskia kichefchef au tumbo linaiuma kwa hapa.. sikuhiz sijisikii kula maharage wanavotoa mimachoo...
 
tena ukiwambia kuvaa ndom mnaeza gombana.....sasa wambie naskia kichefchef au tumbo linaiuma kwa hapa.. sikuhiz sijisikii kula maharage wanavotoa mimachoo...

Utayasikia yakisema we kwa nini ulikuja ukiwa danger .. hakuna wanaume siku hizi
 
kwa uzoef wangu mdg ni kuwa mwanaume wa kuoa huwez kumjua huwa anakuja tu pasipokutegemea' namshukuru cna Mungu sijiangaishi na wanaume hata angekuwa ana nin yan no shobo'akipenda anioe ts fine akiona vp ale kona tu cha muhm kwangu kazi yang tu
 
tena ukiwambia kuvaa ndom mnaeza gombana.....sasa wambie naskia kichefchef au tumbo linaiuma kwa hapa.. sikuhiz sijisikii kula maharage wanavotoa mimachoo...
Raha ya pipi iliwe bila ganda lake mahondaw au wasemaje mkuu miss chagga?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom