miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Nitegeshee mm tafadhaki ni ujanja huo😀
Aiseee hapana ni ujinga huo
Nitegeshee mm tafadhaki ni ujanja huo😀
duuuhh...pole sana
Pole mwaya...Mungu niepushe
yaani wanakua wapole kweli..mwingine kama alikua hana mpango wa kukuoa utamuona anakonda kabisaaaa ....halafu sikuhizi kuoa mpaka akupachike mimba eti hawajiamini kabisa yani....OGOPA SANA KUWEKWA NDANI KISA MIMBA....ni kama umeolewa ACCIDENTALLY ....
Nikibeba nini atiii....weeee uchukue mtoto??? Nakanywesha sumu tukose wote. (joking....ni katika kuonyesha tu msisitizo)
Lakin si ulifurahia rungu na mtt umepata
yaani badala ya kusikitika nimejikuta nacheka iyo kauli yako eti aliosha rungu lake hahahahaah pole
nafurahia mtoto japo namlea peke yangu lakini ananipa furaha sana..
Tatizo mkiambiwa ukweli kuwa tunataka kuosha rungu mnabana
ndo hivo .aliosha likatakata akajipima kama ana uwezo wa kuzalisha akajiona anao.akaoa me nalea kichanga yeye yuko fungate.....
Tumekusikia. But na nyie wanaume kama huna mpango na Mtu muache tu. Unalala na binti wa watu while unajua huna future naye what for? Wengine hawajielewi ndo atakutegeshea mimba akidhani ndo hutamuacha, kumbe ataachwa tu na Mwisho wa siku mtoto ndo anayekuja kuteseka. Huna future na Mtu, then be a gentleman, dont sleep with her, si hutaki mimba na Mtu usiye na future naye???
asante .usiombe yakukute
...inauma sana mpaka leo mtoto wangu ana miaka minne lakini sijasahau na
sina hamu ya kuolewa.
Dah, kuna watu ni wakatili...
Thank God hii tabia ya kutongoza ''bila sababu'' nimeacha mda sana...it's so sad..!
..Pole, stay strong!!
Pole sana,lakini usikate tamaa!
Weweeee.... K ni K tu....roho mbaya tu imewajaa kutaka tu kuchezea feelings za watu
Mkiachiwa mnalalamika. Okay utamlea mwenyewe under my supervision.
ndio k ni k ila tambua kuna kitu kinaitwa hisia...
Sio kila mwanamke anamvuto kwa mwanaume....
Unajua kuna baadhi ya wanawake ukimuangalia tu muonekano wake tayar unaanza kujenga hisia ya mapenz na kuna mwingne hata akutege vp unamwona kama mwanaume mwenzio..
Nakupa mfano:
mm ndio bf wako naweza kuwa nakugegeda lakn kumbe kichwan mwangu nmejenga picha ya Evelyn Salt ndio inanifanya nisimamishe mpaka nipiz.
Hata kama ni wakupita tu mwanamke mstaarabu ndio analeta raha sana kwenye kipind husika
Mbona wapo wanawake wengi tu, anakupa free tu na mwisho wa siku hata hakugandi, kawatafute tu. Huna future na mimi, si uende sasa ukamtafute huyo unayeona una future naye? Tudanganyeni tu but tukiwategeshea hizo mimba msilie lie tu.
Nyooo....hem pisha kule...