miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Dah!! inaonyesha jinsi gani ulivyowachoka
ha ha ha ha mkuu acha tu
Dah!! inaonyesha jinsi gani ulivyowachoka
madhara yapo mengi tu tumia sabuni ya kipande tena jamaa,,,, shower jelly
Natumai mu wazima wote.
Kwenu dada zangu na wadogo zangu;Jamani wadada tunapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya kutegea mimba wanaume itatusababishia kuongeza watoto wasiojua baba zao,utoaji wa mimba na kutupa watoto nchini.
Sikatai kuna bahati mbaya ila wengine wanatega makusudi.
Sio kila mwanaume uliepo nae ana mpango wa kukuoa wengine ni wasafisha rungu tuu yaani "wanapita tuu.
Hakikisha unaujua mwili wako"siku zako za hatari" na tumia kinga kila wakati.
kutegesha mimba ni ujinga
Umeshaambiwa wanataka kuosha rungu....jitu lina migenye na majukumu halitaki unataka lifanyeje? Wapige nyeto? Aah vibaya hivyo mtoto mzuri waache vijana wale raha....
Sie tunatambua ndio maana ikifika expiredate tunasepa kwenu zinabak hasira na lawama
Utayasikia yakisema we kwa nini ulikuja ukiwa danger .. hakuna wanaume siku hizi
Ushauri wa maana kweli,
naomba ufafanue vzr kwenye kutumia kinga
yaani wanakua wapole kweli..mwingine kama alikua hana mpango wa kukuoa utamuona anakonda kabisaaaa ....halafu sikuhizi kuoa mpaka akupachike mimba eti hawajiamini kabisa yani....OGOPA SANA KUWEKWA NDANI KISA MIMBA....ni kama umeolewa ACCIDENTALLY ....
Aiseeee...kwa hiyo unavyoniambia utanioa unanidanganya kumbe...?? Alafu....kama unataka kugegeda tu na kutembea kwa nini umfuate mdada wa watu anayejiheshimu na mwenye malengo ya kujenga familia wakati wapo kibao wanaouza na hawana shida ya ndoa wala kukufuatilia unakaa wapi?
Bahati mbaya sikuwa kuwa mpurukushani kiasi hicho. Yangu ukibeba lazima uzae na mtoto nachukuwa.
haa! Ww vp kwan kuna mtu anapenda kugegeda walu walu?
Aliyetulia kama ww ndio anatakiwa....
Aaaaaah wanasemaga basi Kama wanataka Kuosha rungu...? Anakukoleza weee na viungo vya zenji, unakuja tu kushangaa picha zake za harusi. Wawe tu wakweli Kuwa wao wanapita, ukitaka kujilipua basi freshiiiii tu
Tatizo mkiambiwa ukweli kuwa tunataka kuosha rungu mnabana