Kwa wadada ambao hawajaolewa

Kwa wadada ambao hawajaolewa

Tege Utegwe..Ila Na Hako ka Mchezo kamewasaidiaa wengi me nahisi kama kucheza kamari..
 
Huwa nawaza tu Kama watoto wangejaliwa option ya kuchagua wazaliwe na wazazi gani sijui ingekuwa vipi?
 
Tumekusikia. But na nyie wanaume kama huna mpango na Mtu muache tu. Unalala na binti wa watu while unajua huna future naye what for? Wengine hawajielewi ndo atakutegeshea mimba akidhani ndo hutamuacha, kumbe ataachwa tu na Mwisho wa siku mtoto ndo anayekuja kuteseka. Huna future na Mtu, then be a gentleman, dont sleep with her, si hutaki mimba na Mtu usiye na future naye???

Watu wote uliolala nao ulikuwa na mipango nao ya future?
 
umenitonesha kidonda .kuna mwanaume aliosha rungu lake kwangu nkapata mimba
.mtoto alipofikisha miezi miwili tu akafunga ndoa na mtu mwingine....

Lakin si ulifurahia rungu na mtt umepata
 
Mwanzoni nlikuwa na malengo nae bt baada kutest naona mzigo haupo kama nlivodhan... so lazima nkimbie

Kama umeona matarajio ni tofauti na hali halisi kwa nini usiondoke mapema? Unamganda mtu miaka miwili bado unatest tuu...????? Acheni roho za kinyama
 
Kama umeona matarajio ni tofauti na hali halisi kwa nini usiondoke mapema? Unamganda mtu miaka miwili bado unatest tuu...????? Acheni roho za kinyama

Ndo mapenz yalivo sio unyama.... tabia ya mtu unaweza kuja ijua hata baada ya miaka 10.
 
me nazani sisi wanawake wenyewe ndo tunatakiwa kuwa responsible na hilo kama hutaki kuchezewa ni heri mtu anapokufata anataka mahusiano kuuliza mapema nini hasa anataka akianza zile lugha zao za time will tell basi na wewe unamwambia wakati tunasubiri time iseme no kugegedana, lakini tatizo linakuja kwetu wenyewe unakuta msichana kaanza mahusiano lakini ndani ya mwezi kashalala kwa huyo mwanaume zaidi ya mara 5 manake kila wkend yuko huko na nguo kashahamishia kha

Ndugu yangu huyo mwanaume wa kukwambia kwamba anataka tu asuuze rungu kwako, unampatia wapi? Wengi wao ni waongo tu, utamuuliza una mpango gani na mimi, na atakujibu vizuri tu, "nije nikuoe" eeeeh ndo utaisubiri hiyo siku ya kuolewa kama unavyosubiri siku ya kiama
Kulala mapema na mwanamme inategemea tu kwa kweli. Mwingine utalala naye mapema na mkadumu, na mwingine ukamzungusha weee siku akikupata ndo anakutema vizuri. If u can " JUST CLOSE YOUR LEGS", hutolia eti oooh kanichezea sijui. Tatizo ni kwenye kuimplement hiyo No sex mweeee
 
Ndiyooooo. Sema tu ikawa ndivyo sivyo. Tumeshindwana basi kiroho safi tu, tukaachana.

Hehehehehe wanawake mnakuwaga na moyo wa ajabu sana sometimes...wanaume tunamshukuru mungu kwa hilo
 
Natumai mu wazima wote.

Kwenu dada zangu na wadogo zangu;Jamani wadada tunapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya kutegea mimba wanaume itatusababishia kuongeza watoto wasiojua baba zao,utoaji wa mimba na kutupa watoto nchini.

Sikatai kuna bahati mbaya ila wengine wanatega makusudi.

Sio kila mwanaume uliepo nae ana mpango wa kukuoa wengine ni wasafisha rungu tuu yaani "wanapita tuu.

Hakikisha unaujua mwili wako"siku zako za hatari" na tumia kinga kila wakati.

NA WEWE UJUE MATUMIZI YA CONDOMUUU.....!!!!!AU ulishikishwa PANGA usitumieee?????
 
Ni wachache sana wanaopata bila kupanga. Wengi wao wanakusudia

na wengi wao wanawategeshea wenye pesa au maisha mazuri hv kwa kudhan akimtegeshea momba ameula.. Kumbe anajichimbia kaburi hvyo
 
umenitonesha kidonda .kuna mwanaume aliosha rungu lake kwangu nkapata mimba
.mtoto alipofikisha miezi miwili tu akafunga ndoa na mtu mwingine....
yaani badala ya kusikitika nimejikuta nacheka iyo kauli yako eti aliosha rungu lake hahahahaah pole
 
Back
Top Bottom