Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Mmmm, nilijua tu. Sina mkono wa birika, nina mkono wa jug tu.
tamaa mbaya... Umeona sasa yale yaleeee
Mmmm, nilijua tu. Sina mkono wa birika, nina mkono wa jug tu.
tamaa mbaya... Umeona sasa yale yaleeee
alihudumia mwanzoni baadae mkewe alimkataza .basi nalea mwenyewe..namshuru mungu nna kazi nzuri naishi vizuri na mwanangu.
Yako wapi
ya kumtaman mtu ambaye huna malengo naye. Wakat mwenye malengo naww yupo
Hata ukipewa ufafanuzi kama sio msomi huwezi kuelewa.
Khaaa kwa hiyo we unaona nafanya masihara hapa tafadhali bwana....
ya kumtaman mtu ambaye huna malengo naye. Wakat mwenye malengo naww yupo
Sio wote wanabana....wapo wanajipanga buguruni na kimboka hata hawabani...