Kwa Tofauti hizi za gharama za uwanja wa Mkapa na Samia, kuna haja ya Maslahi ya Watumishi kuangaliwa upya

Wakiombwa wajenge scheme ya mashamba kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji,watajivuta sanaaa
Ohh pesa hakuna blah blah kibao
Ila kujenga uwanja sjui arena ilii vijana wakate mauno ni chap chap

Ova
Miradi ya BBT ya Waziri Bashe mpaka leo ni kizungumkuti.

Mradi usio wa kiuchumi unatamalizika soon
 
Tunajiandaa na uchanguzi msisahau pia lazima kuchagua kitu kitakacho tupa points nyingi kwa wananchi
 
Ngoja waje watathmini waje wapige mchanganuo wao,watakuambia kiwanja hicho kitakuwa zaidi ya OT au bernebeu hapo madrid 😄
WatKuambia kiwanja hicho ndicho kitakuwa bora na namba moja duniani 😄

Ova
 
Uzuri mitandao wanasoma.
Watakuja na ufafanuzi.

Hii ni moja ya faida ya mitandao, uwezo wa watu kuhoji.
 
Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa

Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia

Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .View attachment 2941817
Mkuu una point ila uwanja si kipimo kizuri, sababu kuna varieties nyingi sana, uwanja wa Arsenal unaingia watu 60,000 ila ni wa kisasa na gharama kubwa kushinda wa Manchesta wenye watu 74,000. Wingi wa mashabiki si kipimo cha gharama za uwanja.

Chukulia mfano mwalimu 2007 alikua akilipwa 160,000 sasa hivi 419,000 (Kama kuna mwenye data latest aweke), naongelea mwalimu wa certificate. Hili ni ongezeko la asilimia kama 160.

At same time hii inflation yetu
Screenshot_20240322-184444_Pixel Launcher.png

Hapo inakuja kama 107% inflation, too lazy ku calculate kwa compound, mwenye kichwa chepesi apige kwa compound, ukilinganisha ndio unapata data sahihi
 
Watumishi wengi wa umma kwa sasa wanaishi kama watoto yatima wasio na baba wala mama. Maana serikali na vyama vyao vya wafanyakazi, lao ni moja!
 
Ngoja waje watathmini waje wapige mchanganuo wao,watakuambia kiwanja hicho kitakuwa zaidi ya OT au bernebeu hapo madrid 😄
WatKuambia kiwanja hicho ndicho kitakuwa bora na namba moja duniani 😄

Ova
Wakandarasi toka china ndio mabingwa wa kutoa 10% kwa vigogo. Na mchina anaweza kutoa hata 30% kabisa inaishia kwa vigogo 🤣🤣🤣🤣🤣. Cag akikagua hawezi kupata ushahidi. Maana hela imelipwa kwa mkandarasi 🤣🤣🤣 kama certificate ya malipo ya kazi 🤣. Tenda ndio njia rahisi kupiga hela 🤣
 
Wengi wanaolalamikia gharama za huu uwanja wanatumia hisia kuliko factual analysis. 15 years ni muda mrefu kwa teknolojia, standard za uwanja kubadilika.

Mfano, Uwanja Mpya wa Alasaine Ouattara, umejengwa kwa Bilion takribani 600. Hiki ni 60,000 seaters vs Arusha 30,000 seaters. Na kwa kuwa vyote ni AFCON Modern Standards, it's logical hicho cha Arusha, kucost about half of alasaine's.
Kwa kutumia analysis hiyohiyo,,je mishahara ya wafa yakazi iliongezeka Kwa the same rate kutoka kipindi cha mkapa Hadi Sasa?
 
Back
Top Bottom