BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya #Tanzania na #China, mpango uliopo mezani ni mchakato wa ujenzi wa uwanja mwingine wa kisasa ambao Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu Utamaduni na Michezo imesema itawasilisha mapendekezo uitwe Uwanja wa Samia Suluhu Hassan.
Pia, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nayo ilieleza mipango iliyopo ni kuwa Uwanja wa Samia ukamilike kabla ya Mwaka 2027 ili utumike kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Mkapa
Mkoa: Dar es Salaam
Idadi ya siti: 60,000
Ulizinduliwa: Mwaka 2007
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 56 (Tsh. Bilioni 64 wakati huo)
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
Uwanja wa Samia
Mkoa: Arusha
Idadi ya Siti: 30,000
Kuzinduliwa: Kati ya Mwaka 2025 hadi 2027
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 112 (Tsh Bilioni 286) kabla ya kodi
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: China Railway Construction Engineering Group (CRCEG)
Muonekano wa Uwanja wa Samia unavyotarajiwa
Uwanja wa Mkapa
Pia, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nayo ilieleza mipango iliyopo ni kuwa Uwanja wa Samia ukamilike kabla ya Mwaka 2027 ili utumike kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Mkapa
Mkoa: Dar es Salaam
Idadi ya siti: 60,000
Ulizinduliwa: Mwaka 2007
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 56 (Tsh. Bilioni 64 wakati huo)
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
Uwanja wa Samia
Mkoa: Arusha
Idadi ya Siti: 30,000
Kuzinduliwa: Kati ya Mwaka 2025 hadi 2027
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 112 (Tsh Bilioni 286) kabla ya kodi
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: China Railway Construction Engineering Group (CRCEG)
Muonekano wa Uwanja wa Samia unavyotarajiwa
Uwanja wa Mkapa