Kwa ramani hii naweza kutumia bati na tofali ngapi. Nina Milioni 3 hapa

Kwa ramani hii naweza kutumia bati na tofali ngapi. Nina Milioni 3 hapa

Eliud Bunju

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
375
Reaction score
707
Habari wakuu

Hii ramani naweza kutumia bati ngapi na tofali ngapi?

Kwa ujumla naweza kutumia tsh ngapi maana

Nina million 3 hapa kibindoni


IMG-20251126-WA0253.jpg
ACCamera_22.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20251126-163419.png
    Screenshot_20251126-163419.png
    839.5 KB · Views: 19
Kwa haraka mkuu hapo Ongeza tofali 300,
Chukua Mchanga
Kokoto gari ndogo,
Saruji chukua 25
Chukua nondo 20
chukua bati 60-
Mbao 2x2
Mbao 4x2
Misumari weka saiti
Chepe 3
ndoo 6 nk
Nikitulia nitaweka hesabu sawa hiyo ramani kujenga mpaka kupau ufundi inaweza kucheza 1.2m au zaidi
+255624254690
 
Bati 25-30
Ndiyo mkuu, mimi ni fundi.
Wewe ni fundi?
Umeona ramani ya paa?
25-30 nyuma
25-30 mbele
jumla inakuja hapo hapo kwenye 50-60.
Pamoja na yote mkuu nimeorodhesha vingi, ungetoa orodha Yako pia kama alivyoomba ushauri mleta Uzi Ili apate mwanga zaidi wa ramani yake!

Naheshimu maoni Yako na michango Yako RRONDO
 
Kwahio fundi hio baraza nayo inatumia bati kama main building? Ngoja niangalie vipimo.
 
Kwa haraka mkuu hapo Ongeza tofali 300,
Chukua Mchanga
Kokoto gari ndogo,
Saruji chukua 25
Chukua nondo 20
chukua bati 60
Mbao 2x2
Mbao 4x2
Misumari weka saiti
Chepe 3
ndoo 6 nk
Nikitulia nitaweka hesabu sawa hiyo ramani kujenga mpaka kupau ufundi inaweza kucheza 1.2m au zaidi
+255624254690
Mkuu, vitu vyote ulivyoandika hapo na pesa ya fundi ndio jumla inakuja hapo 1.2 - 2M.?
 
Kwahio fundi hio baraza nayo inatumia bati kama main building? Ngoja niangalie vipimo.
Baraza Haina vipimo sawa na main Building mkuu,
Kwahiyo bati zake zitakuwa zinakatwa (m2?)
hesabu yake haichezi mbali na makadilio niliyotoa, zinaweza kubaki bati kadhaa, nzuri bati kubaki kuliko zipelee arudi dukani.
 
Bati 60 nyingi sana aise
Swala la bati umelivalia njuga, mengine aaah 🤣
Main Building itakula bati 30, Baraza itacheza kwenye nusu yake.
.Kwa hesabu za makadilio siyo mbaya roughly kumwambia hivyo
Vibaya useme anunue bati 30 halafu zisimalize kazi mtafute mchawi.
Lakini ni jambo jema ameimba ushauri kwenye kadamnasi ya watu apate maoni tofauti.
Akikamilisha vifaa anicheki nimfanyie kazi
 
Swala la bati umelivalia njuga, mengine aaah 🤣
Main Building itakula bati 30, Baraza itacheza kwenye nusu yake.
.Kwa hesabu za makadilio siyo mbaya roughly kumwambia hivyo
Vibaya useme anunue bati 30 halafu zisimalize kazi mtafute mchawi.
Lakini ni jambo jema ameimba ushauri kwenye kadamnasi ya watu apate maoni tofauti.
Akikamilisha vifaa anicheki nimfanyie kazi
Sasa zikipungua bati 5 au 10 si unaenda kununua? Imagine kazi iishe zimebaki bati 10 au 15 si hasara hio. Wewe unaongea kama fundi,mimi naongea kama mtoa hela.
Vingine hesabu umekadiria afadhali kidogo.
 
Sasa zikipungua bati 5 au 10 si unaenda kununua? Imagine kazi iishe zimebaki bati 10 au 15 si hasara hio. Wewe unaongea kama fundi,mimi naongea kama mtoa hela.
Vingine hesabu umekadiria afadhali kidogo.
TUko pamoja mkuu, sijapewa hiyo kazi kwahiyo nimetoa makadirio roughly tu.
Wengine watoe makadirio Yao il muuliza swali apate hitaji la moyo wake
 
Back
Top Bottom