Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?

View attachment 2036704

Wanabodi,

Hili ni bandiko lililotokana na makala yangu hii, kwenye Safu yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili. Kila nipatapo muda, huja na hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huja kwa mtindo wa swali, halafu jibu utatoa wewe msomaji mwenyewe.

Makala ya leo, ni makala ya pongezi kwa Rais Samia, kwa “nonsense” ya sukari, Rais Samia, anastahili pongezi za dhati, swali ni jee tuishie kwenye nonsense ya sukari tuu, au tuangazie na nonsense nyingine zote tuziache tusonge mbele? .

Naomba kuanza mada yangu ya leo, kwa kufundisha lugha kidogo, neno “nonsense” ni neno la kizungu lenye kumaanisha “ujinga”, hivyo uamuzi wowote unaiotwa “nonsense” ni “uamuzi wa kijinga”, Baba wa Taifa, alilitumia sana neno hili “nonsense”, ila yeye Baba wa Taifa, haikuishia tuu kwenye kulaumu maamuzi ya kijinga, “nonsense”, bali pia aliwaita watoa maamuzi hayo “wajinga”, ninanayo mifano mingi ya Mwalimu Nyerere kutumia neno “nonsense”

Mfano mzuri kabisa ni wakati Mwalimu Nyerere anaaga na kungatuka kwenye urais, alikiri serikali yake imefanya makosa mengi tuu , akakiri kuna baadhi ya maamuzi yalikuwa ni “nonsense”, makosa, lakini pia akasema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”.

Wakati tukijiandaa kwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, ile 1995, Mwalimu alizungumza na sisi waandishi wa habari, kwenye ukumbi wa Hoteli ya Kilimanjaro, na mimi nilikuwepo, akizungungumzia ubinafsishaji wa benki ya NBC, Mwalimu akaishangaa serikali kukubali masherti ya nchi mabeberu, kuwa NBC ni li benki likubwa sana, lenye nguvu sana, lazima livunjwe, ndipo turuhusu ushindani wa mabenki, Mwalimu akauli NBC ina ukubwa gani?, “a mere NBC?!, this is “nonsense”.


Hata hapa, kwenye video hii

kwa hisani ya Dada yangu, Maria Sarungi, Baba wa Taifa alitumia neno nonsense.

Mtu kuambiwa mjinga, ni kweli umetukanwa lakini ujinga sio tusi, ni kutojua tuu, mtu mjinga akiisha elimishwa, ujinga unamtoka, anakuwa mwerevu. Mtu mjinga akiisha elimishwa, ujinga usipomtoka, huyo sasa sio mjinga, huyo ni mpumbavu!.


Rais Mkapa wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliwaita watu fulani “malofa na wapumbavu”,
na haikuwa habari kubwa.

Rais Magufuli, aliwahi kumuita mawaziri fulani “mpumbavu” na haikuwa habari kubwa.


Juzi kati katika ziara za Rais Yoweri Museveni nchini Tanzania, katika kuzungumzia hoja ya sukari, Rais Samia pia alitumia neno “nonsense”.

Baada ya kutumika kwa neno hilo, huku kwenye mitandao ya kijamii kukalipuka “Rais Samia Katukana”, aliyetoa msimamo kuwa Tanzania hatutanunua sukari ya Uganda ni Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda. Baadhi ya mitandao ya kijamii ikamchagiza Prof. Mkenda kuwa asikubali kutukanwa hadharani, bora ajiuzulu kutunza heshima yake na asipojiuzulu atatumbuliwa!.

Sio mara moja nimeongea katika makala zangu, kuwa media ya Tanzania, hatuna watu wazuri wa kufanya uchambuzi wa habari, “news analysis”, Rais Samia alipotumia neno “Nonsense”, hakumtukana Waziri Prof. Mkenda ni “nonsense”, ameishangaa uamuzi ule wa kugomea sukari ya Uganda kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani, hivyo lile neno “nonsense” ni neno kwa ajili ya uamuzi ule na sio kwa ajili ya kumlenga mtu Prof. Mkenda.

Naomba tukubaliane, kama neno “nonsense” ni kwa uamuzi ule wa kugomea kuagiza sukari kutoka nchini Uganda, au auamuzi wa kugomea kuagiza bidhaa zozote kwa nia njema na lengo zuri la kulinda viwanda vya ndani, uamuzi kuhusu sukuri, haukutolewa na Waziri Prof. Mkenda kusema ni uamuzi wake binafsi, pia nilimsikia Waziri Mkuu, Majaliwa Kassin Majaliwa akiuzungumza. Huu ni uamuzi wa Baraza la Mawaziri lililopita, hivyo kauli ya rais Samia haimlengi mtu, inalenga uamuzi wa kugomea kuagiza sukari ya jirani Uganda.

Sasa twende kwenye ukweli wenyewe wa alichokisema Rais Samia uamuzi ule kweli ni “nonsense”. Hii maana yake ni kile niliwahi kukisema katika makala zangu za nyuma, kuwa viongozi wetu sio malaika, ni binaadamu, hivyo wanaweza kabisa kufanya makosa na kutoa muuamuzi “nonsense”, kama bazara la mawaziri limeweza kupitisha uamuzi kama huo, hili la sukari ni uthibitisho tuu wa uwezokano seriali yetu kufanya maamuzi “nonsense”.

Tena nonsense kubwa kuliko ya sukari, sio kwa serikali yetu kugomea kuingiza nchini sukari ya jirani zetu wa Uganda, serikali yetu iligomea kuingiza Tanzania Bara sukari kutoka Zanzibar!. Wakati huku bara tuna uhaba wa sukari, sukari ilipanda bei kutoka shilingi 1,800 kwa kilo, hadi shilingi 2,500 kwa kilo. Kule Zanzibar bei ilibaki 1,500 hadi 2,000.

Kiwanda cha sukari Zanzibar, kilikuwa na sukari ya kutosheleza kabisa kumaliza upungufu wa sukari huku bara, hivyo kikaomba kuleta sukari yake Bara kukabili upungufu, haswa kwa kuzingatia bei ya huku Bara imechangamka kuliko bei ya Zanzibar, ilikataliwa.

Waziri wa Viwanda na Biashara wa Zanzibar, Amina Salum Ali, akavuka bahari, kuja bara kusemezana na waziri mwenzake…lakini wapi, alikataliwa!. Waziri Amina Salum Ali akaigeukia taasisi ya TradeMark East Afrika inayoshughulika na kuondoa vikwazo vya kibiashara visivyo vywa kikodi (non tariff barriers), na kukiripoti hicho kikwazo cha sukari.

Yaani Tanzania bara inakabiliwa na uhababa wa sukari, Zanzibar inayo sukari ya ziada bwelele, Zanzibar inakataliwa kuingiza sukari yake bara, na badala yake, wenye viwanda ndio wanaoruhusiwa kuagiza sukari ya bei chee kutoka ng’ambo, kufidia huo upungufu!, kwa uamuzi kama huu, ni neno gani zuri zaidi ya kulitumia zaidi ya neno “nonsense?”.

Nampungeza sana rais Samia kwa kukemea na kukomesha hii nonsense ya kwenye sukari, na sasa nitoe wito kwa rais wetu Mama Samia, hizi nonsense za kwenye sukari, zisiishie tuu kwenye sukari, tende na kwenye nonsense nyingine zote za uondoshaji wa vikwazo vya uingizaji nchini bidhaa muhimu ambza viwanda vya ndani vimeshindwa kutosheleza mahitaji ya bidhaa hizo.

Kwa sasa taifa linakabiliwa na upungufu wa sementi, mfuko wa sementi ya Tanzania kwa mikoa ya pembezoni, kama Arusha, na Moshi, imefikia bei ya shilingi 24,000 kwa mfuko. Sementi ya Kenya ni shilingi 12,000 kwa mfuko mpaka inafika dukani Tanzania. Watu wanahitaji sementi haipo, hapo kwa jirani yetu sementi bwelele, bei chee, lakini hairuhusiwi kuingia Tanzania, kwa lengo la kulinda viwanda vya ndani. Hii pia ni nonsense!. Hivyo baada yah ii nonsense ya sukari, twende kwenye nonse nyingine zote za vikwazo vya uingizaji bidhaa.

Angalizo: Kuunga mkono huu msimamo wa rais Samia kuondoa nonsense ya sukari, na kutaka nonsense nyingine zote ziondoshwe, namaanisha kufungua milango ya soko huria kwa zile bidhaa tuu za muhimu ambazo viwanda vyetu vya ndani, vimeshindwa kuzalisha kukidhi mahitaji ya kutosheleza soko la ndani, na sio soko holela. Viwanda vya ndani vikifanikiwa kuzalisha kutosheleza soko, tuendelee kuvilinda, hata kama ulizi huo utatuumiza sisi wananchi kulazimika kununua bidhaa zate zinazozalishwa nchini kwa bei kubwa, ndioko kujenga nchi kwenyewe na sio kukimbilia cheap imports kwasababu tuu ni cheap!.

Wasalaam.

Paskali.

Aliyeandika post hii hajui tofauti ya maneno nonsense, stupid na ignorant; ndio wadakiaji wa maneno hao. Nyerere alikuwa ni intellectual, na alikuwa anajua sana kuchagua maneno yake, hakuwa mropokaji wa kutumia neno nonsense kwa maana ya ignorant; no way!.
 
View attachment 2036704

Wanabodi,

Hili ni bandiko lililotokana na makala yangu hii, kwenye Safu yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili. Kila nipatapo muda, huja na hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huja kwa mtindo wa swali, halafu jibu utatoa wewe msomaji mwenyewe.

Makala ya leo, ni makala ya pongezi kwa Rais Samia, kwa “nonsense” ya sukari, Rais Samia, anastahili pongezi za dhati, swali ni jee tuishie kwenye nonsense ya sukari tuu, au tuangazie na nonsense nyingine zote tuziache tusonge mbele? .

Naomba kuanza mada yangu ya leo, kwa kufundisha lugha kidogo, neno “nonsense” ni neno la kizungu lenye kumaanisha “ujinga”, hivyo uamuzi wowote unaiotwa “nonsense” ni “uamuzi wa kijinga”, Baba wa Taifa, alilitumia sana neno hili “nonsense”, ila yeye Baba wa Taifa, haikuishia tuu kwenye kulaumu maamuzi ya kijinga, “nonsense”, bali pia aliwaita watoa maamuzi hayo “wajinga”, ninanayo mifano mingi ya Mwalimu Nyerere kutumia neno “nonsense”

Mfano mzuri kabisa ni wakati Mwalimu Nyerere anaaga na kungatuka kwenye urais, alikiri serikali yake imefanya makosa mengi tuu , akakiri kuna baadhi ya maamuzi yalikuwa ni “nonsense”, makosa, lakini pia akasema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”.

Wakati tukijiandaa kwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, ile 1995, Mwalimu alizungumza na sisi waandishi wa habari, kwenye ukumbi wa Hoteli ya Kilimanjaro, na mimi nilikuwepo, akizungungumzia ubinafsishaji wa benki ya NBC, Mwalimu akaishangaa serikali kukubali masherti ya nchi mabeberu, kuwa NBC ni li benki likubwa sana, lenye nguvu sana, lazima livunjwe, ndipo turuhusu ushindani wa mabenki, Mwalimu akauli NBC ina ukubwa gani?, “a mere NBC?!, this is “nonsense”.


Hata hapa, kwenye video hii

kwa hisani ya Dada yangu, Maria Sarungi, Baba wa Taifa alitumia neno nonsense.

Mtu kuambiwa mjinga, ni kweli umetukanwa lakini ujinga sio tusi, ni kutojua tuu, mtu mjinga akiisha elimishwa, ujinga unamtoka, anakuwa mwerevu. Mtu mjinga akiisha elimishwa, ujinga usipomtoka, huyo sasa sio mjinga, huyo ni mpumbavu!.


Rais Mkapa wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliwaita watu fulani “malofa na wapumbavu”,
na haikuwa habari kubwa.

Rais Magufuli, aliwahi kumuita mawaziri fulani “mpumbavu” na haikuwa habari kubwa.


Juzi kati katika ziara za Rais Yoweri Museveni nchini Tanzania, katika kuzungumzia hoja ya sukari, Rais Samia pia alitumia neno “nonsense”.

Baada ya kutumika kwa neno hilo, huku kwenye mitandao ya kijamii kukalipuka “Rais Samia Katukana”, aliyetoa msimamo kuwa Tanzania hatutanunua sukari ya Uganda ni Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda. Baadhi ya mitandao ya kijamii ikamchagiza Prof. Mkenda kuwa asikubali kutukanwa hadharani, bora ajiuzulu kutunza heshima yake na asipojiuzulu atatumbuliwa!.

Sio mara moja nimeongea katika makala zangu, kuwa media ya Tanzania, hatuna watu wazuri wa kufanya uchambuzi wa habari, “news analysis”, Rais Samia alipotumia neno “Nonsense”, hakumtukana Waziri Prof. Mkenda ni “nonsense”, ameishangaa uamuzi ule wa kugomea sukari ya Uganda kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani, hivyo lile neno “nonsense” ni neno kwa ajili ya uamuzi ule na sio kwa ajili ya kumlenga mtu Prof. Mkenda.

Naomba tukubaliane, kama neno “nonsense” ni kwa uamuzi ule wa kugomea kuagiza sukari kutoka nchini Uganda, au auamuzi wa kugomea kuagiza bidhaa zozote kwa nia njema na lengo zuri la kulinda viwanda vya ndani, uamuzi kuhusu sukuri, haukutolewa na Waziri Prof. Mkenda kusema ni uamuzi wake binafsi, pia nilimsikia Waziri Mkuu, Majaliwa Kassin Majaliwa akiuzungumza. Huu ni uamuzi wa Baraza la Mawaziri lililopita, hivyo kauli ya rais Samia haimlengi mtu, inalenga uamuzi wa kugomea kuagiza sukari ya jirani Uganda.

Sasa twende kwenye ukweli wenyewe wa alichokisema Rais Samia uamuzi ule kweli ni “nonsense”. Hii maana yake ni kile niliwahi kukisema katika makala zangu za nyuma, kuwa viongozi wetu sio malaika, ni binaadamu, hivyo wanaweza kabisa kufanya makosa na kutoa muuamuzi “nonsense”, kama bazara la mawaziri limeweza kupitisha uamuzi kama huo, hili la sukari ni uthibitisho tuu wa uwezokano seriali yetu kufanya maamuzi “nonsense”.

Tena nonsense kubwa kuliko ya sukari, sio kwa serikali yetu kugomea kuingiza nchini sukari ya jirani zetu wa Uganda, serikali yetu iligomea kuingiza Tanzania Bara sukari kutoka Zanzibar!. Wakati huku bara tuna uhaba wa sukari, sukari ilipanda bei kutoka shilingi 1,800 kwa kilo, hadi shilingi 2,500 kwa kilo. Kule Zanzibar bei ilibaki 1,500 hadi 2,000.

Kiwanda cha sukari Zanzibar, kilikuwa na sukari ya kutosheleza kabisa kumaliza upungufu wa sukari huku bara, hivyo kikaomba kuleta sukari yake Bara kukabili upungufu, haswa kwa kuzingatia bei ya huku Bara imechangamka kuliko bei ya Zanzibar, ilikataliwa.

Waziri wa Viwanda na Biashara wa Zanzibar, Amina Salum Ali, akavuka bahari, kuja bara kusemezana na waziri mwenzake…lakini wapi, alikataliwa!. Waziri Amina Salum Ali akaigeukia taasisi ya TradeMark East Afrika inayoshughulika na kuondoa vikwazo vya kibiashara visivyo vywa kikodi (non tariff barriers), na kukiripoti hicho kikwazo cha sukari.

Yaani Tanzania bara inakabiliwa na uhababa wa sukari, Zanzibar inayo sukari ya ziada bwelele, Zanzibar inakataliwa kuingiza sukari yake bara, na badala yake, wenye viwanda ndio wanaoruhusiwa kuagiza sukari ya bei chee kutoka ng’ambo, kufidia huo upungufu!, kwa uamuzi kama huu, ni neno gani zuri zaidi ya kulitumia zaidi ya neno “nonsense?”.

Nampungeza sana rais Samia kwa kukemea na kukomesha hii nonsense ya kwenye sukari, na sasa nitoe wito kwa rais wetu Mama Samia, hizi nonsense za kwenye sukari, zisiishie tuu kwenye sukari, tende na kwenye nonsense nyingine zote za uondoshaji wa vikwazo vya uingizaji nchini bidhaa muhimu ambza viwanda vya ndani vimeshindwa kutosheleza mahitaji ya bidhaa hizo.

Kwa sasa taifa linakabiliwa na upungufu wa sementi, mfuko wa sementi ya Tanzania kwa mikoa ya pembezoni, kama Arusha, na Moshi, imefikia bei ya shilingi 24,000 kwa mfuko. Sementi ya Kenya ni shilingi 12,000 kwa mfuko mpaka inafika dukani Tanzania. Watu wanahitaji sementi haipo, hapo kwa jirani yetu sementi bwelele, bei chee, lakini hairuhusiwi kuingia Tanzania, kwa lengo la kulinda viwanda vya ndani. Hii pia ni nonsense!. Hivyo baada yah ii nonsense ya sukari, twende kwenye nonse nyingine zote za vikwazo vya uingizaji bidhaa.

Angalizo: Kuunga mkono huu msimamo wa rais Samia kuondoa nonsense ya sukari, na kutaka nonsense nyingine zote ziondoshwe, namaanisha kufungua milango ya soko huria kwa zile bidhaa tuu za muhimu ambazo viwanda vyetu vya ndani, vimeshindwa kuzalisha kukidhi mahitaji ya kutosheleza soko la ndani, na sio soko holela. Viwanda vya ndani vikifanikiwa kuzalisha kutosheleza soko, tuendelee kuvilinda, hata kama ulizi huo utatuumiza sisi wananchi kulazimika kununua bidhaa zate zinazozalishwa nchini kwa bei kubwa, ndioko kujenga nchi kwenyewe na sio kukimbilia cheap imports kwasababu tuu ni cheap!.

Wasalaam.

Paskali.

Kiongozi asiefahamu maana ya integrity ni nonsense mwenyewe, anything within a person's capacity iko na forum sahihi. Matusi ya hadharani hayavumiliki wala kusafishika.
 
Nimependa uchambuzi wako ila kwa issue ya sukari ya Zanzibar pana shida kidogo kiwanda chao kinazalisha sukari na Zanzibar yenyewe haiinunui yote wanataka kuileta Bara pana ukakasi kidogo. Kwanini wasinunue sukari yao wenyewe wanaagiza kwa njia za panya na sukuri yao inadoda kiwandani hili ndio tatizo. Kuhusu kulinda viwanda vya ndani hapa kuna shida kidogo kwani sukari ya ndani ni gharama kuizalisha kuliko ya nje, unaporuhusu waagize nje hao hao wanye viwanda unategemea nini? Viwanda vitageuka vachuuzi wa sukari na kuacha kuzalisha kwa sababu ya gharama za uzalishaji ni kubwa. Kuvilinda viwanda ni pamoja na kuweka mazingira yanawezesha ushalishaji cempetitive yaani production costs should be low. Angalia bei za umeme, mafuta mazito, vilainishi n.k. Kuvilinda viwanda vya ndani sio kukataa bidhaa za jirani (EAC) or any other country in this World. How could the Country produce goods with competitive price this is more than what we see in the news. The Gov should think more on this tutamezwa na soko la pamoja la EAC. Viwanda vyetu havitauza kitu na definately vitakufa.
Mkuu ulimsikiliza Waziri au unasikiliza ya upande mmoja na kutoa hitimisho?



Na je tumeruhusu hiyo sukari kutoka nje, je sukari imeshuka bei? Kama bado, tuipe muda gani ishuke?
 
Mkuu ulimsikiliza Waziri au unasikiliza ya upande mmoja na kutoa hitimisho?



Na je tumeruhusu hiyo sukari kutoka nje, je sukari imeshuka bei? Kama bado, tuipe muda gani ishuke?

Sijakuelewa au wewe hujanielewa mimi narespond kwa hola nzuri aliyotoa Mayalla period.
 
View attachment 2036704

Wanabodi,

Hili ni bandiko lililotokana na makala yangu hii, kwenye Safu yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili. Kila nipatapo muda, huja na hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huja kwa mtindo wa swali, halafu jibu utatoa wewe msomaji mwenyewe.

Makala ya leo, ni makala ya pongezi kwa Rais Samia, kwa “nonsense” ya sukari, Rais Samia, anastahili pongezi za dhati, swali ni jee tuishie kwenye nonsense ya sukari tuu, au tuangazie na nonsense nyingine zote tuziache tusonge mbele? .

Naomba kuanza mada yangu ya leo, kwa kufundisha lugha kidogo, neno “nonsense” ni neno la kizungu lenye kumaanisha “ujinga”, hivyo uamuzi wowote unaiotwa “nonsense” ni “uamuzi wa kijinga”, Baba wa Taifa, alilitumia sana neno hili “nonsense”, ila yeye Baba wa Taifa, haikuishia tuu kwenye kulaumu maamuzi ya kijinga, “nonsense”, bali pia aliwaita watoa maamuzi hayo “wajinga”, ninanayo mifano mingi ya Mwalimu Nyerere kutumia neno “nonsense”

Mfano mzuri kabisa ni wakati Mwalimu Nyerere anaaga na kungatuka kwenye urais, alikiri serikali yake imefanya makosa mengi tuu , akakiri kuna baadhi ya maamuzi yalikuwa ni “nonsense”, makosa, lakini pia akasema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”.

Wakati tukijiandaa kwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, ile 1995, Mwalimu alizungumza na sisi waandishi wa habari, kwenye ukumbi wa Hoteli ya Kilimanjaro, na mimi nilikuwepo, akizungungumzia ubinafsishaji wa benki ya NBC, Mwalimu akaishangaa serikali kukubali masherti ya nchi mabeberu, kuwa NBC ni li benki likubwa sana, lenye nguvu sana, lazima livunjwe, ndipo turuhusu ushindani wa mabenki, Mwalimu akauli NBC ina ukubwa gani?, “a mere NBC?!, this is “nonsense”.


Hata hapa, kwenye video hii

kwa hisani ya Dada yangu, Maria Sarungi, Baba wa Taifa alitumia neno nonsense.

Mtu kuambiwa mjinga, ni kweli umetukanwa lakini ujinga sio tusi, ni kutojua tuu, mtu mjinga akiisha elimishwa, ujinga unamtoka, anakuwa mwerevu. Mtu mjinga akiisha elimishwa, ujinga usipomtoka, huyo sasa sio mjinga, huyo ni mpumbavu!.


Rais Mkapa wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliwaita watu fulani “malofa na wapumbavu”,
na haikuwa habari kubwa.

Rais Magufuli, aliwahi kumuita mawaziri fulani “mpumbavu” na haikuwa habari kubwa.


Juzi kati katika ziara za Rais Yoweri Museveni nchini Tanzania, katika kuzungumzia hoja ya sukari, Rais Samia pia alitumia neno “nonsense”.

Baada ya kutumika kwa neno hilo, huku kwenye mitandao ya kijamii kukalipuka “Rais Samia Katukana”, aliyetoa msimamo kuwa Tanzania hatutanunua sukari ya Uganda ni Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda. Baadhi ya mitandao ya kijamii ikamchagiza Prof. Mkenda kuwa asikubali kutukanwa hadharani, bora ajiuzulu kutunza heshima yake na asipojiuzulu atatumbuliwa!.

Sio mara moja nimeongea katika makala zangu, kuwa media ya Tanzania, hatuna watu wazuri wa kufanya uchambuzi wa habari, “news analysis”, Rais Samia alipotumia neno “Nonsense”, hakumtukana Waziri Prof. Mkenda ni “nonsense”, ameishangaa uamuzi ule wa kugomea sukari ya Uganda kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani, hivyo lile neno “nonsense” ni neno kwa ajili ya uamuzi ule na sio kwa ajili ya kumlenga mtu Prof. Mkenda.

Naomba tukubaliane, kama neno “nonsense” ni kwa uamuzi ule wa kugomea kuagiza sukari kutoka nchini Uganda, au auamuzi wa kugomea kuagiza bidhaa zozote kwa nia njema na lengo zuri la kulinda viwanda vya ndani, uamuzi kuhusu sukuri, haukutolewa na Waziri Prof. Mkenda kusema ni uamuzi wake binafsi, pia nilimsikia Waziri Mkuu, Majaliwa Kassin Majaliwa akiuzungumza. Huu ni uamuzi wa Baraza la Mawaziri lililopita, hivyo kauli ya rais Samia haimlengi mtu, inalenga uamuzi wa kugomea kuagiza sukari ya jirani Uganda.

Sasa twende kwenye ukweli wenyewe wa alichokisema Rais Samia uamuzi ule kweli ni “nonsense”. Hii maana yake ni kile niliwahi kukisema katika makala zangu za nyuma, kuwa viongozi wetu sio malaika, ni binaadamu, hivyo wanaweza kabisa kufanya makosa na kutoa muuamuzi “nonsense”, kama bazara la mawaziri limeweza kupitisha uamuzi kama huo, hili la sukari ni uthibitisho tuu wa uwezokano seriali yetu kufanya maamuzi “nonsense”.

Tena nonsense kubwa kuliko ya sukari, sio kwa serikali yetu kugomea kuingiza nchini sukari ya jirani zetu wa Uganda, serikali yetu iligomea kuingiza Tanzania Bara sukari kutoka Zanzibar!. Wakati huku bara tuna uhaba wa sukari, sukari ilipanda bei kutoka shilingi 1,800 kwa kilo, hadi shilingi 2,500 kwa kilo. Kule Zanzibar bei ilibaki 1,500 hadi 2,000.

Kiwanda cha sukari Zanzibar, kilikuwa na sukari ya kutosheleza kabisa kumaliza upungufu wa sukari huku bara, hivyo kikaomba kuleta sukari yake Bara kukabili upungufu, haswa kwa kuzingatia bei ya huku Bara imechangamka kuliko bei ya Zanzibar, ilikataliwa.

Waziri wa Viwanda na Biashara wa Zanzibar, Amina Salum Ali, akavuka bahari, kuja bara kusemezana na waziri mwenzake…lakini wapi, alikataliwa!. Waziri Amina Salum Ali akaigeukia taasisi ya TradeMark East Afrika inayoshughulika na kuondoa vikwazo vya kibiashara visivyo vywa kikodi (non tariff barriers), na kukiripoti hicho kikwazo cha sukari.

Yaani Tanzania bara inakabiliwa na uhababa wa sukari, Zanzibar inayo sukari ya ziada bwelele, Zanzibar inakataliwa kuingiza sukari yake bara, na badala yake, wenye viwanda ndio wanaoruhusiwa kuagiza sukari ya bei chee kutoka ng’ambo, kufidia huo upungufu!, kwa uamuzi kama huu, ni neno gani zuri zaidi ya kulitumia zaidi ya neno “nonsense?”.

Nampungeza sana rais Samia kwa kukemea na kukomesha hii nonsense ya kwenye sukari, na sasa nitoe wito kwa rais wetu Mama Samia, hizi nonsense za kwenye sukari, zisiishie tuu kwenye sukari, tende na kwenye nonsense nyingine zote za uondoshaji wa vikwazo vya uingizaji nchini bidhaa muhimu ambza viwanda vya ndani vimeshindwa kutosheleza mahitaji ya bidhaa hizo.

Kwa sasa taifa linakabiliwa na upungufu wa sementi, mfuko wa sementi ya Tanzania kwa mikoa ya pembezoni, kama Arusha, na Moshi, imefikia bei ya shilingi 24,000 kwa mfuko. Sementi ya Kenya ni shilingi 12,000 kwa mfuko mpaka inafika dukani Tanzania. Watu wanahitaji sementi haipo, hapo kwa jirani yetu sementi bwelele, bei chee, lakini hairuhusiwi kuingia Tanzania, kwa lengo la kulinda viwanda vya ndani. Hii pia ni nonsense!. Hivyo baada yah ii nonsense ya sukari, twende kwenye nonse nyingine zote za vikwazo vya uingizaji bidhaa.

Angalizo: Kuunga mkono huu msimamo wa rais Samia kuondoa nonsense ya sukari, na kutaka nonsense nyingine zote ziondoshwe, namaanisha kufungua milango ya soko huria kwa zile bidhaa tuu za muhimu ambazo viwanda vyetu vya ndani, vimeshindwa kuzalisha kukidhi mahitaji ya kutosheleza soko la ndani, na sio soko holela. Viwanda vya ndani vikifanikiwa kuzalisha kutosheleza soko, tuendelee kuvilinda, hata kama ulizi huo utatuumiza sisi wananchi kulazimika kununua bidhaa zate zinazozalishwa nchini kwa bei kubwa, ndioko kujenga nchi kwenyewe na sio kukimbilia cheap imports kwasababu tuu ni cheap!.

Wasalaam.

Paskali.

Nonsense linategemea nani amelitamka. Mfano unabishana na kichaa akikuambia nonsense ukafadhaika utakuwa kichaa zaidi yake. Hii tabia ya viongozi wakiwa madarakani kujiona wana akili kuliko watu wote inatuumiza sana kwa sababu hatuna utaratibu wa kupima iq na afya ya akili kwa viongozi wetu kwani baadhi kwa matendo na maamuzi yao walitakiwa kuwa Mirembe badala ya ikulu
 
Tangu yakutokee haya ya kuitwa Bungeni,na kuambulia Kura 1,sijui 2 kwenye mchujo, akili yako imevurugika kabisa.
Nimesoma nimekodoa macho nikifuatilia nione ulivyo halalisha kauli ya 'nonsense' ya Hangaya,umepiga piga kiwi tu,umeishia kurukia Mambo mengine.
Nilitegemea Kama mwandishi uliyebobea uje na data ni kiasi gani Cha sukari kinachozalishwa nchini kwa Sasa na je kweli tunahitaji hiyo ya nje?

Umekimbilia kumupongeza Hangaya tu,kwa hiyo waziri mkuu na Mkenda ni wajinga kweli kwenye hili au njaa ya teuzi Kama jina lako lilivyo?
Hiii Baghosha!.
 
Hoja aliyotoa Pascal ni kuwa uamuzi wa kuingiza sukari freely ni mzuri

Nikakujibu sio mzuri, sababu waziri alikuwa na hoja nzuri tu, ila pascal hajazigusia
Nilijaribu kuqualify alichokizungumza na kuongeza kidogo ili kuiboresha na wala sijahitimisha wewe waweza ongeza ili kuboresha au kutoa wazo mbadala.
 
Kuna na " nonsense" ya mafuta ya kula na ya mitambo( petroli, diesel)! Hii nonsense inaua kasi ya ukuaji wa uchumi wetu!

Mkuu mleta mada umeshiriki kunishawishi nitumie neno nonsense, kwa kigezo kuwa si neno la kuudhi bali la kuhimiza watu waache ujinga. Naliweka wazi hili kwa sababu sipendi kutumia maneno ya kuudhi popote!
Hata hivyo umeandika nonsense
 
Nimependa uchambuzi wako ila kwa issue ya sukari ya Zanzibar pana shida kidogo kiwanda chao kinazalisha sukari na Zanzibar yenyewe haiinunui yote wanataka kuileta Bara pana ukakasi kidogo. Kwanini wasinunue sukari yao wenyewe wanaagiza kwa njia za panya na sukuri yao inadoda kiwandani hili ndio tatizo. Kuhusu kulinda viwanda vya ndani hapa kuna shida kidogo kwani sukari ya ndani ni gharama kuizalisha kuliko ya nje, unaporuhusu waagize nje hao hao wanye viwanda unategemea nini? Viwanda vitageuka vachuuzi wa sukari na kuacha kuzalisha kwa sababu ya gharama za uzalishaji ni kubwa. Kuvilinda viwanda ni pamoja na kuweka mazingira yanawezesha ushalishaji cempetitive yaani production costs should be low. Angalia bei za umeme, mafuta mazito, vilainishi n.k. Kuvilinda viwanda vya ndani sio kukataa bidhaa za jirani (EAC) or any other country in this World. How could the Country produce goods with competitive price this is more than what we see in the news. The Gov should think more on this tutamezwa na soko la pamoja la EAC. Viwanda vyetu havitauza kitu na definately vitakufa.
Ulianza vizuri hoja ya sukari ila umeitelekeza njiani ukahamia bidhaa zingine. Tafadhali hitimisha walau kwa kueleza nini kifanyike ili kuondoa nonsense kwenye sintofahamu ya sukari.
 
''Yaani Tanzania bara inakabiliwa na uhababa wa sukari, Zanzibar inayo sukari ya ziada bwelele, Zanzibar inakataliwa kuingiza sukari yake bara, na badala yake, wenye viwanda ndio wanaoruhusiwa kuagiza sukari ya bei chee kutoka ng’ambo, kufidia huo upungufu!, kwa uamuzi kama huu, ni neno gani zuri zaidi ya kulitumia zaidi ya neno “nonsense?”.

Mkuu Paskal you nailed it.
Lakini natamani tuangalie angle nyingine kwa nini tuna ''nonsense'' nyingi kiasi hiki:-

Je,kwamba viongozi wa kisiasa (watembelea maviieitee) hawafahamu hali halisi ya capacity ya viwanda vyetu? Au na wao ni miongoni mwa shareholders kwa maana ''they make scarcity'' ili demand na supply ifanye kazi? Na kama ni hivyo basi hawana uhalali wa kuwa viongozi wetu maana wana sifa ya unyonyaji.

Je,kwamba tuna mpango mkakati wa kukuza viwanda vyetu vya ndani bila kuzingatia namna bora ya kuimarisha ushindani na bidhaa kutoka nje ili kuhakikisha viwanda vinazalisha bidhaa bora na zenye affordable price?

Je,viongozi wetu hawaguswi na upandaji wa bei za bidhaa kwa kuwa kuna immaterial effect kwao? Kwa kipato chao hawawezi kuathirika na sukari ya kilo moja Tsh.2500/=,Petrol Lita mojaTsh.2500/=,Mfuko mmoja wa saruji Tsh.24,000/= Kwa hiyo tuseme they don care!!! Kama jibu ni hili basi hawatufai kwa sababu ni wachoyo na wabinafsi (wapo siyo kwa ajili yetu ila kwa ajili ya matumbo yao na familia zao)

Je,hatuna malighafi za kutosha kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa zenye upungufu nchini mwetu? Tukumbuke mfano, sukari ilianza kupaa bei tangu 2016 kama sikosei.Kama tatizo lilikuwa ni malighafi je,hatuna ardhi ya kilimo cha miwa kwa ajili ya kupata malighafi za viwanda vya sukari kisha tupate sukari ya kutosha. Kwa nini nchi ndogo (ukilinganisha na Tanzania) kama Uganda wana uwezo wa kuwa na surplus ya kuweza kuuza nje sisi tunakwama wapi?

Mwisho (japo kuna mengi) viongozi wetu muwe wazalendo hebu muipende nchi yenu tambueni mnatupa mzigo mkubwa sana kuyamudu maisha yetu ya kila siku.Hivi mnafahamu kuna watanzania ambao hawana uwezo wa kupata milo 2 kwa siku? Na vipi bei za bidhaa zinapopanda kiholela wataenda chooni hawa,watakuwa salama kimwili na kiakili? Hamtatuua kwa njaa?

Punguzeni tozo kwenye mafuta ili vyuma vilegee#
 
Wanaokugeuza soko sasa hivi waliumia zamani ili kustawisha viwanda vyao. Umia kwa ajili ya vizazi vijavyo, boya wewe.
Ni sawa waliumia,
lakini waliumia kwa namna nyingine, factor kubwa inayosababisha ongezeko la bei ni bei ya umeme kwa unit.
Tanzania tungeweza kufua umeme kwa wingi na kuuza kwa bei ya chini ingesaidia sana kupunguza mfumuko wa bei na kuhamasisha ongezeko la viwanda kwa wingi sana.
 
Ulianza vizuri hoja ya sukari ila umeitelekeza njiani ukahamia bidhaa zingine. Tafadhali hitimisha walau kwa kueleza nini kifanyike ili kuondoa nonsense kwenye sintofahamu ya sukari.
Nafikiri ukiendelea kusoma utaona sijatoka kwenye sukari, ila niliongelea nini cha kufanya, kwa serikali kuangalia viwanda vyetu viweze kuzalisha sukari kwa bei nafuu.
 
''Yaani Tanzania bara inakabiliwa na uhababa wa sukari, Zanzibar inayo sukari ya ziada bwelele, Zanzibar inakataliwa kuingiza sukari yake bara, na badala yake, wenye viwanda ndio wanaoruhusiwa kuagiza sukari ya bei chee kutoka ng’ambo, kufidia huo upungufu!, kwa uamuzi kama huu, ni neno gani zuri zaidi ya kulitumia zaidi ya neno “nonsense?”.
Kwa taarifa zilizopo, inasemekana kuwa kampuni zote za kikandarasi iwe ujenzi, umeme, nakadhalika zilizosajiliwa Tanzania bara zimeondolewa haki ya kuomba kazi Zanzibar kama kampuni zilizosajiliwa katika Jamhuri ya Muungano Tanzania. Kwa sasa kampuni hizi za kandarasi zinawekwa sawa kama kampuni zinazotoka nje ya Jamhuri ya Muungano Tanzania. Yaani kampuni hizi za Tanzania bara zinatozwa kodi sawa na kampuni za kifaransa, kichina, kituruki, kimisri nakadhalika!!! (Kama taarifa hizi siyo sahihi nitaomba nipewe taarifa sahihi)

Nadhani mambo kama haya ndiyo yanazidisha "nonsense"!
 
Nafikiri ukiendelea kusoma utaona sijatoka kwenye sukari, ila niliongelea nini cha kufanya, kwa serikali kuangalia viwanda vyetu viweze kuzalisha sukari kwa bei nafuu.
Okay nilizungumzia vitu kama umeme, mafuta, vilainishi nk (Production costs). vikiwa ni vitu ambavyo viwanda vya sukari hutumia kuzalisha sukari, kama serikali ikiangalia vyote hivi vinaweza kupunguza bei ya sukari yetu.
 
Back
Top Bottom