Ashatu Kijaji: Hakuna uhaba wa Sukari nchini, ipo ya kutosha

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,211
42,072
Naibu waziri wa Viwanda na biashara Mhe. Ashatu Kijaji alifanya ziara kutembelea baadhi ya Viwanda vya sukari na alitembelea kiwanda kilichopo mkoani Manyara ambapo alikuta kimesitisha uzalishaji kwa kukosa Malighafi za kutengenezea Sukari.

Waziri alitumia nafasi hiyo kusema kuwa hakuna uhaba wa sukari nchini bali kuna upungufu kwani sukari bado ipo ya kutosha kwenye maghala ya sukari kwa hiyo watafanya tathmini kujua kwanini sukari imepanda hadi kufikia 4000 wakati sukari kwenye viwanda vyote bei haijapanda kabisa!

Waziri amesema watatoa sukari yote kwenye maghala kwani kuna sukari ya kutosha nchini na amesema mvua zimenyesha nyingi hivyo zimeathiri uzalishaji wa sukari baadhi ya Viwanda kikiwemo cha Moshi.

=========

Maswali!
Kama sukari ipo ya kutosha nchini kwanini bado bei imepanda maradufu?

Kama sukari haijapanda uko viwandani kwanini mtaani imepanda?

Waziri anajua kuwa kuna sehemu sukari inafika 4500?

=============For English Audience Only================​

Deputy Minister of Industry and Trade, Hon. Ashatu Kijaji, conducted a tour to visit some sugar factories and visited a factory located in the Manyara region where she found that production had been halted due to a lack of raw materials for sugar production.

During her visit, the Minister stated that there is no shortage of sugar in the country but rather a deficit, as there is still sufficient sugar stored in warehouses. She announced that they will assess why the price of sugar has risen to 4000 while the prices in all factories have remained unchanged.

The Minister assured that they will release all the sugar from the warehouses as there is sufficient sugar in the country. She also mentioned that the heavy rainfall has affected sugar production in some factories, including the one in Moshi.

Questions arise from the public concerning the sugar situation: If there is sufficient sugar in the country, why has the price doubled? If the factory prices remain unchanged, why has the street price risen? Does the Minister acknowledge that sugar prices have reached 4500 in some areas?

 
Naibu waziri wa Viwanda na biashara Mh Ashatu Kijaju alifanya ziara kutembelea baadhi ya Viwanda vya sukari na alitembelea kiwanda kilichopo mkoani Manyara ambapo alikuta kimesitisha uzalishaji kwa kukosa Malighafi za kutengenezea Sukari……

Waziri alitumia nafasi hiyo kusema kuwa hakuna uhaba wa sukari nchini bali kuna upungufu kwani sukari bado ipo ya kutosha kwenye maghala ya sukari kwa hiyo watafanya tathmini kujua kwanini sukari imepanda hadi kufikia 4000 wakati sukari kwenye viwanda vyote bei haijapanda kabisa!

Waziri amesema watatoa sukari yote kwenye maghala kwani kuna sukari ya kutosha nchini na amesema mvua zimenyesha nyingi hivyo zimeathiri uzalishaji wa sukari baadhi ya Viwanda kikiwemo cha Moshi …

Maswali!
Kama sukari ipo ya kutosha nchini kwanini bado bei imepanda maradufu?

Kama sukari haijapanda uko viwandani kwanini mtaani imepanda?

Waziri anajua kuwa kuna sehemu sukari inafika 4500?
Takataka kabisa
 
FB_IMG_1704262404528.jpg
 
Hawa Mawaziri wanaokimbilia kukanusha ni wa kufutwa kazi.

Mkurugenzi wa bodi ya sukari (SBT) Prof Bengesi amedai tayari vibali vimetolewa kwa wafanyabiashara waagize Tani 50,000 toka nje.

Kama ipo kwenye maghala viwandani ina maana bodi haijui?
 
Huyu Waziri ni mzigo japo mwenyewe anajiona mjanja,anaposema hakuna uhaba ila kuna upungufu yeye anaona ametofautisha nini au anaposema viwanda vimesitisha uzalishaji kutokana na kukosa malighafi hii ina maana gani!
Hawa watu waache kucheza na maisha ya watu kuwafanyia dhihaka kwenye mambo ya msingi.
Wasijione kwakuwa wao wana maisha mazuri basi wakawadharau watu na kuwaona mabwege wakae wakijua huo ubwege ipo siku utaisha wajifunze kwenye nchi nyingine huko watawala walikuwa wakiwaona wananchi hivyo hivyo na kujiona wao wamefika na hakuna lolote wananchi wanaweza kufanya lakini siku wananchi waliposema sasa basi imetosha kivumbi walikiona sasa wewe Kibajaji endelea tu.
 
Hawa Mawaziri wanaokimbilia kukanusha ni wa kufutwa kazi.

Mkurugenzi wa bodi ya sukari (SBT) Prof Bengesi amedai tayari vibali vimetolewa kwa wafanyabiashara waagize Tani 50,000 toka nje.

Kama ipo kwenye maghala viwandani ina maana bodi haijui?
Hatari sana
 
Naibu waziri wa Viwanda na biashara Mhe. Ashatu Kijaji alifanya ziara kutembelea baadhi ya Viwanda vya sukari na alitembelea kiwanda kilichopo mkoani Manyara ambapo alikuta kimesitisha uzalishaji kwa kukosa Malighafi za kutengenezea Sukari.

Waziri alitumia nafasi hiyo kusema kuwa hakuna uhaba wa sukari nchini bali kuna upungufu kwani sukari bado ipo ya kutosha kwenye maghala ya sukari kwa hiyo watafanya tathmini kujua kwanini sukari imepanda hadi kufikia 4000 wakati sukari kwenye viwanda vyote bei haijapanda kabisa!

Waziri amesema watatoa sukari yote kwenye maghala kwani kuna sukari ya kutosha nchini na amesema mvua zimenyesha nyingi hivyo zimeathiri uzalishaji wa sukari baadhi ya Viwanda kikiwemo cha Moshi.

Maswali!
Kama sukari ipo ya kutosha nchini kwanini bado bei imepanda maradufu?

Kama sukari haijapanda uko viwandani kwanini mtaani imepanda?

Waziri anajua kuwa kuna sehemu sukari inafika 4500?
Hapa kwenye sukari tatizo lipo kwenye kuruhusu wanunuzi wakubwa ndo wanjnue alafu wao wake sambaza why wasiweke sheria wenye kiwanda ndo wafanye direct distribution ili kuweza control price.
Kwani huko kiwandani bei haijapanda inauzwaje kwa kilo?
 
Naibu waziri wa Viwanda na biashara Mhe. Ashatu Kijaji alifanya ziara kutembelea baadhi ya Viwanda vya sukari na alitembelea kiwanda kilichopo mkoani Manyara ambapo alikuta kimesitisha uzalishaji kwa kukosa Malighafi za kutengenezea Sukari.

Waziri alitumia nafasi hiyo kusema kuwa hakuna uhaba wa sukari nchini bali kuna upungufu kwani sukari bado ipo ya kutosha kwenye maghala ya sukari kwa hiyo watafanya tathmini kujua kwanini sukari imepanda hadi kufikia 4000 wakati sukari kwenye viwanda vyote bei haijapanda kabisa!

Waziri amesema watatoa sukari yote kwenye maghala kwani kuna sukari ya kutosha nchini na amesema mvua zimenyesha nyingi hivyo zimeathiri uzalishaji wa sukari baadhi ya Viwanda kikiwemo cha Moshi.

Maswali!
Kama sukari ipo ya kutosha nchini kwanini bado bei imepanda maradufu?

Kama sukari haijapanda uko viwandani kwanini mtaani imepanda?

Waziri anajua kuwa kuna sehemu sukari inafika 4500?
Exaud Kigae ndiyo Naibu Waziri,Kijaji ni Waziri!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom