Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?

Umejikita zaidi kuonesha matumizi ya neno nonsense kama ambavyo lilitumiwa na Hayati Mwalimu, hujaonesha justification wa Raisi Samia kuita maamuzi ya Waziri wa Kilimo "nonsense". Waziri wa Kilimo alikataa kutoa vibali vya sukari kwa msimamo wa kulinda wazalishaji wa ndani. Raisi naye kwa uelewa wake inaonekana hakubaliani na waziri wake kwa sababu kuna upungufu wa sukari ambao lazima ujazwe kwa kuagiza sukari nje. Nafikiri kinachogomba hapa ni usimamizi wa hiyo biashara
Wafanyabiadhara walikutana na Samia alipokuwa Zanzibar na wakamshawishi atekeleze hiyo “ Nonsense “ Deep State in action!
 
tunajigamba kujenga Fly over kwa bei ghali sana ,inavyoonesha TZ hatuna uwezo kabisa wa kiutaalamu wa kubuni,kuchora na kujenga hayo ma fly over.
Lkini baya zaidi hata kuchagua aina ya fly over pia hatujui, matokeo yake tunajengaflyover za kizamani za miaka ya 70 na kuacah kwenda na wakati,
Mfugale

Mr. Alphayo J. Kidata
Commissioner General


Mfugale Flyover at the Junction of Nyerere and Mandela roads in Tazara Dar es Salaam, of which are the results of Tanzanian Taxes

hili ni aina ya zamani ya madraja.
msongamano umehama upande mmoja umehamia upande mwingine.
Bado foleni za Mandela road zipo pale pale.
Unawezekana ni kizamani je wewe ungepropose nini hapo penye nafasi finyu kiasi hicho. Shida ni nafasi hata ubungo kulikuwa hakuna nafasi ya interchange bali kaflyover kadogo kama mnavyoiona. Tusilalanike tu bila kujua chimbuko la kilichopo.
 
Issue ya majiji mengi Tanzania ni naturally growing Towns to Cities. Miji mingine ilianza kama fishing landing sites, masoko ya mifugo, mazao leo hii imekuwa miji imekuwa hivyo hadi leo. Tatizo ni mipango miji, poor planning of cities. Ndio ukienda Ulaya unakuta old towns na new towns with wide roads and interchanges/fly overs nk. Jiji kama la Dar es Salaam ilibidi watu wa mipango miji wawe wameliona na kushift na kujenga jiji jipya penye nafasi na kuweka all morden infrustructures au kuhamisha facilities zinazofuatwa city center na kuzipekeka nje ya mji ha huko kupima na kujenga jiji jipya.
 
Tatizo kubwa la Dar es Salaam ni location ya bandari ya Dar es Salaam kwa kiasi kikubwa, Serikali ingeweza kutafuta njia mbadala ya kufikia bandari bila kupitia Buguruni, Ubungo hadi kibaha/Mwenge/Bagamoyo lingesaidia sana. Ndio maana ni wazo zuri kujenga Bandari Bagamoyo.
 
View attachment 2036704

Wanabodi,

Makala ya leo, ni makala ya pongezi kwa Rais Samia, kwa “nonsense” ya sukari, Rais Samia, anastahili pongezi za dhati, swali ni jee tuishie kwenye nonsense ya sukari tuu, au tuangazie na nonsense nyingine zote tuziache tusonge mbele?

Angalizo: Kuunga mkono huu msimamo wa rais Samia kuondoa nonsense ya sukari, na kutaka nonsense nyingine zote ziondoshwe, namaanisha kufungua milango ya soko huria kwa zile bidhaa tuu za muhimu ambazo viwanda vyetu vya ndani, vimeshindwa kuzalisha kukidhi na kutosheleza mahitaji ya soko la ndani, na sio soko holela. Viwanda vya ndani vikifanikiwa kuzalisha kutosheleza soko, tuendelee kuvilinda, hata kama ulinzi huo utatuumiza sisi wananchi kulazimika kununua bidhaa zetu zinazozalishwa nchini kwa bei kubwa, huo ndio uzalendo wenyewe, na ndiko kujenga nchi kwenyewe na sio kukimbilia cheap imports kwasababu tuu ni cheap!.

Wasalaam.

Paskali.
Tulipongeza kwa hii nonsense ya sukari, sijui tupongeze au...?.
P
 
Back
Top Bottom