Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
kila kitu?????
Tunawalipa mahari,,,
tunagharamia nyumba,
kula,kuvaa,
na mahitaji yote karibu,
.
kwani kutoa mahari ndio iwe sababu ya nyie kututumikisha hivyo?
Basi tutaanza kutoa sisi mahari.