Kwa nini wanaume....................???

Jamani heeeeeeeeeeeee mimi naona mume abaki kuwa mume na mke abaki kuwa mke! Kila mtu anamajukumu yake bwana, siwezi pika wakati mke kaweka miguu juu, labda kama mgonjwa hasa, lasivyo atapaswa kutimiza wajibu wakeeeeeeeee:A S 20::A S 20::A S 20:
 
Wanawake wa siku hizi wanachanganyikiwa na ndio maana ndoa hazidumu. Vikazi vidogo mnalalamika. Mfano mwanaume atajenga nyumba, atamvisha mke na watoto, bill za maji, umeme, na matumizi mengine lazima achape kazi ili kukidhi matumizi hayo. Bado mke anaishi raha mustarehe then anaona kupika ni issue kubwa? Kumfulia mmeo nguo unaona kero? Mbona yeye hakuona kero kukununulia nguo? Wanawake na wanaumbe hata siku moja hawawezi kua sawa, hata vitabu vya dini vinaelekeza hivyo.Kama wote mnafanya kazi basi ajirini mtumishi wa Ndani. Mbona kazi tunazofanya wanaume hatulalamiki? Mwanamke akishajiona amesoma kidogo basi taabu tupu, majukumu ya mke kwa mme na mme kwa mke yako pale pale.
 
Aisee we paka kidogo unikwaze katika hii thread yako.

Kumbe anayelalamika ni Yasinta Ngonyani!

Mwambie akome kuolewa na mgambo wa Kikurya!

Babu babu, wewe humpikii bibi kwani??
Mara moja moja kwa mapenzi mema tu babu yangu hakuna shida.
Lakini ninyi mmeshaumbwa hivyo mlivyo, binafsi sina ubishi, na kubisha ni
kupingana na mpango wa Mungu.
 
its crazy kusika mtu anataka mwanaume afanye vitu ambavyo systematically are for women.....

Yap, yani hiyo sio sababu ya kukosa amani kwenye nyumba kabisa. Nadhani pia hicho,
ndo kinachofanya kuwepo na nafasi ya mke na nafasi ya mume.
Lakini ukifanya kwa mapenzi na shangwe ni vizuri sana.
 
ubovu wa hawa viumbe ukionyesha unajali sana basi kwishnei,,,atakuona bonge la ***** flani hivi, so unafanya kwa kustua stua siku moja moja isiwe ikawa katiba.
 
Wanawake wa siku hizi wanachanganyikiwa na ndio maana ndoa hazidumu. Vikazi vidogo mnalalamika. Mfano mwanaume atajenga nyumba, atamvisha mke na watoto, bill za maji, umeme, na matumizi mengine lazima achape kazi ili kukidhi matumizi hayo. Bado mke anaishi raha mustarehe then anaona kupika ni issue kubwa? Kumfulia mmeo nguo unaona kero? Mbona yeye hakuona kero kukununulia nguo? Wanawake na wanaumbe hata siku moja hawawezi kua sawa, hata vitabu vya dini vinaelekeza hivyo.Kama wote mnafanya kazi basi ajirini mtumishi wa Ndani. Mbona kazi tunazofanya wanaume hatulalamiki? Mwanamke akishajiona amesoma kidogo basi taabu tupu, majukumu ya mke kwa mme na mme kwa mke yako pale pale.

Hapo kwenye kuvisha,kujenga etc,.kwa wanawake walioendelea kimawazo na hana any kind of hitilafu kwenye mwili wake,wanafanya kazi sana,.unamuoengelea vipi a woman who works all day,mnagawana majukumu sawa,at times kaz yake ni ngumu kushinda yako,na bado akirudi home she has to do everything by herself ukiwa unaangalia tv or checking out a game with your friends?..unajua kuna vitu tunasema ni usawa but in reality inaitwa UTU a.k.a UBINADAMU!
Hamna mtu aliyekataa that we cant be equal but kama tungefanya usawa wa a man has to toil na a woman kukaa home siku nzima akifanya kazi za nyumbani labda hapo na tena kazi za nyumbani zina ugumu wake,ukiwa unaona kwa macho ni rahisi ila jaribu siku moja kufanya kila kitu,amka asubuhi pika chai,andaa watoto,muandae mkeo,deki,osha vyombo,fagia,osha ukuta,pika mchana,osha vyombo mchana,pika jioni,kachukue watoto,waogeshe,fanya nao home work etc utajua where it hurts,sasa add mwanamke anayefanya kazi za ofisi or manual labour!.
Hamna mtu anaekupush usifanye kumsaidia mkeo ila inatakiwa itoke kwenye moyo wako kwa kuona what your wife is up to everyday!.jumlisha the natural pain Mungu alietupa afu yuko anafanya hayo yote and still we uko unaponda raha with a certain woman behind her:focus:..vyote ni utu tu my diaz na utu na upendo vinakwenda pamoja!:msela::disapointed:
 
Nahisi wewe ni mwanamke. Mawazo yako oldish kidogo karibu ya kupitwa na wakati. Ndio ninyi munao kutana unataka mume aendelee kukununulia tu kinywaji/vitafunio hata kama unamzidi pay au unangoja kutongozwa. Hujui siku hizi bwana na baba harusi wanachangia mahari ingawa yote inaenda kwao bibi harusi (hilo ndilo bado).
 
from historically backgtound Adam na Hawa kwenye bible unakuta Adam alikua kama kiongozi wa nyumba na hata vitabu vya dini vinaeleza hivyo kwanini havigusii wanawake kama mashujaa kwasababu ukiangalia hata watoto wa mungu waislamu wanasema mtume muhamad alikua mwanaume na wakristu tunasema yessu alikua mwanaumwe na hata tunaposali tunasema mungu baba kwanini tusiseme mungu mama!!!always baba ndiye kiongozi wa nyumba chukulia hata kwenye familia watoto wakizaliwa tu hupewa jina lake na jina la pili linakua la baba na sio mama maana yake baba ndiye alie mtoa yule mtoto ila mama alimbeba tu pia hata leo hii wakaingia majambazi nyumbani kwako baba ndiye atakayetegemea kuiokoa familia na sio mamama so kama wewe ni baba your suppose to be strong always usikubali kuyumbishwa!
KWA NINI WANAUME/AKINA BABA WENGI WANAFIKIRI WAO NDIO WAAMUZI/WAFALME WA NYUMBA?



Suala hili limekuwa likinikera sana akilini mwangu kwa miaka mingi. Ya kwamba akina baba/wanaume wao wanafikiri kazi yao kubwa katika nyumba ni kuwa MUME/BABA basi. Mara nyingi utasikia wanasema mimi ndio mkubwa wa nyumba. Na kama wanafanya kazi za ofisini basi ndo itakuwa kero mno. Kwani hapa atataka anaporudi toka kazini akute chakula mezani, maji ya kuoga bafuni tena ya moto, nguo zmepigwa pasi n.k. Na kinyume kama hana kazi basi atakuwa anashinda kilabuni(UGIMBI) na akirudi toka huko basi ni kelele tu, hakuna amani wala maelewano

Bado naendelea, kuna wengine wanaona kupika, kulea watoto, kutafuta chakula ni kazi ya wanawake. Yaani hawawezi hata kujipikia chai kwa vile wao ni wanaume au hata kumbadili mtoto nepi, Mtoto amabaye ni wake. Kikubwa wanachofanya ni kukaa kitini/sofani na kuletewa kile wanachotaka. Wanasahau kabisha jambo la USAWA.

Bado wanaishi dunia ya mababu, mababu na mababuzi. Tuache UBINAFSI tuishi kwa kushirikiana/kusaidiana kwani wote ni SAWA. Nasema tena tuishi kwa kusaidiana hapo wote tutafurahia maisha. Tuache mambo ya UTUMWA

Na: Yasinta Ngonyani
 
Kaka,a man is a symbol of strength and a woman of Love!but hatuendi kwa nguvu peke yake bali hekima,busara,amani na upendo!.be an idol but not idol!..dah!let me leave for now:sad:
 
yaaa ndio kweli lakini ukiwaendekeza ulimwengu wa sasa wote sawa chakufanya piga kazi kama yeye unajikuta nyote mnaruudi time moja watoto kwa mlezi. IKIWA NYOTE mmechoka nyote wakali kila mtu atajihudumia mwenyewe unasubiri weekend unapooza moyo na mmeo. HAMNA KUREGEA
 
Wapo wanaume wa kicongo
wao wanaweza mpaka kuwapaka lips stick...
Wanafua na kupiga pasi nguo za ndani za wake zao...
Ili mradi mwanamke awe na pesa..
Sasa si muende kwa hao muache kulalamika humu....[/QUOkuna wanaume wengine we The boss hawezi hata kumuurumia mke wake huruma utafikiri anambebesha punda mizigo eti kisa mahali manazo zitoa hiyo sio inshu bwana hulazimishwi kufanya kazi ila sometime unaweza kusaidia
 
kwani kutoa mahari ndio iwe sababu ya nyie kututumikisha hivyo?
Basi tutaanza kutoa sisi mahari.

mahari yenyewe sh ngapi kwani, haitoshi hata kulipa mshahara wa housegirl wa miaka miwili, Lakini wao wanataka wakugeuze housegirl na uwasaidie kwenye hayo the so called majukumu Yao (ujenzi, ada za Watoto, chakula n.k) for the rest of their lives. Hii haikubaliki na pole Yao wanaoikubali.
 
umewahi kujiuliza kwanini matiti yamewekwa kwa mama na sio kwa baba?

sasa matiti yanahusikaje kwenye kupika, kuosha vyombo, kubadilisha diaper na kufua? Sijaona wala kuskia aliyedemand muwasaidie wanawake kunyonyesha.
 
Back
Top Bottom