Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Kwenye ibada ya KUMWAGA Jenista Mhagama,
Mh Zungu alipewa nafasi ya kutoa shukurani kwa MH RAIS dhidi ya mchango wake kwa msiba ule,
Akiwa mbele ya waombolezaji zungu alieleza jinsi alivyowai kuuliza na Hayati jenista mhagama, alivyowai muuliza dhidi ya Jina la zungu yakuwa alilipata wapi Jina ilo?
Zungu alijieleza yakuwa yeye ilo Jina alilipata kwa sababu yeye mama yake alikuwa mgoni aliyekimbilia pale akitokea south Africa aliyekimbilia Tanzania
Katika kauli hii Kuna uwezekano Mama yake na zungu alikuja Tanzania na ujauzito wa Mh Zungu mwishowe akajitokeza kidume Mmoja akajibebea kimbizi na kumwoa kupima kama kimbizi ni mjamzito mwishowe akazaliwa ndugu zungu na sasahivi ni SPIKA WA serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
Tuseme neno sisi wa Africa wote ni ndugu tupendane hata ukimchunguza zungu yaani ni mzuru kabisa mwenye vinasaba na wale makaburu wazungu walio ivamia south Africa yaani kwa ufupi Zungu ni mkaburu Wala sio msouth Africa
All the best zungu.
Mh Zungu alipewa nafasi ya kutoa shukurani kwa MH RAIS dhidi ya mchango wake kwa msiba ule,
Akiwa mbele ya waombolezaji zungu alieleza jinsi alivyowai kuuliza na Hayati jenista mhagama, alivyowai muuliza dhidi ya Jina la zungu yakuwa alilipata wapi Jina ilo?
Zungu alijieleza yakuwa yeye ilo Jina alilipata kwa sababu yeye mama yake alikuwa mgoni aliyekimbilia pale akitokea south Africa aliyekimbilia Tanzania
Katika kauli hii Kuna uwezekano Mama yake na zungu alikuja Tanzania na ujauzito wa Mh Zungu mwishowe akajitokeza kidume Mmoja akajibebea kimbizi na kumwoa kupima kama kimbizi ni mjamzito mwishowe akazaliwa ndugu zungu na sasahivi ni SPIKA WA serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
Tuseme neno sisi wa Africa wote ni ndugu tupendane hata ukimchunguza zungu yaani ni mzuru kabisa mwenye vinasaba na wale makaburu wazungu walio ivamia south Africa yaani kwa ufupi Zungu ni mkaburu Wala sio msouth Africa
All the best zungu.