Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

1.Kwanini umeifufua ni rahisi sana ni kwamba dhamiri yako inakushtaki kumbe ili kujiliwaza umeiweka hiyo taarifa, na kwa vile unajua mawazo ya watz, ili waseme mbona kaiweka wa kwanza.
2.Kwa mtazamo wa kiroho Mungu ni UPENDO, mtu wa kwanza ambaye Biblia imetuhakikishia yuko mbinguni ni yule Mwizi pale Msalabani. Hakuna lolote alifanyalo mwanadamu linalomwongeza Mungu kitu au linalompunguza Mungu kitu. Mungu is a PERFECT BEING. Hutende dhambi au hutende mema Mungu hapungui wala haongezeki kitu.....hayo yanatufaha sisi wanadamu na wokovu wetu.
3.Ni kweli kwa Mungu hakuna muda... siku moja sawa na siku elfu moja na siku elfu moja sawa na siku moja!!!!! Kabla haujaumbwa tumboni mwa mama yako nalikujua......nalikutakasa!
4. Nisichokubaliana na wewe ni madai yako kuwa Dr Slaa kwa vile alikuwa padre basi ataandamwa na mikosi. ABSOLUTELY WRONG. Kule Visiwa vya Haiti padre muhasi aliliongoza taifa hilo kwa ngazi ya URAIS
Dhamira yangu hainisuti na huwa ikitokea hivyo hasa hapa jukwaani narejea na kukiri na kuomba radhi... Kwa hili bado niko sahihi, nilikuwa sahihi na nitaendelea kuwa sahihi... Simhukumu Dr Slaa, nje ya maisha yake he is my brother... Ila lazima tufahamu na kukubali kwamba ukweli unabaki kuwa ukweli HAUCHAKACHULIKI... Atafanya vena sasa kwenye ajira yake mpya lakini hatadumu kama historia yake inavyojieleza
 
Mshana labda kama unaona uko sahihi, ila failures na wanaoanguka wako wengi na si kwa sababu ya viapo! ama la kama kawa balozi basi kafanikiwa na ku violate hypothesis zako! kafanikiwa, ila kuwa eti hatafika mbali, bado ni hypothesis thats happen kwa kila mtu duniani, hata mugabe, unless useme kistandard cheo chako kikishushwa ndani ya miezi sita basi unakuwa na laana!!

u did wrong to start this too personal thread ambayo hata ww mtu anaweza kukuanzishia kama angekuwa anakujua

what happened chadema bado anabaki alama ya msimamo! hakuwa msaliti! lowasa alitakiwa kuwa mwanachama tu na si mgombea! wapigania na wafia chama walilisimamia hili, hizi theories zako ni kutaka kufurahisha hilo kundi na umesimama kichawi kabisa kuwa "hatafika mbali" aisee
 
Mshana labda kama unaona uko sahihi, ila failures na wanaoanguka wako wengi na si kwa sababu ya viapo! ama la kama kawa balozi basi kafanikiwa na ku violate hypothesis zako! kafanikiwa, ila kuwa eti hatafika mbali, bado ni hypothesis thats happen kwa kila mtu duniani, hata mugabe, unless useme kistandard cheo chako kikishushwa ndani ya miezi sita basi unakuwa na laana!!

u did wrong to start this too personal thread ambayo hata ww mtu anaweza kukuanzishia kama angekuwa anakujua

what happened chadema bado anabaki alama ya msimamo! hakuwa msaliti! lowasa alitakiwa kuwa mwanachama tu na si mgombea! wapigania na wafia chama walilisimamia hili, hizi theories zako ni kutaka kufurahisha hilo kundi na umesimama kichawi kabisa kuwa "hatafika mbali" aisee
Unaandika haya kwakuwa tunakinzana misimamo.. Lakini nilichoandika ni uhalisia na hauwezi kubadilika... Kwa haraka na kwasasa mtaona ni ushindi mkubwa kwake lakini muda ndio utaamua.. Simtakii mabaya nimeangalia historia na ndio maana nikaamua kuupandisha tena huu uzi baada tu ya uteuzi
 
1.Kwanini umeifufua ni rahisi sana ni kwamba dhamiri yako inakushtaki kumbe ili kujiliwaza umeiweka hiyo taarifa, na kwa vile unajua mawazo ya watz, ili waseme mbona kaiweka wa kwanza.
2.Kwa mtazamo wa kiroho Mungu ni UPENDO, mtu wa kwanza ambaye Biblia imetuhakikishia yuko mbinguni ni yule Mwizi pale Msalabani. Hakuna lolote alifanyalo mwanadamu linalomwongeza Mungu kitu au linalompunguza Mungu kitu. Mungu is a PERFECT BEING. Hutende dhambi au hutende mema Mungu hapungui wala haongezeki kitu.....hayo yanatufaha sisi wanadamu na wokovu wetu.
3.Ni kweli kwa Mungu hakuna muda... siku moja sawa na siku elfu moja na siku elfu moja sawa na siku moja!!!!! Kabla haujaumbwa tumboni mwa mama yako nalikujua......nalikutakasa!
4. Nisichokubaliana na wewe ni madai yako kuwa Dr Slaa kwa vile alikuwa padre basi ataandamwa na mikosi. ABSOLUTELY WRONG. Kule Visiwa vya Haiti padre muhasi aliliongoza taifa hilo kwa ngazi ya URAIS

Mshana labda kama unaona uko sahihi, ila failures na wanaoanguka wako wengi na si kwa sababu ya viapo! ama la kama kawa balozi basi kafanikiwa na ku violate hypothesis zako! kafanikiwa, ila kuwa eti hatafika mbali, bado ni hypothesis thats happen kwa kila mtu duniani, hata mugabe, unless useme kistandard cheo chako kikishushwa ndani ya miezi sita basi unakuwa na laana!!

u did wrong to start this too personal thread ambayo hata ww mtu anaweza kukuanzishia kama angekuwa anakujua

what happened chadema bado anabaki alama ya msimamo! hakuwa msaliti! lowasa alitakiwa kuwa mwanachama tu na si mgombea! wapigania na wafia chama walilisimamia hili, hizi theories zako ni kutaka kufurahisha hilo kundi na umesimama kichawi kabisa kuwa "hatafika mbali" aisee

Unaandika haya kwakuwa tunakinzana misimamo.. Lakini nilichoandika ni uhalisia na hauwezi kubadilika... Kwa haraka na kwasasa mtaona ni ushindi mkubwa kwake lakini muda ndio utaamua.. Simtakii mabaya nimeangalia historia na ndio maana nikaamua kuupandisha tena huu uzi baada tu ya uteuzi
Muda ni hakimu wa haki....!!!!
 
Dhamira yangu hainisuti na huwa ikitokea hivyo hasa hapa jukwaani narejea na kukiri na kuomba radhi... Kwa hili bado niko sahihi, nilikuwa sahihi na nitaendelea kuwa sahihi... Simhukumu Dr Slaa, nje ya maisha yake he is my brother... Ila lazima tufahamu na kukubali kwamba ukweli unabaki kuwa ukweli HAUCHAKACHULIKI... Atafanya vena sasa kwenye ajira yake mpya lakini hatadumu kama historia yake inavyojieleza

Mungu Mtu.
 
Muda ni hakimu wa haki....!!!!

kubali ulikosea mkuu

hatuanzishi thread za kichawi kama hizi!

ni balozi hapo vipi?

kwa thread yako kila anayefeli kitu ana tatizo la kiroho, kuanzia lowassa, kafulila, na wengine wote regardless kuwa yuko kwenye siasa au la

hata wewe kuna vingi unafeli katika maisha ila sio eti tatizo la kiroho

slaa may be he is relaxed more than angekuwa chadema leo hii


bado nakusisitiza achana na hii thread, inaonyesha ulivyo na roho mbaya ya visasi kwa watu wako ambao uliwapenda awali wakaenda mbali na wewe

eti huwa hadumu, nani huwa anadumu?hasla huwa hadumu mkuu! its nature u r talking obviously

na lowassa mbona hajadumu sehemu nyingi, kafeli vingi

bado nakubishia mkuu, ulichozungumza is just life na asilimia 90 ya watu wapambanaji huwa hivyo! lakini hawana matatizo ya kiroho
 
kubali ulikosea mkuu

hatuanzishi thread za kichawi kama hizi!

ni balozi hapo vipi?

kwa thread yako kila anayefeli kitu ana tatizo la kiroho, kuanzia lowassa, kafulila, na wengine wote regardless kuwa yuko kwenye siasa au la

hata wewe kuna vingi unafeli katika maisha ila sio eti tatizo la kiroho

slaa may be he is relaxed more than angekuwa chadema leo hii


bado nakusisitiza achana na hii thread, inaonyesha ulivyo na roho mbaya ya visasi kwa watu wako ambao uliwapenda awali wakaenda mbali na wewe

eti huwa hadumu, nani huwa anadumu?hasla huwa hadumu mkuu! its nature u r talking obviously

na lowassa mbona hajadumu sehemu nyingi, kafeli vingi

bado nakubishia mkuu, ulichozungumza is just life na asilimia 90 ya watu wapambanaji huwa hivyo! lakini hawana matatizo ya kiroho
Karibu tena... Nimekukumbusha tu kuwa muda ni hakimu wa haki.. Lakini pia nafanya hivi ili walau akumbukwe pengine nitanyooshewa vidole... Umewataja wengine ambao ni maudhui tofauti kabisa
 
Wewe jamaa ni miongoni mwa watu ninao taman nikutane nao,ila tusijuane ila tujikute tunapiga stori natafta rikizo kazini najua iko siku ntakuona tumbi
 
Wewe jamaa ni miongoni mwa watu ninao taman nikutane nao,ila tusijuane ila tujikute tunapiga stori natafta rikizo kazini najua iko siku ntakuona tumbi
[emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji122] [emoji122] [emoji23]
 
kubali ulikosea mkuu

hatuanzishi thread za kichawi kama hizi!

ni balozi hapo vipi?

kwa thread yako kila anayefeli kitu ana tatizo la kiroho, kuanzia lowassa, kafulila, na wengine wote regardless kuwa yuko kwenye siasa au la

hata wewe kuna vingi unafeli katika maisha ila sio eti tatizo la kiroho

slaa may be he is relaxed more than angekuwa chadema leo hii


bado nakusisitiza achana na hii thread, inaonyesha ulivyo na roho mbaya ya visasi kwa watu wako ambao uliwapenda awali wakaenda mbali na wewe

eti huwa hadumu, nani huwa anadumu?hasla huwa hadumu mkuu! its nature u r talking obviously

na lowassa mbona hajadumu sehemu nyingi, kafeli vingi

bado nakubishia mkuu, ulichozungumza is just life na asilimia 90 ya watu wapambanaji huwa hivyo! lakini hawana matatizo ya kiroho
Waberoya nafikiri kuna kitu umekipata sasa... Jiulize kwanini leo nimeufufua huu uzi asubuhi na baadae kidogo tunaambiwa Dr kafika ikulu kufanya mazungumzo na JP? Je unadhani ni coincidence? Tusubiri yajayo....
 
Sio Mbowe kwa wenye kufikiri kwa makini. Slaa ni mkiristo mzuri kuliko wengi wakristo maana alifikia ngazi ya Upadri. Hivyo anaijua vizuri Biblia. Kutokana na Biblia kuna yafuatayo:
1. Upatapo hasira jua linachomoza usikae na hasira hiyo hadi jua likazama.
2. Dhambi hata iwe nyekundu kama damu ukitubu inakuwa nyeupe kama karatasi.
3. Sauli alikuwa mwiba mkali kwa wafuasi wa Yesu, aliua kupindukia baadae akageuka na kuwa mtume.
4. Mussa alikaa kwa faraho akiwatesa Waisrael lakini ndiye aliongoza msafara wao kuwapeleka kuelekea nchi ya ahadi japo hakuwafikisha.
5. Yapo mengi.
Mkuu no 4 hapo sijaelewa,"Musa alikaa kwa farao akiwatesa waisraeli?"
 
Waberoya nafikiri kuna kitu umekipata sasa... Jiulize kwanini leo nimeufufua huu uzi asubuhi na baadae kidogo tunaambiwa Dr kafika ikulu kufanya mazungumzo na JP? Je unadhani ni coincidence? Tusubiri yajayo....

sasa slaa si aliteuliwa kuwa balozi au? kwenda ikulu ni sawa tu

au atakataa kazi? au atafutwa kazi? ili ku validate hypothesis yako??

Nimeona slaa mwanaume mpiganaji
 
Sio Mbowe kwa wenye kufikiri kwa makini. Slaa ni mkiristo mzuri kuliko wengi wakristo maana alifikia ngazi ya Upadri. Hivyo anaijua vizuri Biblia. Kutokana na Biblia kuna yafuatayo:
1. Upatapo hasira jua linachomoza usikae na hasira hiyo hadi jua likazama.
2. Dhambi hata iwe nyekundu kama damu ukitubu inakuwa nyeupe kama karatasi.
3. Sauli alikuwa mwiba mkali kwa wafuasi wa Yesu, aliua kupindukia baadae akageuka na kuwa mtume.
4. Mussa alikaa kwa faraho akiwatesa Waisrael lakini ndiye aliongoza msafara wao kuwapeleka kuelekea nchi ya ahadi japo hakuwafikisha.
5. Yapo mengi.
Mbowe anakujaje hapa. Mbona hujasema kitu
 
sasa slaa si aliteuliwa kuwa balozi au? kwenda ikulu ni sawa tu

au atakataa kazi? au atafutwa kazi? ili ku validate hypothesis yako??

Nimeona slaa mwanaume mpiganaji
Bado naona tunakinzana na tumeshindwa kuelewana kabisa
 
sasa slaa si aliteuliwa kuwa balozi au? kwenda ikulu ni sawa tu

au atakataa kazi? au atafutwa kazi? ili ku validate hypothesis yako??

Nimeona slaa mwanaume mpiganaji
Waberoya hebu tupeane uptodates... Juzi baada ya ziara ya ikulu akaandaliwa kipindi clouds FM... Na ilitarajiwa kiwe kipindi moto mno... Naamini umeona kilichotokea.

Kabla kipindi hicho hakijaanza nikaandika makala ambayo baadhi walinipinga na kunikejeli...
 
Back
Top Bottom