Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

Kumbe jamaa empty set, yaani mshikaji gazeti lote uliloandika pumba tupu. Nimekudharau sana kenge. Lete hoja zenye mashiko, huu siyo muda wa kuleta porojo na kujadili watu.
Hahahhaa washindwa wote mara zote hujihami kwa lugha za kejeli na upuuzi mwingi ili kukutoa kwenye mada....mimi siko hivyo ukimaliza kuongea upuuzi nakusubiri uje na critical argument
 
Chadema ni taasisi kubwa kuliko dr wenu, wanalumumba wametumia mbinu zote kudhoofisha imeshindikana, kama hujui kusoma ht picha! huoni??? Dr mihogo hatoweza kudhoofisha Chama cha kutetea wanyonge
 
Uumbaji na uumbuaji mizani yake ni kama inalingana.
^^
Hapana uumbaji ni kitu chema na ni mpango wa Mungu wakati uumbuaji unatokea kwa wachache wanaokengeuka maagizo yake na kushikamana na maagano ya shetani ambayo mwisho wake hutokea uumbuaji
Kwa maana nyingine ni kwamba uumbaji huanza mwanzo lakini uumbuaji ni tendo la tamati dhambi ikishakomaa
 
Hicho ndicho mama yangu alikisema jana,akatoa mifano ya mapadre wengine walioasi kiapo na jinsi walivyoishia. Mimi namhurumia kuangukia ktk mikono ya yule mama, usiku nimeota kwamba she is an agent of the devil. Mama aliudhika sana kitendo cha Slaa kuwapakazia maaskofu.
Kaunga Tumsifu Yesu Kristu
 
Hapana uumbaji ni kitu chema na ni mpango wa Mungu wakati uumbuaji unatokea kwa wachache wanaokengeuka maagizo yake na kushikamana na maagano ya shetani ambayo mwisho wake hutokea uumbuaji
Kwa maana nyingine ni kwamba uumbaji huanza mwanzo lakini uumbuaji ni tendo la tamati dhambi ikishakomaa

Asante,
Hivi kiroho inakuwaje hii, watu aina ya Dr Slaa ni wengi katika jamii, na michango yao ktk maisha ya wengine inaonekana na kupimika kirahisi!!
Je, kiroho mambo yanapoenda kombo, wakirudi ktk maagano yao, KAZI zao ktk jamii zaweza kusimama upya?
^^
 
Asante,
Hivi kiroho inakuwaje hii, watu aina ya Dr Slaa ni wengi katika jamii, na michango yao ktk maisha ya wengine inaonekana na kupimika kirahisi!!
Je, kiroho mambo yanapoenda kombo, wakirudi ktk maagano yao, KAZI zao ktk jamii zaweza kusimama upya?
^^
Kabisa tena wanakuwa wapya na walioiva hasa, yale yanayowatokea ni wito wa kiroho unaowataka warudi walikotengeneza nadhiri zao
 
Miung ikulaani wewe, ilaani na simulizi za UWONGO za mama yako! Mabaya kuweza kumtokea mtu bila kuwa na kisa chochote, kwa hiyo unataka kusema Waafrika wote wa Kongo wanaoteseka wana laana?

Mapadri wengi ni mabasha (nimeota), hicho ni kigezo pekee cha kukufanya uwe na laana. Kuhusu ushetani nadhani hakuna shaka kuwa ni kanisa gani liko karibu na shetani kuliko yote...
Wewe ni mtu usie na busara unaendeshwa na mihemko na hujui historian ya ukristo
 
Inafahamika kwamba Dr. Wilbroad Slaa kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni "Catholic Priest" na Jesuiti. Katikaharakati zake hasa dhidi ya chama chake cha Chadema na umoja wa vyamavinavyounda uka umenifanya nitakafakari kwa kina juu ya sifa, tabia na lengokuu la Majesuiti katika kuishepu historia ya dunia.

Ifahamike kwamba kwa bandiko hili, sinakusudio lolote la kukashifu dini ya mtu, lah! Natamani tu tupate nafasi yakulingalia suala hili kwa picha pana zaidi ya tarehe 25 Oktoba.

Ninafahamu kwamba Dr. Slaa anasema kwambaaliachana na Padre, lakini sijawahi kusikia akisema kwamba aliachana naUjesuiti. Kwasababu Jesuiti ni cheo au chama chenye mrengo mkubwa zaidi ya ulewa moja kwa moja wa kidini. Hebu tuangalie kwa kifupi sehemu ya kiapo chaJesuiti na mwisho nitafanya hitimisho kwamba Dr. Slaa yupo kwenye "mission"zaidi ya ile ya kisiasa. Kwahiyo, kila hatua anayoifanya si ya kuipuuza. Piakuna uwezekano mkubwa kwamba anayemfinance Dr. Slaa wala sio CCM kwani kunauwezekano akawa ana-access ya pesa nyingi zaidi "kutokana na cheo chake kamaJesuit". Nina haki ya kufikiria hivyo mpaka pale atakapo jitokeze kutujulishakwamba pesa alizotumia kufinance Press-conference yake aliipata wapi auakithibitish vinginevyo.

Hebu tuangalie sehemu ya kiapo chaMajesuiti kwa kifupi.

Kiongozianamwambia Jesuiti mpya maneno haya:

You have been taught to insidiouslyplant the seeds of jealousy and hatred between communities, provinces, statesthat were at peace, and incite them to deeds of blood, involving them in warwith each other, and to create revolutions and civil wars in countries thatwere independent and prosperous, cultivating the arts and the sciences andenjoying the blessings of peace. To take sides with the combatants and to actsecretly with your brother Jesuit, who might be engaged on the other side, butopenly opposed to that with which you might be connected, only that the Churchmight be the gainer in the end, in the conditions fixed in the treaties forpeace and that the end justifies the means.

You have been taught your duty as aspy, to gather all statistics, facts and information in your power from everysource; to ingratiate yourself into the confidence of the family circle ofProtestants and heretics of every class and character, as well as that of themerchant, the banker, the lawyer, among the schools and universities, inparliaments and legislatures, and the judiciaries and councils of state,and to be all things to all men, for the Pope's sake, whose servants we areunto death…

Kwa kuangalia sehemu ya kiapo, ambacho kamaJesuiti, ninaamini alikula, naamini kwamba Dr. Slaam si wa kupuuza.

Sehemu ya maneno ambayoJesuiti anayasema kama sehemu ya kiapo chake:

I do further promise and declare,that I will have no opinion or will of my own, or any mental reservationwhatever, even as a corpse or cadaver (perinde ac cadaver), but will unhesitatingly obey each and everycommand that I may receive from my superiors in the Militia of the Pope and ofJesus Christ.

Mwaka 2008 Papa Benedict aliandika baruakwa Majesuiti akiwakumbusha kiapo chao cha kumtumikia Papa kwa kwa utii kamamaiti. Barua hiyo yote inapatikana katika website ya Vatcan, unaweza ukaisomayote hapa Letter to Father Peter-Hans Kolvenbach on the occasion of the 35th General Congregation of the Society of Jesus (January 10, 2008) | BENEDICT XVI

To Reverend Father Peter-Hans Kolvenbach, S.J.,
Superior General of the Society of Jesus


"To serve as a soldier of God beneath the banner of theCross and to serve the Lord alone and the Church, his spouse, under the RomanPontiff, the Vicar of Christ on earth" (Apostolic Letter ExposcitDebitum, 21 July 1550). This is a "particular" fidelity,sanctioned for many of you by a vow of immediate obedience to the Successor ofPeter "perinde ac cadaver". Today, the Church is still particularlyin need of this fidelity of yours which constitutes the badge of your Order,.."

Kiapokinaendelea kwa Jesuiti kusema maneno haya:

"I furthermore promise and declarethat I will, when opportunity present, make and wage relentless war, secretlyor openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directed todo, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; andthat I will spare neither age, sex or condition; and that I will hang, waste,boil, flay, strangle and bury alive these infamous heretics, rip up thestomachs and wombs of their women and crush their infants' heads against thewalls, in order to annihilate forever their execrable race. That when the samecannot be done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulatingcord, the steel of the poniard or the leaden bullet, regardless of the honor,rank, dignity, or authority of the person or persons, whatever may be theircondition in life, either public or private, as I at any time may be directedso to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the HolyFaith, of the Society of Jesus."

Pia kama sehemu ya kiapo, Jesuiti anakubalikuuwawa ikiwa atavunja kiapo chake. Na Jesuiti anasema maneno haya:

"In confirmation of which, I hereby dedicate my life, my soul andall my corporal powers, and with this dagger which I now receive, I willsubscribe my name written in my own blood, in testimony thereof; and should Iprove false or weaken in my determination, may my brethren and fellow soldiersof the Militia of the Pope cut off my hands and my feet, and my throat from earto ear, my belly opened and sulphur burned therein, with all the punishmentthat can be inflicted upon me on earth and my soul be tortured by demons in aneternal hell forever!"

KwakuwaDr. Slaa bado yupo hai, nashawishika kuamini kwamba bado anatii kiapo chake naanakisimamia bila kujalisha kwamba ni Padre au sio Padre, ni CDM au sio CDM, auni CCM au sio CCM. Anafanya kazi katika rangi zozote kwa manufaa ya Kanisa.

Ikiwautataka kusoma kiapo chote cha Majesuiti, unaweza ukaangalia hapa Jesuit Extreme Oath of Induction

Nasisitiza kwamba Dr. Slaa si wa kumpuuza!!
Hajawah kua Jesuit...I mean SJ priest acha uongona kupotosha jamii kwa habari za uongo
 
Kama hujui namna wakatoliki wanavyopewa daraja la upadre na namna wanavyoruhusiwa kuondolewa viapo vya daraja hilo heri ukae kimya. Dr Slaa alifuata taratibu zote za kuondolewa viapo hivyo na sasa anaishi kama mlei wa kawaida mwenye haki zote za kisheria. Kwa hiyo hakuna laana yoyote inayomtafuna. Ana misimamo yake ya maisha na ametuonyesha alipokataa kula matapishi yake wakati Mbowe na wenzake walipolamba ya kwao kuhusu kupiga vita ufisadi.

Chadema ya Dr Slaa siyo hii ya leo ambayo hata neno ufisadi hawathubutu kulitamka hadharani na hata kwenye website ya chama wameondoa ile orodha ya mafisadi papa ambao wamefadhili hata kampeni yao ya urais. Shame on them.
Acha uongo mkuu
 
Duuh umepiga palepale. Yule demu wake - rangi zake, mara mbongo mara mzungu!!!!
 
Bila shaka wewe utakuwa mfuasi wa Lowassa, na siyo CHADEMA. Wafuasi wakweli wa CHADEMA hawawezi kumzihaki Dr. Slaa.
 
Heri ukae kimya kuliko kuongea usilolijua
Yawezekana wewe ndiyo umeanzisha usilolijua. Unapoongelea upinzani nchi hii unamuongelea Dr. Slaa. Tangu dokta ameachana na siasa wapinzani wamekosa hoja zenye nguvu, mvuto na msisimko. Huwezi kulinganisha wabunge waleo wa CHADEMA na Ubunge wa dokta enzi zake. Itawachukua muda mrefu sana CHADEMA kupata mbunge mmoja tu kama Dr.Slaa aliyeitikisa CCM akiwa peke yake. ukipinga hii yawezakana kabisa kati ya mwaka 2000 hadi 2010 wewe ulikuwa teenager bado uko ordinary level tena sekondari za poli siyo mjini.
 
Yawezekana wewe ndiyo umeanzisha usilolijua. Unapoongelea upinzani nchi hii unamuongelea Dr. Slaa. Tangu dokta ameachana na siasa wapinzani wamekosa hoja zenye nguvu, mvuto na msisimko. Huwezi kulinganisha wabunge waleo wa CHADEMA na Ubunge wa dokta enzi zake. Itawachukua muda mrefu sana CHADEMA kupata mbunge mmoja tu kama Dr.Slaa aliyeitikisa CCM akiwa peke yake. ukipinga hii yawezakana kabisa kati ya mwaka 2000 hadi 2010 wewe ulikuwa teenager bado uko ordinary level tena sekondari za poli siyo mjini.
Mmh ukiongelea upinzani unamuongelea Dr Slaa? Pls no upinzani umeanza mwaka 1992 Slaa kujiunga juzi juzi tu hapa ndio maana nikasema kama hujui unachosema kaa kimya
 
Mmh ukiongelea upinzani unamuongelea Dr Slaa? Pls no upinzani umeanza mwaka 1992 Slaa kujiunga juzi juzi tu hapa ndio maana nikasema kama hujui unachosema kaa kimya
Wewe yawezekana ni under 30. Dr. Slaa ni ndiyo kati ya wabunge wa kwanza kabisa CHADEMA na upinzani Dr.Slaa alikuwa mbunge mara ya kwanza 1995, na amekuwa mbunge kwa miaka 15 yaani vipindi 3. Ndiyo maana nasema wewe ni mfuasi wa Lowassa na wala CHADEMA hauijui na upinzani haujui munakurupuka tu muna post vitu vya ajabu - ajabu kwenye mitandao ya kijamii kama haujui CV ya dokta muuliza baba yako au ndugu zako wakubwa.

Dr.Slaa ndiyo mbunge wa kwanza kuwatuhumu na kuwaita vigogo wa serikali kuwa ni mafisadi akiwa mbungeni mwanzoni mwa miaka ya 2000. Dr.Slaa ndiyo mbunge wa kwanza kupinga posho na mishahara mikubwa ya wabunge na viongozi wa serikali mwanzoni mwa maika ya 2000. Ilikuwa kama 2002 ivi au 2003. Wewe vipi?.

Kama haumjui dokta bora ukae kimya unajidhalilisha na kujitafutia laana maana hiyo CHADEMA ndiyo yeye kaijenga mpaka amepata ulemavu wa mkono, wewe vipi? Umaarufu wa CHADEMA umeletwa na dokta. Kama ulishiriki kwenye harakati za CHADEMA kati ya 2007 na 2010 na ukashiriki kwenye uchaguzi wa 2010. Huwezi kulipinga hili. Mimi nimeshiriki uchaguzi wa 2005 wakati huo CHADEMA walimuweka Freeman Mbowe kuwa mgombea wao wa Urais akiwa na sera ya majimbo. Sina hakika kama Mbowe ali add mbunge yeyote mpya baada ya uchaguzi CHADEMA ilionekana kama ilivyo ACT- Wazalendo leo hii, wakiwa na mbunge mwenye mvuto mmoja tu ambaye ni Dr.Slaa. Kama hamuna vya ku-post acheni kujidhalilisha. Vijana acheni utoto wenu, munatuchefua........
 
Wewe yawezekana ni under 30. Dr. Slaa ni ndiyo kati ya wabunge wa kwanza kabisa CHADEMA na upinzani Dr.Slaa alikuwa mbunge mara ya kwanza 1995, na amekuwa mbunge kwa miaka 15 yaani vipindi 3. Ndiyo maana nasema wewe ni mfuasi wa Lowassa na wala CHADEMA hauijui na upinzani haujui munakurupuka tu muna post vitu vya ajabu - ajabu kwenye mitandao ya kijamii kama haujui CV ya dokta muuliza baba yako au ndugu zako wakubwa.

Dr.Slaa ndiyo mbunge wa kwanza kuwatuhumu na kuwaita vigogo wa serikali kuwa ni mafisadi akiwa mbungeni mwanzoni mwa miaka ya 2000. Dr.Slaa ndiyo mbunge wa kwanza kupinga posho na mishahara mikubwa ya wabunge na viongozi wa serikali mwanzoni mwa maika ya 2000. Ilikuwa kama 2002 ivi au 2003. Wewe vipi?.

Kama haumjui dokta bora ukae kimya unajidhalilisha na kujitafutia laana maana hiyo CHADEMA ndiyo yeye kaijenga mpaka amepata ulemavu wa mkono, wewe vipi? Umaarufu wa CHADEMA umeletwa na dokta. Kama ulishiriki kwenye harakati za CHADEMA kati ya 2007 na 2010 na ukashiriki kwenye uchaguzi wa 2010. Huwezi kulipinga hili. Mimi nimeshiriki uchaguzi wa 2005 wakati huo CHADEMA walimuweka Freeman Mbowe kuwa mgombea wao wa Urais akiwa na sera ya majimbo. Sina hakika kama Mbowe ali add mbunge yeyote mpya baada ya uchaguzi CHADEMA ilionekana kama ilivyo ACT- Wazalendo leo hii, wakiwa na mbunge mwenye mvuto mmoja tu ambaye ni Dr.Slaa. Kama hamuna vya ku-post acheni kujidhalilisha. Vijana acheni utoto wenu, munatuchefua........
Wacha wee....!
Kwanza nakuomba sana usimhusishe Baba wala ndugu yangu hapa hawahusiki kabisa dili na mimi kama mimi
Pili kwako wewe upinzani ni Dr kuwa mbunge baasi...! Kwa taarifa yako siasa ni zaidi ya ubunge
Umeandika kwa kuhemka mno hebu pumzika kidogo
 
Back
Top Bottom