kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,940
- 7,847
jspo
japo laigwenan lowassa kanunua cdm kwa bei mbaya kuna kila dalili makabidhiano hayatakuepo. mbowe atamrusha kama ilivyo tabia ya baadhi ya akina mangi. edo atakapodai haki yake ndio itakua mwanzo wa yale yaliyowakuta kina zitto slaa et almshana jr
I cant believe CHADEMA mnaimba nyimbo zile zile tulizozizowea kuzisikia kutoka kwa wanaCCM dhidi ya Dr Slaa,kisa?kapishana na Mbowe.Ila sishangai,yalianza kwa Dr Kaborou,akaja Wangwe,Zitto akafuatia na sasa ni zamu ya Dr Slaa,nani atafuatia?Oh yeah ni yule atakayepishan na --------- Mbowe.