Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

Wacha wee....!
Kwanza nakuomba sana usimhusishe Baba wala ndugu yangu hapa hawahusiki kabisa dili na mimi kama mimi
Pili kwako wewe upinzani ni Dr kuwa mbunge baasi...! Kwa taarifa yako siasa ni zaidi ya ubunge
Umeandika kwa kuhemka mno hebu pumzika kidogo
Wewe ndiyo umehemka yaani mapenzi yako kwa Lowassa yasifanye umzihaki mzee wetu Dr.Slaa tunaemuheshimu sana maana alitufumbua macho na amepanuwa mtazamo na fikira za wengi juu ya viongozi wetu , siasa yetu na nchi yetu kwa ujumla. Acha kabisa kukurupuka na ku posti thread ambazo hazina kichwa wala miguu. Kwa taarifa yako wazo la katiba mpya lilifufuliwa au kuzaliwa upya tena na Dr.Slaa 2010 na ni mwanasiasa pekee aliyekuwa analijengea hoja mpaka linakuwa na nguvu na msisimko mukubwa kwenye jamii yetu. Tangu dokta ameondoka upinzani, katiba mpya siyo hoja tena, imepooza na hakuna msisimuko tena. Leo hii wanaoongelea katiba mpya ni 0.00000000001% ya watanzania wote. Acha kukurupuka...................
 
Wewe ndiyo umehemka yaani mapenzi yako kwa Lowassa yasifanye umzihaki mzee wetu Dr.Slaa tunaemuheshimu sana maana alitufumbua macho na amepanuwa mtazamo na fikira za wengi juu ya viongozi wetu , siasa yetu na nchi yetu kwa ujumla. Acha kabisa kukurupuka na ku posti thread ambazo hazina kichwa wala miguu. Kwa taarifa yako wazo la katiba mpya lilifufuliwa au kuzaliwa upya tena na Dr.Slaa 2010 na ni mwanasiasa pekee aliyekuwa analijengea hoja mpaka linakuwa na nguvu na msisimko mukubwa kwenye jamii yetu. Tangu dokta ameondoka upinzani, katiba mpya siyo hoja tena, imepooza na hakuna msisimuko tena. Leo hii wanaoongelea katiba mpya ni 0.00000000001% ya watanzania wote. Acha kukurupuka...................
Haya yanaitwa mahaba niuwe haya lala sasa upumzike umeandika sana leo....
 
Wewe ndiyo umehemka yaani mapenzi yako kwa Lowassa yasifanye umzihaki mzee wetu Dr.Slaa tunaemuheshimu sana maana alitufumbua macho na amepanuwa mtazamo na fikira za wengi juu ya viongozi wetu , siasa yetu na nchi yetu kwa ujumla. Acha kabisa kukurupuka na ku posti thread ambazo hazina kichwa wala miguu. Kwa taarifa yako wazo la katiba mpya lilifufuliwa au kuzaliwa upya tena na Dr.Slaa 2010 na ni mwanasiasa pekee aliyekuwa analijengea hoja mpaka linakuwa na nguvu na msisimko mukubwa kwenye jamii yetu. Tangu dokta ameondoka upinzani, katiba mpya siyo hoja tena, imepooza na hakuna msisimuko tena. Leo hii wanaoongelea katiba mpya ni 0.00000000001% ya watanzania wote. Acha kukurupuka...................
kwani alichoongea si kina ukweli mm nilidhani tuongee kwa hoja na si mipasho
 
Kwa akili yako huo ni ukweli, kama huo ni ukweli wewe na huyo mshana bila shaka mtakuwa bado watoto.
Bila shaka tutakuwa watoto. ...maneno ya ya Mungu yanasema wote tu watoto wake na anahimiza akisema waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie....
 
Kwa akili yako huo ni ukweli, kama huo ni ukweli wewe na huyo mshana bila shaka mtakuwa bado watoto.
Hivi una habari kuwa kaomba ukimbizi Canada? Linganisha nilichoandika na yanayomtokea sasa
 
Bila shaka tutakuwa watoto. ...maneno ya ya Mungu yanasema wote tu watoto wake na anahimiza akisema waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie....
Nyie hamna tofauti na wale walio sema Lowassa ni fisadi na wala hasafishiki na kwa miaka minane wakazunguka nchi nzima wakimchafua Lowassa, harafu watu walewale wakarudi tena kwa wananchi hao hao, Eti bila Lowassa hawawezi kushinda uchaguzi . Swali la kichokozi "Je uchaguzi wameushinda ?" Je kwa akili yenu hii siyo laana?
 
Nyie hamna tofauti na wale walio sema Lowassa ni fisadi na wala hasafishiki na kwa miaka minane wakazunguka nchi nzima wakimchafua Lowassa, harafu watu walewale wakarudi tena kwa wananchi hao hao, Eti bila Lowassa hawawezi kushinda uchaguzi . Swali la kichokozi "Je uchaguzi wameushinda ?" Je kwa akili yenu hii siyo laana?
Ya Lowassa itakuwa ni mada nyingine hebu tubaki na hii kwanza
 
Dr. Slaa ni mwanasiasa ambaye wale wapinzani halisi wataendelea kuthamini kila alichokifanya akiongozwa na uzalendo. Alikuwa tayari kuumizwa na kukutana na majanga ya kila aina kwa ajili ya CHADEMA, alikuwa na malengo ya kutengeneza succession plan ya uongozi. Leo hii hawa UKAWA walioshindwa kupambana na nguvu ya fedha, wanamkejeli kama vile hakuna cha maana alichokifanya. Lakini bahati nzuri ni kwamba Mungu husikiliza maombi ya waja wake, hatimaye ile mitandao ya rais wa awamu ya nne na yule mzee wa monduli, imepotezwa kisiasa.

Sasa tumerudi kwenye siasa za ukweli, zisizoongozwa na wanamtandao, marafiki wawili yaani mkwere na mmeru walikuwa wanataka kulivunjavunja Taifa ambalo wazalendo aina ya Dr. Slaa walitumia kila aina ya hekima ili liweze kufika pazuri. Mungu ametuepisha majanga makubwa, kwani mtandao unaomuingiza mtu madarakani, ni lazima utumikiwe, madhara ya mitandao ni ubaguzi ndani ya jamii, watu kutazamana kikabila na kikanda. Yule asiyekuwa wa upande wa mitandao inabidi awanyenyekee wanamtandao ili aweze kupata maisha mazuri.

Kwangu mimi Dr. Slaa alisaidia sana katika kuwakumbusha watanzania kwamba anayefaa ni muadilifu mwenye hulka ya unyenyekevu kwa umma na sio mwanasiasa aliyetumia nguvu nyingi katika kujijengea ngome ya kumpeleka Ikulu.
 
Dr. Slaa ni mwanasiasa ambaye wale wapinzani halisi wataendelea kuthamini kila alichokifanya akiongozwa na uzalendo. Alikuwa tayari kuumizwa na kukutana na majanga ya kila aina kwa ajili ya CHADEMA, alikuwa na malengo ya kutengeneza succession plan ya uongozi. Leo hii hawa UKAWA walioshindwa kupambana na nguvu ya fedha, wanamkejeli kama vile hakuna cha maana alichokifanya. Lakini bahati nzuri ni kwamba Mungu husikiliza maombi ya waja wake, hatimaye ile mitandao ya rais wa awamu ya nne na yule mzee wa monduli, imepotezwa kisiasa.

Sasa tumerudi kwenye siasa za ukweli, zisizoongozwa na wanamtandao, marafiki wawili yaani mkwere na mmeru walikuwa wanataka kulivunjavunja Taifa ambalo wazalendo aina ya Dr. Slaa walitumia kila aina ya hekima ili liweze kufika pazuri. Mungu ametuepisha majanga makubwa, kwani mtandao unaomuingiza mtu madarakani, ni lazima utumikiwe, madhara ya mitandao ni ubaguzi ndani ya jamii, watu kutazamana kikabila na kikanda. Yule asiyekuwa wa upande wa mitandao inabidi awanyenyekee wanamtandao ili aweze kupata maisha mazuri.

Kwangu mimi Dr. Slaa alisaidia sana katika kuwakumbusha watanzania kwamba anayefaa ni muadilifu mwenye hulka ya unyenyekevu kwa umma na sio mwanasiasa aliyetumia nguvu nyingi katika kujijengea ngome ya kumpeleka Ikulu.
Sipingani nawe lakini naomba uchukue muda usome kwa kutulia kile nilichoandika
 
Sipingani nawe lakini naomba uchukue muda usome kwa kutulia kile nilichoandika
Dr. Slaa kama mwanadamu ana upande mwema na upande mbaya, mwisho wa maisha yake anasubiriwa na Hukumu ya Mwenyezi Mungu. Sio jambo zuri kuandika kitu ambacho ujumbe wake unafanana na hukumu kwa binadamu mwingine. Mimi niliisoma mada uliyoandika ila nimeamua kuuzungumzia upande mwingine wa Dr. Slaa, kwani kageuzwa mbuzi wa kafara kwa sababu tu aliamua kuusikiliza moyo wake.
 
Kwanza tufahamu kuwa yaliyotokea na yanayotokea hayana budi kutokea na hakuna mwenye uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Pili yote anayoyafanya Kwasasa Slaa hana hiari nayo si kwa maana ya ccm au wale wanaomfadhili kwa sasa bali ni laana ya kiapo na nadhiri zake...hawa wanaomfadhili ni kiambishi tu cha nguvu iliyo nje ya uwezo wa kibinadamu .

Slaa anateswa na haiba na kiapo, nadhiri na ahadi ya kutumikia kiapo.. Nimekutana na viapo Nimeishi maisha ya viapo lakini SIKUAPA. viapo ni vibaya na viapo havifi na kuviuwa kunahitaji mlolongo mrefu na wenye mambo mengi.

Slaa Aliitwa kwa wito kuonyesha na kutumia vipawa vyake kwa njia ya upadri akakubali na kupokea mpaka daraja la upadirisho mbele ya mimbari takatifu...aliingia mkataba na Mungu na kukamilisha wito.

Bahati mbaya sana akakengeuka nakuanguka moja kwa moja na tangu hapo viapo nadhiri na laana vikaanza kumuandama.

Siasa sio dini siasa ni propaganda siasa ni unafiki siasa haina kweli na Siasa haiongozwi na roho mtakatifu.

Kwa laana ile ya kiapo na nadhiri akajikuta anaangukia kwenye Ulimwengu wa mapepo na roho za kutangatanga.. Na tangu hapo ameendelea kutangatanga kuanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye maisha.

Hakuna ambacho ameweza kufanya kikakamilika, amekosa ndoa takatifu amekosa maisha ya kudumu Kwenye siasa amekosa Kuacha Heshima na historia ya kutukuka kwenye lolote alilolifanya.

Kila alipoanza alianza vizuri kwa mafanikio na kupendwa sana lakini mwishoni kila kitu kikaenda kombo na kugeuka ubatili.... Kiapo kinamtesa.. Na haya ndio atakuwa maisha yake mpaka kaburini .

Viapo ni vibaya hakikisha unatengua kama hutaki kuendelea nacho viapo vina roho na roho haifi, mengi mabaya yatamtokea Dr na hii ni kanuni ya kidunia katika Ulimwengu wa roho.
Ni vigumu sana kuthibitisha haya mambo ya viapo na madhara tarajiwa. Mara nyingi ni ulimwengu wa kufikirika hata kufikia kuwa ulimwengu wa ndoto.
Dr. is a perfect creation from eternal creator, (the design of holy creation from holy design) . In that you find impossible to understand the design of a designer designed Dr. for
 
Ni vigumu sana kuthibitisha haya mambo ya viapo na madhara tarajiwa. Mara nyingi ni ulimwengu wa kufikirika hata kufikia kuwa ulimwengu wa ndoto.
Dr. is a perfect creation from eternal creator, (the design of holy creation from holy design) . In that you find impossible to understand the design of a designer designed Dr. for
These are the arguments that I prefer
 
Mshana unisamehe. Umeleta mada ya kiimani na siyo kisiasa nitajujibu kiimani. Je unaamini kuwa ukatoliki ni zaidi ya ukristo?kama jibu lako ni ndiyo hoja yangu imekufa kama jibu lako ni hapana nina naswali ya ziada kwako. Je ni maagizo ya biblia kwamba mapadri wasioe! Nipe mistari nijifunze. Je ukristo ulianzia Roma au Jerusalem? Ninawasihi tusichanganye siasa na Imani zetu. Tumeagizwa tusuhukumu tusijekuhukumiwa. Kisiasa ninaamini kuwa Dr.Slaa amehujumiwa,waliomjumu nao wamehujumiwa. Fedha zao hazijawasawidia Wanatafuta majibu hawayapati wanahamishia kwa wanayedhani ni kikwazo kwao. Kabla ya uchaguzi kuna wacha MUNGU walifunga na kuomba ili MUNGU atupe mtawala atakayetuongoza sawasawa na mapenzi ya MUNGU. Mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa tulichopewa ndicho tulichopewa. Kama mnataka tujadili hoja binafsi za kila mmoja wetu na utakatifu wetu tuanze na tuliopo katika jukwaa hili. Tujieleleze sisi ni nani,tuko wapi,tunafanya nini,tumefikaje mahali tulipo,Familia zetu zipoje( zetu sio za wazazi wetu). Maana kipimo cha kwanza cha kiongozi ni uwezo wa kuiongoza familia yake. Mnasema uchaguzi umekwisha tumwache Lowasa apumzike,mbona Slaa kaachia ukatibu Mkuu CDM hamumwachi apumzike?
 
Kwanza tufahamu kuwa yaliyotokea na yanayotokea hayana budi kutokea na hakuna mwenye uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Pili yote anayoyafanya Kwasasa Slaa hana hiari nayo si kwa maana ya ccm au wale wanaomfadhili kwa sasa bali ni laana ya kiapo na nadhiri zake...hawa wanaomfadhili ni kiambishi tu cha nguvu iliyo nje ya uwezo wa kibinadamu .

Slaa anateswa na haiba na kiapo, nadhiri na ahadi ya kutumikia kiapo.. Nimekutana na viapo Nimeishi maisha ya viapo lakini SIKUAPA. viapo ni vibaya na viapo havifi na kuviuwa kunahitaji mlolongo mrefu na wenye mambo mengi.

Slaa Aliitwa kwa wito kuonyesha na kutumia vipawa vyake kwa njia ya upadri akakubali na kupokea mpaka daraja la upadirisho mbele ya mimbari takatifu...aliingia mkataba na Mungu na kukamilisha wito.

Bahati mbaya sana akakengeuka nakuanguka moja kwa moja na tangu hapo viapo nadhiri na laana vikaanza kumuandama.

Siasa sio dini siasa ni propaganda siasa ni unafiki siasa haina kweli na Siasa haiongozwi na roho mtakatifu.

Kwa laana ile ya kiapo na nadhiri akajikuta anaangukia kwenye Ulimwengu wa mapepo na roho za kutangatanga.. Na tangu hapo ameendelea kutangatanga kuanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye maisha.

Hakuna ambacho ameweza kufanya kikakamilika, amekosa ndoa takatifu amekosa maisha ya kudumu Kwenye siasa amekosa Kuacha Heshima na historia ya kutukuka kwenye lolote alilolifanya.

Kila alipoanza alianza vizuri kwa mafanikio na kupendwa sana lakini mwishoni kila kitu kikaenda kombo na kugeuka ubatili.... Kiapo kinamtesa.. Na haya ndio atakuwa maisha yake mpaka kaburini .

Viapo ni vibaya hakikisha unatengua kama hutaki kuendelea nacho viapo vina roho na roho haifi, mengi mabaya yatamtokea Dr na hii ni kanuni ya kidunia katika Ulimwengu wa roho.

Naanza hivi:
  • Niligundua Mtu au mwanachama yoyote akitofautiana na cdm nimeona maranyingi anapewa majina haya fasta- Mamluki-kanunuliwa na wanachama wote wanaaminishwa hivyo .
  • Niligundua kuwa mtu au mwanachama yeyote hata akiwa fisadi ktk chama kingine lkn mara tu anapoamia cdm anatakasika kabisa tena anan'galiswa kama theluji.
  • Niligundua hii ndo ya Dr. 2010 ilitakaswa sana na wana cdm na niliiona ikitakasika kabisa, lkn dr. slaa alipotofautiana na chama chake ndoa ileile tuliyo itakasa ikageuka kuwa laana.
  • Nimegundua mwandishi hapo juu hayupo deep au haielewi siasa, anasema siasa ni unafikhi na haina ukweli. Si kwili, siasa ni sayansi wiz fulu expelementi. Ndiyo maana Dr alisema choo kimejaa kimepakuliwa chumbani hii inaonyesha waziwazi leo cdm na ccm ni ngoma droo hakuna wa kumnyoshea mtu kidole kuwa wewe nifisadi vyama vyote vina mafisadi tofauti na nyuma.
  • Nimegundua watu hawasomi katiba, Dr. Slaa alisoma ibala ya 18 (a) ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tz inasema ..... na hapo siyo lazima uwe na chama.
  • Nimegundua watu wanatumia maneno kumbe hawayajui maana zake (imani). Maana yake. IMANI ni hakika ya vitu visivyo onekana lkn ni bayana ya vitu tuvitarajiavyo. Sasa sema wp linaweza tumika na wapi haliwezi kutumika.
Kiongozi, Dr.Slaa ni next level, hapa sisemi mimi ni cdm walisema ni rais wa mioyo ya watu, ni dr aliye lamba vitabu vingi, hakuna tanzania mwenye uwezo kama wake na mengine yote namimi nakubaliana nayo ndiyo maana hadi leo cdm haijapata mtu wa kuvaa viatu vyake.
 
Mshana unisamehe. Umeleta mada ya kiimani na siyo kisiasa nitajujibu kiimani. Je unaamini kuwa ukatoliki ni zaidi ya ukristo?kama jibu lako ni ndiyo hoja yangu imekufa kama jibu lako ni hapana nina naswali ya ziada kwako. Je ni maagizo ya biblia kwamba mapadri wasioe! Nipe mistari nijifunze. Je ukristo ulianzia Roma au Jerusalem? Ninawasihi tusichanganye siasa na Imani zetu. Tumeagizwa tusuhukumu tusijekuhukumiwa. Kisiasa ninaamini kuwa Dr.Slaa amehujumiwa,waliomjumu nao wamehujumiwa. Fedha zao hazijawasawidia Wanatafuta majibu hawayapati wanahamishia kwa wanayedhani ni kikwazo kwao. Kabla ya uchaguzi kuna wacha MUNGU walifunga na kuomba ili MUNGU atupe mtawala atakayetuongoza sawasawa na mapenzi ya MUNGU. Mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa tulichopewa ndicho tulichopewa. Kama mnataka tujadili hoja binafsi za kila mmoja wetu na utakatifu wetu tuanze na tuliopo katika jukwaa hili. Tujieleleze sisi ni nani,tuko wapi,tunafanya nini,tumefikaje mahali tulipo,Familia zetu zipoje( zetu sio za wazazi wetu). Maana kipimo cha kwanza cha kiongozi ni uwezo wa kuiongoza familia yake. Mnasema uchaguzi umekwisha tumwache Lowasa apumzike,mbona Slaa kaachia ukatibu Mkuu CDM hamumwachi apumzike?
Mkuu kwa hiyo unamaanisha John Pombe ni chaguo la Mungu?
 
Naanza hivi:
  • Niligundua Mtu au mwanachama yoyote akitofautiana na cdm nimeona maranyingi anapewa majina haya fasta- Mamluki-kanunuliwa na wanachama wote wanaaminishwa hivyo .
  • Niligundua kuwa mtu au mwanachama yeyote hata akiwa fisadi ktk chama kingine lkn mara tu anapoamia cdm anatakasika kabisa tena anan'galiswa kama theluji.
  • Niligundua hii ndo ya Dr. 2010 ilitakaswa sana na wana cdm na niliiona ikitakasika kabisa, lkn dr. slaa alipotofautiana na chama chake ndoa ileile tuliyo itakasa ikageuka kuwa laana.
  • Nimegundua mwandishi hapo juu hayupo deep au haielewi siasa, anasema siasa ni unafikhi na haina ukweli. Si kwili, siasa ni sayansi wiz fulu expelementi. Ndiyo maana Dr alisema choo kimejaa kimepakuliwa chumbani hii inaonyesha waziwazi leo cdm na ccm ni ngoma droo hakuna wa kumnyoshea mtu kidole kuwa wewe nifisadi vyama vyote vina mafisadi tofauti na nyuma.
  • Nimegundua watu hawasomi katiba, Dr. Slaa alisoma ibala ya 18 (a) ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tz inasema ..... na hapo siyo lazima uwe na chama.
  • Nimegundua watu wanatumia maneno kumbe hawayajui maana zake (imani). Maana yake. IMANI ni hakika ya vitu visivyo onekana lkn ni bayana ya vitu tuvitarajiavyo. Sasa sema wp linaweza tumika na wapi haliwezi kutumika.
Kiongozi, Dr.Slaa ni next level, hapa sisemi mimi ni cdm walisema ni rais wa mioyo ya watu, ni dr aliye lamba vitabu vingi, hakuna tanzania mwenye uwezo kama wake na mengine yote namimi nakubaliana nayo ndiyo maana hadi leo cdm haijapata mtu wa kuvaa viatu vyake.
Umeandika vizuri sana tena kwa hoja ambazo ndio mtazamo wako lakini kuna vitu vingi vinakosekana kwenye reply yako sioni hata mmoja anayezungumzia usaliti wa Dr na maisha yake ya sasa
Nilikuwa mmojawapo nimayemheshimu na kupenda mno Dr nilikuwa mtetezi wake hapa JF lakini alianguka na ameanguka kimoja! Dhambi ya usaliti
Hata uwe mwema vp siku ukishakubali kununuliwa umekwisha.....heshima yako u mahiri wako kupendwa kwako mafanikio yako hupiga mweleka mkubwa tena mbele ya kadamnasi iliyokupenda na kukuombea saana
 
Back
Top Bottom