Kwa huu uchaguzi wa Kenya, familia na wapenzi wa Hayati Magufuli muombeeni toba mpendwa wenu

Bora hata hao wana uhuru wa kuapishana, kwenda mahakamani nakadhalika.

Hapa Danganyika huruhusiwi kwenda mahakamani hata kama Rais kakwapua uchafuzi mzima yeye ndiye mwenye mamlaka hata kama haramu.

Hapa kwetu kujiapisha ni kosa la uhaini. Kenya mtu anajiapisha kama Rais hakuna kosa la uhaini na wametuzidi uchumi.
Nikikumbuka alichotaka kumfanyia Lissu pale ubalozi wa EU.
 
Mkuu

Rais hashiki silaha za kumuua mtu!

Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!

Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!

Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!

Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!

Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!

Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Usimtetee jpm alikuwa rais muovu kuliko marais wote tuliowahi kuwa nao
 
Mkuu

Rais hashiki silaha za kumuua mtu!

Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!

Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!

Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!

Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!

Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!

Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Usimtetee jpm alikuwa rais muovu kuliko marais wote tuliowahi kuwa nao
 
Huwa namuomba Mungu sana nisamehe ya mwaka 2019 uchaguzi wa serikali za Mitaa, Mikoa sijui 3 kupita bila kupingwa?? KWELI?? Halafu Makada na Viongozi wateule daily makanisani/misikitini kumuomba Mungu.
Halafu hadi sasa wanaona kawaida tu yaani hakuna tatizo lolote!
Ya 2020 siyaemei kwa kuwa angalau nafasi ya kupiga kura tulipata, bali naumia kunyimwa nafasi ya kuchagua kiongozi wangu wa mtaa.
Wakubwa wenye maamuzi watuachie tuchague viongozi wetu wa mitaa tunaoishi nao. Hawa mliolazimisha hawana amani na nafasi zao. Wanajisemea mioyoni mwao na kujiona waovu sana, kumbe wamesababishiwa na wenye uchu wa madaraka. Walau wangepigiwa kura na zikachakachuliwa ingekuwa afadhali. Dharau kubwa sana ile!
Naamini kuna wakubwa na wazee wetu wengi wanaumia nafsi zao hata sasa kwa hali ile. Sio vizuri hata kama hatuamini ktk haki na uwepo wa Mungu. Haitaki hata elimu ya Msingi kujua kikichofanyika haikuwa sahihi.
 
Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Ule uchaguzi ulikuwa wa ajabu sana hata wanaccm wenye akili walishangaa sana
 
Mkuu

Rais hashiki silaha za kumuua mtu!

Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!

Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!

Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!

Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!

Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!

Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Usimtetee jpm alikuwa rais muovu kuliko marais wote tuliowahi kuwa nao
 
Hivi leo samia akimpigia debe mbowe ili ashinde uchaguzi unadhani utasikia figisu yoyote. Mbona ni common sense ya kawaida tu.

Jiulize kwanza nini kilimtenganisha Ruto na Uhuru kenyatta. Kisha ndio uje na hoja.
 
Wakenya ni watu maskini sana ukifanya comparison na watanzania.

Demokrasia hiyo unayoiona wewe walijifunza kwetu baada ya kuuana sana kila chaguzi.

halafu watu huwa wanapinga matokeo na sio uchaguzi.

Ngoja kwanza wamalize mchakato wote mpaka kuapishwa kwa Rais wao ndio uwapongeze.
Hata hapo walipofika tu hatuwafikii hata 50% Kwa hiyo kuwapongeza ni Jambo sahihi. Hata kupitisha wagombea tu eti upande mmoja ndo unakosea kujaza fomu?
 
Hata hapo walipofika tu hatuwafikii hata 50% Kwa hiyo kuwapongeza ni Jambo sahihi. Hata kupitisha wagombea tu eti upande mmoja ndo unakosea kujaza fomu?
Pamoja na yote hayo ila wana njaa na tunawalisha.
 
Wakenya ni watu maskini sana ukifanya comparison na watanzania.

Demokrasia hiyo unayoiona wewe walijifunza kwetu baada ya kuuana sana kila chaguzi.

halafu watu huwa wanapinga matokeo na sio uchaguzi.

Ngoja kwanza wamalize mchakato wote mpaka kuapishwa kwa Rais wao ndio uwapongeze.
Kama walijifunza kwetu ilikuwaje basi wao wako nauli elfu moja toka hapa tulipo, ili Hali sisi ndiyo walimu wao?
 
Kama walijifunza kwetu ilikuwaje basi wao wako nauli elfu moja toka hapa tulipo, ili Hali sisi ndiyo walimu wao?
Hiyo ni mifumo tu ila mindset zao bado ni primitive.

Hawana ustaarabu na maamuzi yao yanaongozwa na ukabila.

Kwa sasa matokeo bado.

Vurugu huwa zinatokea wakati wa matokeo na sio wakati wa kupiga kura.

Matokeo rasmi bado kutangazwa.

Kwakua wanajielewa kuwa hawana ustaarabu wowote ndio maana wakamuita kikwete kama Muangalizi ili aende kuwasaidia kikinuka kama alivyowapa mawazo kipindi kile wakaelewana.

Wazo la UPM lilitoka kwetu na Odinga akawa PM.

Hivyo bado wanasafari ndefu sana kufikia ustaarabu tulionao sisi na bado wanatuhitaji mno.

Jifinzeni kuipenda nchi yenu na kuthamini mlichonacho.
 
Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Rip in hell Magufeli
 
Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Ukimalizia sema! Tufanye Magufuli hakuwepo!. Maanake hii ni tabia inayomtambulisha Magufuli. Nimefuatilia kumbe hata jimboni kwake wakati wa ubunge lilikuwa na tabia ya kuwateka wapinzani ili libaki lenyewe. HIli ni shetani
 
Mkuu

Rais hashiki silaha za kumuua mtu!

Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!

Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!

Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!

Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!

Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!

Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Mbona wakati wa BM au JK watu hawakupigwa risasi hadharani na uchunguzi kutokufanywa? Mbona hakukuwa na kupotea wasio waunga mkono? Mbona watu hawakuporwa pesa zao bank?
Usimtetee JPM hata kidogo, yeye ndio mpishi wa tabia za kikatili chini ya kivuli cha katiba kumruhusu.
Nyerere alipata sema hii katiba likiingia jitu ovu ndio tutajua ni mbovu
 
Bora hata hao wana uhuru wa kuapishana, kwenda mahakamani nakadhalika.

Hapa Danganyika huruhusiwi kwenda mahakamani hata kama Rais kakwapua uchafuzi mzima yeye ndiye mwenye mamlaka hata kama haramu.

Hapa kwetu kujiapisha ni kosa la uhaini. Kenya mtu anajiapisha kama Rais hakuna kosa la uhaini na wametuzidi uchumi.
Tukubaliane kutokubaliana. kipengere Cha kwenda mahakamani kiwepo sawa ila kwa kuwalizisha wanao kitaka.

Cha msimgi tume iwajibike ipasavyo bila kuacha mianya ya mashaka.

Wagombea nao; anaye shindwa apokee matokeo kwani asie kubali kushindwa si mushindani.
 
Mkuu

Rais hashiki silaha za kumuua mtu!

Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!

Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!

Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!

Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!

Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!

Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Kwaiyo kenya hawana mfumo?
 
Back
Top Bottom