Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,142
- 3,349
Hata kama ni uchawa kunawakati unatakiwa uwe na akiliWewe na ujanja wako umefanya nini cha maana zaidi sana ya kula na kujamber.
Hata kama ni uchawa kunawakati unatakiwa uwe na akiliWewe na ujanja wako umefanya nini cha maana zaidi sana ya kula na kujamber.
Mtukane mumeo, kwani kufa ni ajabu?Fala wee achaa chuki kwa Marehemu!na wwe iko siku utakufa pia na kuna watu watafurahia kifo chako pia! Poyooyoo!!!
Haya matusi yako ingekuwa mm ningepigwa bunFala wee achaa chuki kwa Marehemu!na wwe iko siku utakufa pia na kuna watu watafurahia kifo chako pia! Poyooyoo!!!
Unamjua De Ulimboka!!?? Au kipindi kile wwe ulikua bado mdogo,!? unamjua Dr Mvungi!!??Kuna former mataga apo juu ety anamtetea anasema eti hakuwa yeye bali ni mfumo ndio ulikuwa mbaya .. nieaulize kipindi cha kikwete Maiti gani iliokotwa kwenye kiroba,watu gani walipotezwa kwa kumkosoa nani mwanasiasa gani alipigwa risasi kwa kumpinga watu wasiojulikana je walikuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Rais hashiki silaha za kumuua mtu!
Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!
Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!
Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!
Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!
Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!
Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
MkuuMkuu umeacha kumzungumia Magufuli unazungumzia Urais kama Taasisi! Magufuli hakua taasisi! Alikua one man show! 90% ya mambo ya hovyo yalifanyika kwa baraka zake! Na ambayo hakubariki basi aliyajua na hakukemea!
Ficha upunguani wako. NonsenseTufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.
Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.
Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.
Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.
Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.
Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.
Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!
Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.
Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Muda mwingine naona tunakosea kuona kila kitu,JPM alikua anafanya,sasa JPM ameshakufa,ngoja tuone hadi 2030,matatizo yaliyokuwepo yatakoma au kupungua?Yule kule alipo anatakiwa afe tena
Nataka nikuoe bintimmekuja kutafuta mabwana kwenye jukwaa la kenya.
Was Magufuli misled by TISS? No, on the contrary he was absolutely corrupted by absolute power. He felt like a demi-god and would dictate who to breath and who to suffocate.Misled by inteligence for national interests!!
Yatumike mawesi misitu itaisha... kuni zote izo.
mimi sio mtoa hukumu, ila Jiwe abatakiwa kula moto mwingi
hayo ni maoni yangu. toa yako acha shobo na kunikenuliahapa umeandika kama mchepuko wa mtoa hukumu ama nyumba ndogo.
Yeye alikuwa ni sehemu ya tatizo haswaMuda mwingine naona tunakosea kuona kila kitu,JPM alikua anafanya,sasa JPM ameshakufa,ngoja tuone hadi 2030,matatizo yaliyokuwepo yatakoma au kupungua?
Uchaguzi wa 2025 utakuaje?
Tuombe uzima.