Kwa hali ya Miundombinu ya Barabara na Maji hapo Mtaani, Utamchagua tena Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wako?

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 ambapo kwa mujibu wa Muongozo, Serikali za Mitaa zimeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.

Hivyo, pamoja na shughuli nyingine, Serikali za Mitaa zina wajibu wa kuimarisha demokrasia katika maeneo yao na kuitumia demokrasia hiyo kuharakisha maendeleo ya wananchi. Kwa mantiki hiyo, msingi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hufanyika kila baada ya miaka mitano kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288. Uchaguzi utakaofanyika mwaka 2019 utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania mwaka 1992.

Katika Uchaguzi huo, wananchi watapata fursa ya kuchagua Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji, Wenyeviti wa Mtaa, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, na Wajumbe wa Kamati ya Mitaa. Hivyo, kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni utekelezaji wa dhana ya ugatuaji wa madaraka ambayo inasisitiza Serikali kupeleka madaraka ya kisiasa kwa wananchi ili waweze kuchagua viongozi watakaowawakilisha katika shughuli za kujiletea maendeleo.

Sasa ukiangalia jinsi hali ilivyo hapo mtaani kwako? unaona Mwenyekiti wa Mtaa wako anastahili tena kurudi kwenye hiyo nafasi?
 

Attachments

  • Kanuni za Mashauri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2020.pdf
    691.9 KB · Views: 2
Kikubwa ni ahadi tu tena ziwe kwenye Ilani, wakituahidi tena tunawachagua. Ahadi kwanza, utekelezaji tutaendelea kuusubiri.
 
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 ambapo kwa mujibu wa Muongozo, Serikali za Mitaa zimeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.

Hivyo, pamoja na shughuli nyingine, Serikali za Mitaa zina wajibu wa kuimarisha demokrasia katika maeneo yao na kuitumia demokrasia hiyo kuharakisha maendeleo ya wananchi. Kwa mantiki hiyo, msingi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hufanyika kila baada ya miaka mitano kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288. Uchaguzi utakaofanyika mwaka 2019 utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania mwaka 1992.

Katika Uchaguzi huo, wananchi watapata fursa ya kuchagua Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji, Wenyeviti wa Mtaa, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, na Wajumbe wa Kamati ya Mitaa. Hivyo, kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni utekelezaji wa dhana ya ugatuaji wa madaraka ambayo inasisitiza Serikali kupeleka madaraka ya kisiasa kwa wananchi ili waweze kuchagua viongozi watakaowawakilisha katika shughuli za kujiletea maendeleo.

Sasa ukiangalia jinsi hali ilivyo hapo mtaani kwako? unaona Mwenyekiti wa Mtaa wako anastahili tena kurudi kwenye hiyo nafasi?
Kwa kuwa na hili dubwasha linaloitwa ccm, nchi hii ni kama imelaaniwa.
 
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 ambapo kwa mujibu wa Muongozo, Serikali za Mitaa zimeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.

Hivyo, pamoja na shughuli nyingine, Serikali za Mitaa zina wajibu wa kuimarisha demokrasia katika maeneo yao na kuitumia demokrasia hiyo kuharakisha maendeleo ya wananchi. Kwa mantiki hiyo, msingi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hufanyika kila baada ya miaka mitano kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288. Uchaguzi utakaofanyika mwaka 2019 utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania mwaka 1992.

Katika Uchaguzi huo, wananchi watapata fursa ya kuchagua Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji, Wenyeviti wa Mtaa, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, na Wajumbe wa Kamati ya Mitaa. Hivyo, kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni utekelezaji wa dhana ya ugatuaji wa madaraka ambayo inasisitiza Serikali kupeleka madaraka ya kisiasa kwa wananchi ili waweze kuchagua viongozi watakaowawakilisha katika shughuli za kujiletea maendeleo.

Sasa ukiangalia jinsi hali ilivyo hapo mtaani kwako? unaona Mwenyekiti wa Mtaa wako anastahili tena kurudi kwenye hiyo nafasi?
Hujielewi hata kidogo, mwenyekiti wa mtaa ana uwezo gani wa kuleta maji, umeme na barabara na huduma za kijamii ikiwa serikali yako yenyewe haiwezi kwanini tuwakandamize wenyeviti ikiwa kula yao kesho hawaijui, hawajui kesho watakula nini au watoto wao watasoma nini... Lia na serikali yako acha kubebesha masikini mizigo ya lawama.
 
Hujielewi hata kidogo, mwenyekiti wa mtaa ana uwezo gani wa kuleta maji, umeme na barabara na huduma za kijamii ikiwa serikali yako yenyewe haiwezi kwanini tuwakandamize wenyeviti ikiwa kula yao kesho hawaijui, hawajui kesho watakula nini au watoto wao watasoma nini... Lia na serikali yako acha kubebesha masikini mizigo ya lawama.
Serikali inaanzia katika Serikali za mitaa na vijiji
 
Serikali inaanzia katika Serikali za mitaa na vijiji
Mwenyekiti akatoe pesa wapi akujengee barabara na mambo mengine, acha ujinga wewe lofa, mwenyekiti zamani aliliwa na kazi kama vile usuluhisho, migogoro, ardhi kwenyd kijiji/mtaa wake...na kuwasilisha kero kwa diwani na diwani atapeleka kwenye vikao vya halmashauri, ambapo mbunge atachukua mawazo na kupeleka bungeni yaliyo ndani ya uwezo wa halmashauri watayatatua.
 
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 ambapo kwa mujibu wa Muongozo, Serikali za Mitaa zimeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.

Hivyo, pamoja na shughuli nyingine, Serikali za Mitaa zina wajibu wa kuimarisha demokrasia katika maeneo yao na kuitumia demokrasia hiyo kuharakisha maendeleo ya wananchi. Kwa mantiki hiyo, msingi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hufanyika kila baada ya miaka mitano kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288. Uchaguzi utakaofanyika mwaka 2019 utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania mwaka 1992.

Katika Uchaguzi huo, wananchi watapata fursa ya kuchagua Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji, Wenyeviti wa Mtaa, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, na Wajumbe wa Kamati ya Mitaa. Hivyo, kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni utekelezaji wa dhana ya ugatuaji wa madaraka ambayo inasisitiza Serikali kupeleka madaraka ya kisiasa kwa wananchi ili waweze kuchagua viongozi watakaowawakilisha katika shughuli za kujiletea maendeleo.

Sasa ukiangalia jinsi hali ilivyo hapo mtaani kwako? unaona Mwenyekiti wa Mtaa wako anastahili tena kurudi kwenye hiyo nafasi?
Sisi Watanzania huwa ni watu wa hovyo sana. Hatuchagui mtu, bali chama. Mgombea hata akiwa bora kwa viwango vyote..madhari hatoki chama chako, unampiga chini na kumchagua kenge mnaetoka chama kimoja
 
Mwenyekiti akatoe pesa wapi akujengee barabara na mambo mengine, acha ujinga wewe lofa, mwenyekiti zamani aliliwa na kazi kama vile usuluhisho, migogoro, ardhi kwenyd kijiji/mtaa wake...na kuwasilisha kero kwa diwani na diwani atapeleka kwenye vikao vya halmashauri, ambapo mbunge atachukua mawazo na kupeleka bungeni yaliyo ndani ya uwezo wa halmashauri watayatatua.
Kazi za mwenyekiti wa kijiji/mtaa sasa hivi ni zipi kama hahusiki na maendeleo ya eneo lake?
 
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 ambapo kwa mujibu wa Muongozo, Serikali za Mitaa zimeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Madhumuni ya kuwepo kwa Serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.

Hivyo, pamoja na shughuli nyingine, Serikali za Mitaa zina wajibu wa kuimarisha demokrasia katika maeneo yao na kuitumia demokrasia hiyo kuharakisha maendeleo ya wananchi. Kwa mantiki hiyo, msingi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hufanyika kila baada ya miaka mitano kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288. Uchaguzi utakaofanyika mwaka 2019 utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania mwaka 1992.

Katika Uchaguzi huo, wananchi watapata fursa ya kuchagua Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji, Wenyeviti wa Mtaa, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, na Wajumbe wa Kamati ya Mitaa. Hivyo, kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni utekelezaji wa dhana ya ugatuaji wa madaraka ambayo inasisitiza Serikali kupeleka madaraka ya kisiasa kwa wananchi ili waweze kuchagua viongozi watakaowawakilisha katika shughuli za kujiletea maendeleo.

Sasa ukiangalia jinsi hali ilivyo hapo mtaani kwako? unaona Mwenyekiti wa Mtaa wako anastahili tena kurudi kwenye hiyo nafasi?
CCM hapana kabisa1
 
Mwenyeliti wetu hatujawahi kumchagua! Wanachaguanaga huko huko CCM!

Mwaka huu, bila Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, mabwege wa CCM tu ndo watachaguana!
 
Kazi za mwenyekiti wa kijiji/mtaa sasa hivi ni zipi kama hahusiki na maendeleo ya eneo lake?
Tatizo huwa unakurupuka sana, mwenyekiti, ni kongozi wa ulinzi katika kijiji/mtaa wake, msuluhishi wa migogoro/kifamilia, shahidi, mwakilisha na muwasilishaji wa kero katika mtaa wake kwa mtendaji wa kata au kijiji.....
 
Sio tu kumchagua hata kushiriki kikamilifu kuhakikisha anashinda ikiwezekana bila kupingwa😁
 
Back
Top Bottom