Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Salam ndugu zangu,
Mwaka mwingine wa uchaguzi wa Serikali za Mtaa umefika. Ni wazi kwamba viongozi wetu tulionao walitoa ahadi mbalimbali Uchaguzi uliopita tukawaamini na kuwapa nafasi.
Vipi kiongozi wa Mtaa wako ametimiza ahadi au ndiyo atakuja kuomba nafasi nyingine?
Kwa upande wangu nimeishi mitaa mitatu mpaka sasa sijaona kabisa kazi za Viongozi wa Mitaa yote niliyokaa. Naona kama viongozi wanachukulia vyeo vyao kama title tu ya kisiasa na sio wajibu.
Vipi upande wa mtaa wako mambo yapoje? Tia neno hapa tujue.
Mwaka mwingine wa uchaguzi wa Serikali za Mtaa umefika. Ni wazi kwamba viongozi wetu tulionao walitoa ahadi mbalimbali Uchaguzi uliopita tukawaamini na kuwapa nafasi.
Vipi kiongozi wa Mtaa wako ametimiza ahadi au ndiyo atakuja kuomba nafasi nyingine?
Kwa upande wangu nimeishi mitaa mitatu mpaka sasa sijaona kabisa kazi za Viongozi wa Mitaa yote niliyokaa. Naona kama viongozi wanachukulia vyeo vyao kama title tu ya kisiasa na sio wajibu.
Vipi upande wa mtaa wako mambo yapoje? Tia neno hapa tujue.