Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

Mkuu hiyo Avatar yako inasema kila ktu.....

7.jpg


Dentist wa Tembo kutoka chama tawala akionyesha maeneo yake ya Kazi.
Chama kwanza, Elimu baadae
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

Baregu aliondolewa explicitly kwa sababu ya kuwa Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA?

Hili lilisemwa wazi au ni hisia tu ambazo haziwezi kuwa backed na official reason?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

Inaashiria kuwa hii nchi inaongozwa na CCM kwa ridhaa ya wananchi wengi waliyoichaguwa.
 
SAMRICH1

Sio kweli. Kama hujui uliza. Hatupendi kuona kudanganywa kama watoto.

Kumbe ww mkubwa unavyojiona? mana mkubwa lazima awe na akili yakujua mema na mabaya! au ww ndio mmoja wa wale majangiri wahujumu uchumi wetu?
 
Last edited by a moderator:
Kujadili utendaji wa viongozi wa serikali ya ccm kwanza ni bora ujivue akili vinginevyo unaweza pata ugonjwa wa ajabu,hawana haya hata kidogo,hata akiingia mwenye akili baada ya muda kidogo anageuka kituko,uwa nashangaa Watu wanaowatetea uwa wana akili gani,hakika mungu ameumba Watu!
 
No wonder, wanafunzi wanaomaliza vyuo hawajui hata kuongea kingereza. Siasa hadi kwenye mambo muhimu yanayoigharimu nchi.
 
Mkuu hiyo Avatar yako inasema kila ktu.....

7.jpg


Dentist wa Tembo kutoka chama tawala akionyesha maeneo yake ya Kazi.

Kwa mara ya kwanza toka nijunge na jf leo ndiyo niliyocheka kupindukia.
Si kwa kukubali logic ya sentensi yako,bali namna ulivyoitengeneza sentensi yako kulingana na picha ilivyo achilia mbali mavazi ya kijani.
 
Usishangae- Hukusikia tulivyosifiwa juzi huko Addis - hadi Zuma amesema atakuja kujifunza kwetu tulivyofanikiwa kudhibiti rushwa kwa viongozi na manunuzi ya umma(Mwananchi 30.1.13). Ama kweli tupo Tz alkini hatuijui

Kwani Zuma naye ni wakusikiliza sana? Yule chizi tu si chochote si lolote.
 
Mkuu hiyo Avatar yako inasema kila ktu.....

7.jpg


Dentist wa Tembo kutoka chama tawala akionyesha maeneo yake ya Kazi.

Aisee, hii kali dentist wa nini?
Halafu huyo Traffic Police anafanya nini hapo? Kwanini wasimkamate na kumshtaki?
 
chama ccm kwanza masomo na elimu badae..
mie naona migiro ni kilaaaza tu ukimcompare na baregu
 
Muacheni mama alitumikie taifa baada ya KUSTAAFU umakamu katibu wa UN japo nilitegemea anahitaji kupumzika lkn kila kukicha anaongezewa majukumu.
 
Hivi Baregu aliondolewa kwa kigezo hiko cha kusema yupo Kwenye kamati za cdm au aliondolewa kwa kigezo cha umri wa kustaafu umefika as at that time alikuwa anafanya kaz kwa mkataba ?
 
Dr Asha Rose Migiro her appointed position of "Chancellor of OUT" is Ex-officio position i.e. she will not be involved in day to day management activities of OUT. Prof. Baregu was full time employee of a Government Institution...Government employees are not allowed to participate direct in political practice SAMRICH1

Vipi kuhusu Kitila Mkumbo? Au yeye ni mshauri tu wa CDM?
 
Hivi Baregu aliondolewa kwa kigezo hiko cha kusema yupo Kwenye kamati za cdm au aliondolewa kwa kigezo cha umri wa kustaafu umefika as at that time alikuwa anafanya kaz kwa mkataba ?

Nimeuliza swali kama hilo hapo juu sijapewa jibu.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

mkuu..welcome to Tanzania, the land of double standards, kwa vile ni mjumbe wa sisiemu saafi tu, lakini akiwa wa chama kingine....
 
Hivi Baregu aliondolewa kwa kigezo hiko cha kusema yupo Kwenye kamati za cdm au aliondolewa kwa kigezo cha umri wa kustaafu umefika as at that time alikuwa anafanya kaz kwa mkataba ?

Prof Baregu alishastaafu kitambo pale UDSM (nafikiri tangu 1999 au 2000) aliongezewa mkataba kwa zaidi ya miaka 8 tena tofauti na wenzake ambao wengi huwa mpaka mitano tu.

Mbona alivyoteuliwa kwenye kamati ya katiba mpya hilo haliongelewi?
 
Back
Top Bottom