Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

Mkuu mchuziwanyoka, endapo unadhiriki kumuita prof. Baregu Vuvuzela, basi ni dhahiri wewe utakuwa ni MAKALIO
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

Mimi nafikiri ungeanza kulalamika Mkapa mkuu wa chuo UDOM, na Mwinyi (nadhani) Muhimbili ambao wote ni wajumbe wa NEC CCM, halafu uende kumuuliza huyo Baregu wako maana ya Mkuu wa chuo nadhani kwakuwa uliishia njiani kwenye masomo bado unahisi mkuu wa chuo ni sawa na mwalimu mkuu wa Mugabe shule ya msingi.
 
Wamesahau kama walisema hivyo kuhusu Prof Baregu. Kama wakiweza kusahau ilani yao ya uchahuzi kuhusu gas Mtwara itakuwa hicho kitu kidogo hivyo???? Hiyo ndio Cckwanza bwana! Nyie baadae
 
Kwa nini kila anachofanya Mh Rais inachukuliwa kisiasa?Hoja muhimu hapo ni kama huyu mama anazo sifa ya kushika hiyo nafasi.Hivi Dr Kitila Mkumbo ni nani kiuongozi CHADEMA? Ni mwajiriwa wa chuo kikuu cha DSM,mkuu wa idara ya elimu..Dean faculty of education,Dsm University college of Education.Hiyo ni kadiri ya tovuti ya chuo..updated Nov 2012
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

inaashiria waTanzania ni wajinga na waoga wasiojua wala kuthubutu kuuliza ama kukosoa umasaburi unaofanyika na serikali ya ccm
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

kuna uhusiano gani kati ya mkuu wa chuo kwa maana ya mtawala na mwalimu anayemwaga sumu na chuki darasani.binafsi baregu amenifundisha, ni mchochezi sana
 
subiri Slaaaaaaaaaaaaaaa awe rais naye amteue huyo baregu aaalllaaaaaaa ebooooooooo!!
 
Unajua mkulu wetu huwa akiambiwa kitu na washauri wake hutenda bila kufikiria mara mbili mbili.

H
uu ni udhaifu mkubwa wa uongozi na ningependa waandishi wa nyombo vya habari waandae mjadala kuhusu hili maana lina maana sana katika siasa na elimu kwa ujumla maana kumuondoa Baregu kwa kisa tu ni mjumbe wa chama fulani cha upinzani na kumuweka madamee Migiro ambaye naye ni mjumbe pia kwenye siasa.

Hawa ndio viongozi ambao wakiondoka madarakani huwa tunawaona wakifungwa gerezani kwa matumizi mabaya ya madaraka,siku zinahesabika na hakuna mtu atakayebaki salama ambaye tunajua fika alitumia madaraka yake vibaya wakati akiwa madarakani.

Kuna uwezekano amezungukwa na watu wa NDIYO, hawawezi kumpinga wanaogopa kufukuzwa ulaji.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

kitila mkumbo naye anatakiwa kupigwa chini pale duce
 
Mkuu wa chuo ni ceremonial tu huyo hana lolote, sio sawa na mwalim anayeingia darasani na kuanza kuwapolute wanafunzi
 
et wanasema ni ishara ya ges kwenda ukereniii....
 
Hamko serious,ninyi nyote hamjui kuwa mkuu wa chuo ni kiongozi tu na siyo mtendaji mkuu wa chuo, mtendaji anakuwa makamu mkuu wa chuo,hajishughulishi na utendaji wa kila cku wa shughuli za chuo zaid ya kuwa mwenyekiti wa vikao flani na mtunuku wa vyeti kwa wahitimu.ndomana jaji samata ni mkuu wa mzumbe,Mzee Mwinyi wa muhimbili, Mkapa wa udom, DK Bilal wa nelson Mandela etc.baregu alikuwa mwanataluma na mkataba uliisha.mbona hamjasema kwa dk.Kitila?
 
sina maana hio....ajira milioni moja mtu mmoja ajira 4-8...mbunge, mkuu wa wilaya,katibu wa chama ccm,mjumbe nec koate kuna mshahara na maruprup............pumbafu sana
 
Back
Top Bottom