Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

Huyo ndiyo JK? Ukisikia mwingine ni photocopy?
 
Double standard. si ajabu walishasahau kuhusu issue ya Baregu.
 
Hii ndiyo ccm wakiwa mbele wanakenua tu wakigeuka kumbe wamejiharishia
 
[h=5]Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je,hali hii inaasharia nini?[/h]

Una uhakika na hayo maneno yako kuwa Chadema ndiyo sababu. Mbona Rwaitama ajafukuzwa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Kwani hukusikia tulivyosifiwa Adis kwenye APRM- hata Zuma amesema anakuja kujifunza kwetu tunavyfanikiwa katika kudhibiti rushwa kwa viongozi na manunuzi ya umma(Mwanachi 30.1.13) kweli sisi tupo Tz lakini hatuijui
Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.

Je, hali hii inaasharia nini?

Usishangae- Hukusikia tulivyosifiwa juzi huko Addis - hadi Zuma amesema atakuja kujifunza kwetu tulivyofanikiwa kudhibiti rushwa kwa viongozi na manunuzi ya umma(Mwananchi 30.1.13). Ama kweli tupo Tz alkini hatuijui
 
Dr Asha Rose Migiro her appointed position of "Chancellor of OUT" is Ex-officio position i.e. she will not be involved in day to day management activities of OUT. Prof. Baregu was full time employee of a Government Institution...Government employees are not allowed to participate direct in political practice SAMRICH1

It seems as if there is always an explanation ready for any given situation to justify controversial decisions.
 
Tunamuomba Mh. Hawa Ghasia aje atusomee tena ile sheria ya kazi. Hizi double standars ndiyo zinapandikiza chuki mbaya dhidi ya serikali. UONEVU wa waziwazi HAUVUMILIKI.
 
Usishangae- Hukusikia tulivyosifiwa juzi huko Addis - hadi Zuma amesema atakuja kujifunza kwetu tulivyofanikiwa kudhibiti rushwa kwa viongozi na manunuzi ya umma(Mwananchi 30.1.13). Ama kweli tupo Tz alkini hatuijui

Hahahaaaaa.....
Aseeee
 
It seems as if there is always an explanation ready for any given situation to justify controversial decisions.
Dingswayo it is not a prepared explanation for anticipated controversial rather it is a fact. In terms of roles, is there any difference between TANAPA or TANESCO chairperson and a Chancellor of a University? Are they executive or ex-officio?
 
Last edited by a moderator:
482014_10152120625270931_1988719219_n.jpg


Safi sana
 
Duh.. huyu 'rais sikivu na chaguo la MUNGU' hajadiliki tena.. is beyond repair, mwacheni afanye anavyotaka... mpaka 2015 atawashangaza wengi!
 
Mkuu kweli umeibua jambo la msingi,hii inadhihirisha ubakaji wa demokrasia,uwezo mdogo wa kufikiri na ubabe ndani yake
 
Back
Top Bottom