dogo kama wewe si graduate huwezi elewa haya mambo. wakuu wa chuo sio watendaji siku zote. hata mkapa ni mkuu wa udom, anafundisha? Dr. Bilal (vice president) ni mkuu wa Nelson mandela kule aresha, je anafundisha? siku ingine usipost pumba kama hizi, ni vizuri ungepost kwa kuuliza. Pole!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Mheshimiwa Asha Rose Migiro ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa
(NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Katibu wa NEC wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Professor Mwesiga Baregu aliondolewa kufundisha Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa madai kuwa ni Mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA.
Je, hali hii inaasharia nini?