Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,035
- 144,387
Nitakuwa wa mwishi kuamini hili litatokea kwa usalama wa nchi za NATO na Marekani maana kufanya hivyo, ni kuweka usalama wa nchi hizo rehani jambo ambalo kamwe hawatalikubali na ndio maana wanalazimika kumsaidia Ukraine wazi wazi hivi sasa.
Hii vita inaweza kuchukua muda mrefu kinyume na matarajio ya Russia walioamini nchi za NATO zingeogopa kuingilia hii vita(waliamini wangepigana na Ukraine tu tena kwa muda mfupi) na kuna hatari huko mbeleni Russia kuingia vitani na mojawapo ya nchi za NATO na automatically kuingia vitani na NATO.
Wakiingia vitani na NATO, basi tutarajie matokeo haya:
1.Vita kusimama na wakaingia makubaliano mapya yatayomaliza vita kwa mashariti yatayoilazimisha Russia kuondoa majeshi yake Ukraine na Ukraine kutojiunga NATO.
2. Vita kuwa kubwa na kuwa chanzo cha WW3( sio rahisa sana ila inaweza kutokea).
3. Matumizi ya nuclear ili kumaliza kabisa vita na kufunika aibu ya kushindwa kwa ataekaanza kuona vita imemshinda na hapa zaidi atakuwa Russia.
Russia hawezi kukubali aibu ya kushindwa kama ambavyo Marekani na washirika wake wanaoisaidia wazi wazi Ukraine hawatokubali kushindwa na matokeo yake ni vita kuchukua muda mrefu mpaka mojawapo ya hayo mambo matatu yatapotokea ili vitaa iishe au iwe ni vita ya dunia nzima kama sio vita ya kupigana nuclear.
NB:
Vitendo vya Russia kama kuztisha nchi za NATO na Marekani, kusitisha uuzaji wa gesi kwa nchi baadhi ya nchi za Ulaya, na kuzilazimisha kununua gesi yao kwa kutumia sarafu yao, kunazifanya nchi za Ulaya na Marekani kuona umuhimu wa kumshughulikia Putin kuliko ilivyokuwa wakati vitaa inaanza na hata kabla ya vita yenyewe kuanza.
Muda utathibitisha.
Hii vita inaweza kuchukua muda mrefu kinyume na matarajio ya Russia walioamini nchi za NATO zingeogopa kuingilia hii vita(waliamini wangepigana na Ukraine tu tena kwa muda mfupi) na kuna hatari huko mbeleni Russia kuingia vitani na mojawapo ya nchi za NATO na automatically kuingia vitani na NATO.
Wakiingia vitani na NATO, basi tutarajie matokeo haya:
1.Vita kusimama na wakaingia makubaliano mapya yatayomaliza vita kwa mashariti yatayoilazimisha Russia kuondoa majeshi yake Ukraine na Ukraine kutojiunga NATO.
2. Vita kuwa kubwa na kuwa chanzo cha WW3( sio rahisa sana ila inaweza kutokea).
3. Matumizi ya nuclear ili kumaliza kabisa vita na kufunika aibu ya kushindwa kwa ataekaanza kuona vita imemshinda na hapa zaidi atakuwa Russia.
Russia hawezi kukubali aibu ya kushindwa kama ambavyo Marekani na washirika wake wanaoisaidia wazi wazi Ukraine hawatokubali kushindwa na matokeo yake ni vita kuchukua muda mrefu mpaka mojawapo ya hayo mambo matatu yatapotokea ili vitaa iishe au iwe ni vita ya dunia nzima kama sio vita ya kupigana nuclear.
NB:
Vitendo vya Russia kama kuztisha nchi za NATO na Marekani, kusitisha uuzaji wa gesi kwa nchi baadhi ya nchi za Ulaya, na kuzilazimisha kununua gesi yao kwa kutumia sarafu yao, kunazifanya nchi za Ulaya na Marekani kuona umuhimu wa kumshughulikia Putin kuliko ilivyokuwa wakati vitaa inaanza na hata kabla ya vita yenyewe kuanza.
Muda utathibitisha.