Katika awamu Hii vyombo vya habari hasa TV, Magazeti, na Radio vimebanwa hasa kupitia BAHASHA za KAKI zinazotolewa na akina napenauye.
Ishu ipo hivyo, vyombo vya habari vilivyo vingi hapa nchini ni njaa kali, kwa hii serikali ya wala rushwa na mafisadi yanayokula kwa urefu wa kamba zao wanawaambia waandishi wa habari chagua moja au ULE na sisi ukubali uwe chawa wa mama au UFE njaa na watanzania wenzako kwa kutete maslahi mapana ya TAIFA.
Waandishi wa habari walio wengi na vyombo vya habari ving vimechagua kula mapochopocho ya mafisadi ya awamu ya sita kuwa sharti moja tu. Hakuna Kuisema vibaya serikali hii.
Ndio maana waziri wa Habari nape anakuwa na jeuri ya kuvipangia vyombo vya habari, habari gani iripotiwe na habari gani isiripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Kwa hili la WARAKA WA MAASKOFU vyombo vya habari vimejidhalilisha sana.
Ishu ipo hivyo, vyombo vya habari vilivyo vingi hapa nchini ni njaa kali, kwa hii serikali ya wala rushwa na mafisadi yanayokula kwa urefu wa kamba zao wanawaambia waandishi wa habari chagua moja au ULE na sisi ukubali uwe chawa wa mama au UFE njaa na watanzania wenzako kwa kutete maslahi mapana ya TAIFA.
Waandishi wa habari walio wengi na vyombo vya habari ving vimechagua kula mapochopocho ya mafisadi ya awamu ya sita kuwa sharti moja tu. Hakuna Kuisema vibaya serikali hii.
Ndio maana waziri wa Habari nape anakuwa na jeuri ya kuvipangia vyombo vya habari, habari gani iripotiwe na habari gani isiripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Kwa hili la WARAKA WA MAASKOFU vyombo vya habari vimejidhalilisha sana.