Kuwa introvert ni tabu sana!

[emoji22][emoji17]
 
HAKUNA SIRI TENA!!
 
Mimi naweza kukaa wiki bila kutoka kabisa mfano Toka niliporudi Toka ibadani jmapili mpaka Leo sijatoka hata hapo nje, kazi zangu nafanyia nyumbani
 
introvert huko majuu wengi wao ni huckers na data analytics
 
nilipanga nyumba nzima peke angu, kwa pembeni kuna wapangaji wengine ila wote tuko ndani ya kiwanja kimoja na father houce yuko mbali na sisi na sikuwai kumuona zaidi kuongea kwa phone,

nikitoka asubuhi narudi night, kwa kifupi nlikuwa sipiki kabisa nakula magengeni tu nikirudi home nimeshiba😁,, jirani zangu walikuwa hawanielewi kama nimeoa au bachela,,

weekend ndio wananiona nikifua nguo, unahisi kabisa watu wanataka story na mimi lakini sasa mtu mwenyewe sina mda 😁,,

natamani niendelee kuandika lakini naona ivivu 😁
 
Na kuna wengine wanakuogopa mpk akiwa anajambo anataka kulifikisha kwako anajiuliza aanzie wapi...🤣
Yaani, ilichukuwa muda mrefu wakwe zangu kunielewa. Nashukuru sijawahi kuwa fake au kulazimisha uchangamfu, wanaona poa tu na imenisaidia kuepuka lawama. Kusema kweli michanganyiko ya watu ipo very draining. Unahitaji muda mreeeeefu kukusanya nguvu tena kufanya shughuli inayohusisha kuchanganyika na watu
 
Sisi ndo wale tunahairisha appointments, Bora tulale nyumbani.

Sisi ndo wale tunabore ile mbaya tukikutana physical kama hatujakuzoea

Sisi ndo wale long distance relationship zetu zinalast kuliko kuishi wawili pamoja.

Sisi ndo wale mimea na wanyama inatuelewa zaidi kuliko binadamu

Sisi ndo gallery zetu zimejaa picha za mawe, milima, miti, wadudu, majengo, vyakula.

Sisi ndonwale tunajua mashairi ya nyimbo zote.

Sisi ndo wale tunasoma vitabu vingi kwa walati mmoja.

Sisi ndo wale tunaweza sana kazi za kibunifu na za mifumo.
KENZY ongeza na hizi
 
mulemule...
 
Kwahiyo JF wote ni introvert, maana mmetaja tabia zangu zote.
inawezekana!
Introverts huweza cyber connections, mambo ya physical sio kabisa! So asilimia kubwa swali lako ni kweli
Extrovert na mambo ya kuchekea na hamuonani wapi na wapi. Ni intorvet tu mnaweza kudate, kuzaa watoto, kuachana na kupeana companyi mkiwa hamuonani na wakawa tu sawa!
 
Mnajipa labels za kijinga na kuona sifa. Kila mtu siku hizi ni introvert. Mna upumbavu endelevu.

Binadamu yeyote anaweza badilika tokana na mazingira.
Anaweza kuwa mpole au mchangamfu.
Kuwa katili au na huruma.
Kuwa boring au mcheshi.
Etc etc.

Hizi ni traits na binadamu yeyote yule wa kawaida has nothing to do with those stupid labels ili kujiona special. Mna upumbavu endelevu nyie vitoto.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…