Private detective
New Member
- Nov 22, 2019
- 3
- 1
Achana nayo kafanye mishe nyingine tuuuWakuu habar zenu, ngja niende direct kwa Topic.Wakuu mimi kila nikiplan kupima UKIMWI huwa naishiwa kabisa nguvu ya kwenda kupima inshort siwez kwenda kupima. Ila sasa kuna watu huwa wanakwenda kupima kwa moyo mweupe hapa ndo najiuliza huu ujasir wanautoa wapi?? Binafsi nmeshindwa kabisaa nyie mnaoenda kwa hiari yenu mtupe mbinu bhasi mnazotumia ili na sisi wengine humu Jf tukapime UKIMWI....
Jiamini mkuuWakuu habar zenu, ngja niende direct kwa Topic.Wakuu mimi kila nikiplan kupima UKIMWI huwa naishiwa kabisa nguvu ya kwenda kupima inshort siwez kwenda kupima. Ila sasa kuna watu huwa wanakwenda kupima kwa moyo mweupe hapa ndo najiuliza huu ujasir wanautoa wapi?? Binafsi nmeshindwa kabisaa nyie mnaoenda kwa hiari yenu mtupe mbinu bhasi mnazotumia ili na sisi wengine humu Jf tukapime UKIMWI....
Mda ukifika utapata ujasiri tu mkuuWakuu habar zenu, ngja niende direct kwa Topic.Wakuu mimi kila nikiplan kupima UKIMWI huwa naishiwa kabisa nguvu ya kwenda kupima inshort siwez kwenda kupima. Ila sasa kuna watu huwa wanakwenda kupima kwa moyo mweupe hapa ndo najiuliza huu ujasir wanautoa wapi?? Binafsi nmeshindwa kabisaa nyie mnaoenda kwa hiari yenu mtupe mbinu bhasi mnazotumia ili na sisi wengine humu Jf tukapime UKIMWI....
@Mother Confessor upo mpendwa? NimekumissKuna siku nusura nikimbie majibu,ila nikasema ntakimbia mpaka lini,ni heri kujijua kuliko kujulikana hilo jambo ni kama kukimbia kivuli chako tuu,kwa zama hizi bora kufahamu hali yako..
Chumba kilikua cha bariidiiii lakini kijasho chembamba kilin'churuzika,lol[emoji38]
Tena bora hata usijiamini maana unaweza jiamini lakini majibu yakakutoa barabarani hapo ndio.tabu inaanza
Mimi huwa naona kama garage tu kupeleka gari na mechanic ukamwambia angalia kila kitu kama kuna hitilafu
Sasa mimi kila mwaka huwa nafanya checkups kila kitu kuanzia pressure,kisukari, tezi dume, hiv na hata cancer
Huwezi kujua bila kupima
Usiogope
Usisahau meno na macho
Mimi hizo issue za kupima pima VVU huwa sizipi nafasi kabisa[emoji4]
Kama ni mtu wa vurugu nyingi lazima uogope.
Lakini ukiwa mstaarabu wala huwezi kuogopa.
ĸaмa υnaтeмвeza вaĸora raғυ ĸwanιnι υѕιpaтe υoga[emoji3][emoji3]
Nilipotea kidogo mzee wangu mwenye kasumba zake mjini...mambo?@Mother Confessor upo mpendwa? Nimekumiss
Mimi huwa naona kama garage tu kupeleka gari na mechanic ukamwambia angalia kila kitu kama kuna hitilafu
Sasa mimi kila mwaka huwa nafanya checkups kila kitu kuanzia pressure,kisukari, tezi dume, hiv na hata cancer
Huwezi kujua bila kupima
Usiogope
Utakipata unacho kitafuta
Ilà majibu yalikuja vizuri si eti! Hilo ndio jambo la msingi.Kuna siku nusura nikimbie majibu,ila nikasema ntakimbia mpaka lini,ni heri kujijua kuliko kujulikana hilo jambo ni kama kukimbia kivuli chako tuu,kwa zama hizi bora kufahamu hali yako..
Chumba kilikua cha bariidiiii lakini kijasho chembamba kilin'churuzika,lol[emoji38]
Mambo Ni swafi kabisaaaaa ndugu WanguNilipotea kidogo mzee wangu mwenye kasumba zake mjini...mambo?
Nini unaogopa. Mimi jamani sijawahi ogopa hata unipime kwa kunishtukiza,.sijui huwa najiamini niniMimi nitaangalia upepo kipindi tu naoa..