Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
asije akamuwekea sumu mama wa watu kwa kosa la kuvujisha siri kuwa aliletwa kwenye mkutano kuongeza mahudhurio.nawasalimu View attachment 1618639
asije akamuwekea sumu mama wa watu kwa kosa la kuvujisha siri kuwa aliletwa kwenye mkutano kuongeza mahudhurio.nawasalimu View attachment 1618639
Anaonekana tu sio poa
😆😆😆😆asije akamuwekea sumu mama wa watu kwa kosa la kuvujisha siri kuwa aliletwa kwenye mkutano kuongeza mahudhurio.
Whaaaattttt? God forbidHuyu ni poison master , he was the one who poisoned Deputy CCM chairman Phillip Mangula by order from above . One of the tiss officers.
Ni bro ake na huyu.View attachment 1618322
Mbeba sumu wa mekoHuyu ni kada wa CCM toka mdogo sanaaaa. Yan ukimkata uyo hata damu yake ni ya kijani.
Akizaliwa mti dawa yake ni kumchana mbao na hizo mbao kwenda kujengea septic tank akakae na kinyesi hukoif you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.
Alikuwa amekaa jukwaa kuu baadae akihojiwa tukaambiwa ni mwananchi wa kawaida mitaani! Mimi bado sura yake inanitia mashaka.
Au akazaliwa Jiweif you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.
Taarifa za kiuchunguzi zinasema cheo chake ni "Kuweka Vituz kwenye Maji/msosi" kwa Wenzao ambao sio wenzao.
Dada lea watoto,au umeachika?Mmesha Ishiwa Vyakujadili sasa
Duh!Alikuwa amekaa jukwaa kuu baadae akihojiwa tukaambiwa ni mwananchi wa kawaida mitaani! Mimi bado sura yake inanitia mashaka.
Pamoja mkuuShukrani sana mkuu
TISS ni hovyo tuu. Wanafanikiwa kupata taarifa kwasababu watanzania wote ni wambea.Recruitment starts from school, chuo, mtaani, makazini, majeshini. na kuna wale wapo recruited na Watu flan kwa kazi maalumu na hawafamiki hata na DG
(HUKO MBELE WANAITWA "BLACK OPS") hawa wanaweza hata kumuondoa TISS na asijue tukio limefanywa na nani
Utadhan jamii ya rodents