FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,922
- 11,314
Hiyo issue huenda ilikuwa missionTangu naanza kuandika nilisema naamini siyo kwakua kuna ishu ilitokea ambayo ilihatarisha uwepo wake chuoni. Ishu iliyomkuta ni private.
So tangu ulivyokua unaanza kuniquote ulitakiwa uone nimesema ishu yake ni private. Kama unamjua mtafute akwambie.