Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Hujui kuwa tangu Jiwe aingie madarakani mambumbumbu wengi wa kijani wameingizwa TISS?
Afterall, kazi kubwa ya TISS ni nini kama sio usalama wa CCM? Recruiting ground yao ni UVCCM. Ndio maana CCM haiwezi kutoka madarakani kwa njia ya kura - it will never happen, never. Uchafuzi mmoja ukiisha kama huu ulawiti ulivyoisha, kinaundwa kitengo maalum cha kuanza maandalizi ya ulawiti utakaofuatia. CCM itatoka madarakani kwa miujiza mingine!!
 
Mnavyolaumu huu uchaguzi utafikiri hizo chaguzi zilizopita zilikuwa za haki na uwazi,miaka yote tunalalamika kuhusu ccm kutumia dola kung'ang'ania kubaki maarakani na hao wazee wote wakiwepo pamoja na huyo marehemu. Hata huu uchaguzi ni kazi ya ccm hiyo.
Na huo ndiyo ujinga wa wengi,wameshasahau kuna mtu aliwatukana pale Jangwani,eti leo ndiyo wammemiss........nchi hii ina wajinga wengi sana
 
‘Modulators' ni wadudu gani?

After all umejuaje kama hayupo humu na ameshajibu, swali sio maisha yake binafsi... mtajwa ni nani huko CCM?
English, third language. sorry for that!
 
Mnavyolaumu huu uchaguzi utafikiri hizo chaguzi zilizopita zilikuwa za haki na uwazi,miaka yote tunalalamika kuhusu ccm kutumia dola kung'ang'ania kubaki maarakani na hao wazee wote wakiwepo pamoja na huyo marehemu. Hata huu uchaguzi ni kazi ya ccm hiyo.
Wote hatuwezi kuikubali CCM na wote hatuwezi kuwa wapinzani. Ni baadhi ni watawala ( wananufaika sana) na baadhi ni wapinzani wanaumizwa sana na kunufaika kidogo wanapopata nafsi mana nao pia wanapangiwa maslahi yao na watawala.
Hivi Lisu angekua ni mbunge wa CCM halafu apigwe risasi bungeni ingekuaje labda.?

Hatulalamiki Bali tunaizungumzia nchi yetu ili iwe na kesho njema zaidi yenye upendo na amani na Uhuru wa watu kujadili maendeleo yao badala ya kujadili maumivu na dhulma kila kukicha.

Huoni kuwa kuna matatizo kuwanyima watu wa nchi moja haki kwa sababu tu ya vyama ambavyo hata vikifa bado haviui mtu . Yani unaua watu kwa sababu ya chama ambacho hakiumwi wala hakiwezi kupelekwa ICC.
Kenya KANU ya baba yake Uhuru ilikufa lakini Leo Uhuru ni Rais wa Kenya. Sasa wangeendelea kuuana kwa sababu ya kulinda KANU si wangekua ndio wale Sithole country.

Tutafakari mambo kwa upana wake na tuweke ubinafsi na maslahi yetu pembeni . Wanaojenga nchi ni watu hivyo kuwagawa watu ni kuua nchi.
Hebu fikiri kule Kenya Wapinzani wangeamua kuleta mgomo wa kulipa Kodi ingekuaje! Yani watu wajitoe mhanga kule Kenya kuwa hawapandi magari ili wasinunue mafuta , hawapani bodaboda , wananunua baskeli kama China.
Hawanywi bia zaidi ya moja, wanatumia umeme kwa bajeti . Hawaweki vocha mana mawasiliano yanafanya uchochezi. Wanachemsha maji badala ya kununua maji ya chupa n.k. Je, Kenya ingesonga mbele kwa kasi na kuwa ndiyo nchi ya kwanza Afrika mashariki na Kati Japo ina rasilimali chache za asili ukilinganisha na Kongo na hata Uganda achilia mbali Nchi yetu Tanzania?

Tufanye kila namna ya kuwaunganisha watu.
Kuwaacha wakurugenzi waharibu uchaguzi bila kuwachukulia hatua za kinidhamu na hata kuwashataki ni kuwagawa watu na ni hatari kwa taifa. Tujiulize wananufaika na nini wanapokiuka Taratibu na sheria za nchi wakati wameapa kuzilinda?
Yani mtu anashika Korani au Biblia anaapa na kusema Mungu nieaidie halafu anakwenda kudhululumu watu.
Matokeo yake tunakua na kizazi cha watu wenye dhulma na Katili kama Mkuu wa mkoa mmoja zamani alikua katili sana na kuchoma nyumba za watu cha ajabu Leo ana mtoto katili zaidi anatembea na Bunduli kama Jambazi.
Baba yake angekemewa huenda angetubu. Sasa mwisho wake itakua ni kuwindana na kulipizana visasi.
 
Wote hatuwezi kuikubali CCM na wote hatuwezi kuwa wapinzani. Ni baadhi ni watawala ( wananufaika sana) na baadhi ni wapinzani wanaumizwa sana na kunufaika kidogo wanapopata nafsi mana nao pia wanapangiwa maslahi yao na watawala.
Hivi Lisu angekua ni mbunge wa CCM halafu apigwe risasi bungeni ingekuaje labda.?

Hatulalamiki Bali tunaizungumzia nchi yetu ili iwe na kesho njema zaidi yenye upendo na amani na Uhuru wa watu kujadili maendeleo yao badala ya kujadili maumivu na dhulma kila kukicha.

Huoni kuwa kuna matatizo kuwanyima watu wa nchi moja haki kwa sababu tu ya vyama ambavyo hata vikifa bado haviui mtu . Yani unaua watu kwa sababu ya chama ambacho hakiumwi wala hakiwezi kupelekwa ICC.
Kenya KANU ya baba yake Uhuru ilikufa lakini Leo Uhuru ni Rais wa Kenya. Sasa wangeendelea kuuana kwa sababu ya kulinda KANU si wangekua ndio wale Sithole country.

Tutafakari mambo kwa upana wake na tuweke ubinafsi na maslahi yetu pembeni . Wanaojenga nchi ni watu hivyo kuwagawa watu ni kuua nchi.
Hebu fikiri kule Kenya Wapinzani wangeamua kuleta mgomo wa kulipa Kodi ingekuaje! Yani watu wajitoe mhanga kule Kenya kuwa hawapandi magari ili wasinunue mafuta , hawapani bodaboda , wananunua baskeli kama China.
Hawanywi bia zaidi ya moja, wanatumia umeme kwa bajeti . Hawaweki vocha mana mawasiliano yanafanya uchochezi. Wanachemsha maji badala ya kununua maji ya chupa n.k. Je, Kenya ingesonga mbele kwa kasi na kuwa ndiyo nchi ya kwanza Afrika mashariki na Kati Japo ina rasilimali chache za asili ukilinganisha na Kongo na hata Uganda achilia mbali Nchi yetu Tanzania?

Tufanye kila namna ya kuwaunganisha watu.
Kuwaacha wakurugenzi waharibu uchaguzi bila kuwachukulia hatua za kinidhamu na hata kuwashataki ni kuwagawa watu na ni hatari kwa taifa. Tujiulize wananufaika na nini wanapokiuka Taratibu na sheria za nchi wakati wameapa kuzilinda?
Yani mtu anashika Korani au Biblia anaapa na kusema Mungu nieaidie halafu anakwenda kudhululumu watu.
Matokeo yake tunakua na kizazi cha watu wenye dhulma na Katili kama Mkuu wa mkoa mmoja zamani alikua katili sana na kuchoma nyumba za watu cha ajabu Leo ana mtoto katili zaidi anatembea na Bunduli kama Jambazi.
Baba yake angekemewa huenda angetubu. Sasa mwisho wake itakua ni kuwindana na kulipizana visasi.
Mkuu mie sina chama wala sishabikii kabisa hivi vyama,sasa hayo malalamiko umeyaleta sehemu isiyo sahihi. Na hata hivyo huku kulalamika tu hakusaidii tushalalamika sana.
 
if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.

Sijui kama baaadhi wata kuelewa.
 
Huyu mtu aliyepiga picha na Dkt. Magufuli ana cheo gani ndani ya CCM?

View attachment 1618318
ati niniView attachment 1618637
Screenshot_20201103-115333.jpg
 
Kulalamika sana nayo ni jambo la muhimu kuliko kuacha.
Binadam ana hulka ya ubinafsi .
Unajua kama Sio sheria zilizopo kuna watu kwao kila kitu ni hapali alimradi hafanyiwi yeye.

Hata dhambi kwenye nyumba za ibada zimeanza kukemewa zamani sana mpaka sasa bado zinakemewa na zitakemewa mpaka siku ya kiyama.
Ubaya unakemewa milele mana ubaya ni ubaya tu.
 
Hata nae alikuwa ni mnufaika angepigwa nyumba Kama tatu hivi za ustaafu angeufyata Kama mzee mwinyi.
Weupe ndo wenye uwezo wa kuacha maslai yao binafsi kwa faida ya jamii na sio mwafrika.
Mwafrika hawezi acha shibe yake akutee wewe
Kinachotuumiza ni malezi.
Hata Kwenye dini wengi hawakuandaliwa kuanzia nyumbani. Mtoto anasoma shule kwa shida sana huku akiambiwa kuwa amepata nafasi kama bahati na sio juhudi yake .
Anaendelea hivyo mpaka anapata kazi kama bahati na sio uwezo wake.

Akiingia kwenye siasa anapewa nafasi kama bahati na sio uwezo wake.
Jamii inawaona watoa bahati kama miungu mana wanaweza wakaifuta ndoto yako na kuweka wanayemtaka. Sasa Dhulma inaonekana kama bahati njema mana inabadili maisha ya mtu kuwa bora kwa haraka.
 
Back
Top Bottom