Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,814
- 284,947
- Thread starter
- #141
asanteUsalama pale ccm makao makuu, alikuwa bega kwa bega na polepole siku nyingi
asanteUsalama pale ccm makao makuu, alikuwa bega kwa bega na polepole siku nyingi
Anaitwa Petro Magoti.. Ni Ofisa wa makao makuu ya Ccm na msaidizi wa Katibu Wa Nec Siasa na Uenezi Ndugu Polepole. Ni mtu poa sana na anaependa kujifunza na kuwafunza wengine anayoyajua..
Hii inaonyesha kuwa ni kiongozi mwenye upendo hata kwa wanyonge kama sisi.
Naona mngekuwa faragha ungeweza kula kichwa.Magoti!! Uyu jamaa tuliwahi kukutana kwenye mission fulani!! Ndio nilipogundua uyu jamaa ana roho mbaya sana!!! Ni mtu mwenye jeuri na kiburi sana!! MUNGU ametuumba tofauti.
Hiyo ni ndagu yake tangu akiwa mbunge
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huyu ni poison master , he was the one who poisoned Deputy CCM chairman Phillip Mangula by order from above . One of the tiss officers.
Huyu anaitwa Magoti,
anhaaaLabda kuna ukaribu tusioufahamu
Huyu ndo inasemwa alikua wa mwisho kugusa bilauri ya Makamu wa CCM Mangula kabla hajapewa sumu hii ni kwa mujibu wa kigogo yule wa zamani.Salaam wakuu..
anayejua info za huyu jamaa anaitwa peter magoti. Naona amefunga ndoa ila walioshiriki shuguli hyo, ni watu wazito sana; kama Mh. Rais SSH, IGP .. n.kView attachment 1925300View attachment 1925303View attachment 1925304
Kama huyo jamaa aliyeshikana mkono na huyo manzi 'mkali' kulingana na macho yangu! Basi kuna ulazima wa kuendelea kupambania fedha/madaraka, au vyote! Ili tuweze kufaidi mema yote ya nchi hii!!Salaam wakuu..
anayejua info za huyu jamaa anaitwa peter magoti. Naona amefunga ndoa ila walioshiriki shuguli hyo, ni watu wazito sana; kama Mh. Rais SSH, IGP .. n.kView attachment 1925300View attachment 1925303View attachment 1925304